book11
JF-Expert Member
- Mar 24, 2017
- 700
- 390
Hongera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera.
Hicho chakula chenye jina lako kitamu Sana,mara ya mwisho kukila Zanzibar hotel moja ya kitaliiNapenda kutembelea vivutio mbalimbali Ila kupanda mlima big no hongera Sana kwa ujasiri huo jamani nimekutamani. [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Hicho chakula chenye jina lako kitamu Sana,mara ya mwisho kukila Zanzibar hotel moja ya kitalii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule mlima hauna mwili wala nini cha msingi uwe umefanya mazoezi ya kutosha na uombe tu hali ya hewa isikukatate....hali ya hewa ikikugomea unarudishwa siku ya kwanza tuNa kamwili kako kalivyo simple wala hupati shida sana kufika kileleni, ila ungekua na lichura likubwa kama miss natafuta sidhani kama ungeweza kufika kwenye kilele cha kibo kwa urahisi.
Maendeleo hayana chama
@ram we mibonge unaijua vzr au unaisikia tu?Ule mlima hauna mwili wala nini cha msingi uwe umefanya mazoezi ya kutosha na uombe tu hali ya hewa isikukatate....hali ya hewa ikikugomea unarudishwa siku ya kwanza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani binamu unanifurahisha sanaWewe umewahi kupanda???
Hao Wanaweza kuwa inspired kupanda. Mimi aliyenihamasisha sana kupanda ni member wa huku anaitwa kiwatengu so you never know
Sent from my iPhone using JamiiForums
Rudi bhana,ulilia inaonesha hahaha.
Binamu yako anakiumbo flani hivi matata saaaaana.
We umeona umboo!![emoji28][emoji1][emoji1]Binamu yako anakiumbo flani hivi matata saaaaana.
Maendeleo hayana chama
Unitag Wangu nainjoiNimeendelea na ninaendelea bado..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivyo vipotable hua ni vitamu sana kwa chukuchuku.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji2][emoji1]Hivyo vipotable hua ni vitamu sana kwa chukuchuku.
Maendeleo hayana chama
Hongera mrembo, nina binamu yangu ameshapanda Kilimanjaro mara 2 kama si 3 ila anasema haina uzoefu unaweza kupanda mara nyingi na bado ukapata emergency ukadanji au ikabidi ushuke mlima na safari iishie hapo.
Huwa nawataniaga wafanyakazi wenzangu jamani tuchukue likizo ya pamoja twendeni tukapande Mlima Kilimanjaro... wanaishia kuniambia kama umechoka kula pizza tuache sie tupakatie pakacha zetu. Basi huwa nacheekaa.
Binafsi napenda sana kutembea na nilishapanda milima ya kawaida ya vijijini ikiwa ni njia ya kuelekea ninakofikia. Najiona namudu ila sijajipanga kupanda mlima wowote japo natamani.
Naishiaga kwenda Mbuga za wanyama nalala hoteli basi.
Hongera sana mamii.