Simulizi ya Safari yangu ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Dar es salaam kubwa au umemaanisha jiwe la magogoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mbongo kupanda mlima ni bei gani kulipia na gharama zingine ni zipi mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka 2003 nilipanda Mlima Kilimanjaro kwa kupitia njia ya Rongai,kwa kweli shughuli haikuwa ya kitoto.Tulifika kituo cha School Heart majira ya 1900 hrs tukiwa so exhausted na baada ya muda wa lisaa limoja tulipewa mushroom soup,hata hamu ya kunywa haikuwepo.Tulipumzika kwenye banda lililokuwa na vitanda vya double decker,baadhi walikuwa walikuwa wakilalamika fluu na maumivu ya kichwa,niliwaambia kila mtu alisoma instructions zilizokuwa zikielekeza endapo kama hali itabadilika ghafla ni vyema usiendelee wahi trolley kwa ajili ya kushuka ulikotoka upatiwe first aid,lakini kwa vile lilikuwa kundi la makamanda haikuwa issue sana,majira ya 0000hrs tuliamshwa na wakuu kila mtu akawa tayari kwa ngwe ya kwenda peak,hali kwa usiku ule ilikuwa baridi kali theluji ikiwa imetapakaa eneo lote wale mountain guides walishauri ni vyema kama mtu ana miwani tinted avae kuzuia macho yasidhurike.Safari kwenda kileleni ilianza kwa kweli zile features za kule juu zilikuwa zinatisha kiasi kwamba usipokuwa makini unaweza kuteleza na kupotea kwenye korongo.Wengi waliishia Gilmans point na baadhi tulifanikiwa kufika Uhuru peak lakini kwa mbinde!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni miongoni mwa watu wanaojifanya niendelee kuandika.. [emoji120][emoji120]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Asante Sana ,kwa heshima hiyo hiyo nakuomba Sana uunganishe story yoote uweke mwanzo wa post maana nawasomea watoto wangu Sasa wanapata taabu kunielewa pls ma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu kimoja ambacho nadhani watu wote ambao washapanda mlima kilimanjaro na kufika uhuru height lazima tukubaliane.Huu mlima unakupa sense of accomplishment kiasi kwamba unahisi hamna kitu kinachoweza kua kigumu kwako maishani.katika vitu ambavyo proud ni hiki cheti nlichopata aisee..ndo maana mwezi wa 5 nataka panda tena
 
Mrembo mimi naenda kupanda huo mlima soon asante kwa kunipa taarifa kabisa ila hujamalizia,,hivi huruhusiwi kupanda japo na wiski kwa ajili ya kukata baridi kimtindo.. au uwe na kipande cha Bang!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nitahadithia kisa cha Bangi tulipokua tunaenda Uhuru peak. hapo wewe ndio utaona kama uwe na kipande cha bangi ama vipi...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna kitu kimoja ambacho nadhani watu wote ambao washapanda mlima kilimanjaro na kufika uhuru height lazima tukubaliane.Huu mlima unakupa sense of accomplishment kiasi kwamba unahisi hamna kitu kinachoweza kua kigumu kwako maishani.katika vitu ambavyo proud ni hiki cheti nlichopata aisee..ndo maana mwezi wa 5 nataka panda tena

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…