Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Dumelang

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
3,204
Reaction score
5,710
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030. Lakini leo Rasmi natangaza simuungi mkono tena. Na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki Magari, na vuombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki? Na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika mama nchi amepelea

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wamama imeshafeli

Zile kauli za "ninaomba mkalitazame na hili" nahsi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta. Lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Cdm tulisha sema kuwa chini ya utawala wa ccm itafika muda watanzania wote turazungumza lugha moja kwa ccm haitufai.
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030. Lakini leo Rasmi natangaza simuungi mkono tena. Na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki Magari, na vuombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki? Na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika mama nchi amepelea

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wamama imeshafeli

Zile kauli za "ninaomba mkalitazame na hili" nahsi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta. Lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Wivu tu
 
Kama kuna yeyote mwenye wimbo wa Roma Mkatoliki wa Nipeni maua yangu au ule wa Ney wa Mitego wa Amkeni, atuwekee tafadhali ili kumfariji mtoa mada.

Na wakati huo huo Lucas mwashambwa naye ajiandae kwa risala.

DJ walete tafadhali....🗣️🎤
Nitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030. Lakini leo Rasmi natangaza simuungi mkono tena. Na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki Magari, na vuombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki? Na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika mama nchi amepelea

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wamama imeshafeli

Zile kauli za "ninaomba mkalitazame na hili" nahsi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta. Lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Haya niendelee nikalale
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030. Lakini leo Rasmi natangaza simuungi mkono tena. Na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki Magari, na vuombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki? Na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika mama nchi amepelea

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wamama imeshafeli

Zile kauli za "ninaomba mkalitazame na hili" nahsi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta. Lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Naona umekamatwa na wewe baada ya kujiibia nchi kwa miaka mingi kupitia bandari
 
Mnataka mwanaume ambaye atafanya crackdown muanze tena kulialia, acha mama aendelee kutupetipeti, hizo changamoto anazijua atazishughulikia ili wanae tuishi kwa raha mustarehe.
 
Wewe ondoka zako kapambane huko maana mamilioni ya watanzania wanaendelea na tunaendelea kuwa pamoja na kumuunga mkono mh Rais.kila mtu anatambua juhudi za mh Rais katika kila Eneo katika kutatua changamoto mbalimbali.sisi watanzania hatuzalishi mafuta na wala hatuna visima vya mafuta hapa nchini.sisi kama zilivyo nchi zingine nyingi tunaagiza mafuta kutoka nje ya nchi,hivyo katika uagizaji lazima ujuwe changamoto huwa hazikosekani hata kidogo.bkuna kuchelewa kufika kwa mafuta nchini kutokana na sababu mbalimbali hasa maeneo ambako yanatoka mpaka kufika hapa nchini.

Rais wetu na serikali yetu siyo wajinga kwamba waache watanzania wahangaike mitaani wakati mafuta yapo nchini. Hiyo haiwezekani na haiwezi kutokea katika serikali ya Rais samia. Wewe huna lolote zaidi ya ubabaishaji tu na kutokuwa na msimamo,wewe ni mnafiki tu na mshamba tu.

Nenda huko kwa hao uliokuwa ukiwaunga mkono na bado utashuhudia mh Rais wetu Dr Samia akipita na kushinda kwa kishindo kikuu uchaguzi ujao.hakuna Mwenye ubavu wala uwezo wa kushindana naye katika sanduku la kura.Hakuna wa kumkwamisha katika uchaguzi ujao .Rais samia ndiye chaguo la watanzania,ndiye kiu ya watanzania ,ndiye aliyepita katika mioyo ya watanzania na ndiye aliyepata kibali mbele za Mungu na watanzania wote kwa mamilioni.
 
Back
Top Bottom