Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Tutaelewana tu kidogo kidogo - Dr. shika
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka


Kwa upande wa U Rais, wanawake hapana, sikubaliani kabisa.
 
Nitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
Umesahau kuweka namba ya simu chifu [emoji15]
 
Nitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
Oli kifela
 
Cdm tulisha sema kuwa chini ya utawala wa ccm itafika muda watanzania wote turazungumza lugha moja kwa ccm haitufai.
Hakuna mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuipa kura CHADEMA. Ni mwendawazimu na kichaa pekee anayeweza waunga mkono chadema.ccm ndio Tumaini la watanzania,ndio chaguo lako,ndio chama kilicho katika mioyo yao ,ndio chama ambacho kimepewa ridhaa katika nafsi na mioyo ya watanzania.ndio maana kina Endelea kuaminika na kuaminiwa na wananchi.ndio maana kinaendelea kuungwa mkono,ndio maana kinaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania na ndio maana kinaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania.

Hii ni kutokana na sera na ajenda zake kugusa maisha ya watanzania,sera zenye kuleta matumaini na furaha katika maisha ya watu,kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya watanzania na kuwainua watu kiuchumi.
 
Umeme wa mafungu, waliowekeza kwenye nishati ya umeme wanaumia sana, kila siku wanaambiwa wakayatizame, kiongozi gani kila kitu anawaambia wakatizame?
 
Hakuna mtanzania mwenye akili Timamu na anayejitambua anayeweza kuipa kura CHADEMA. Ni mwendawazimu na kichaa pekee anayeweza waunga mkono chadema.ccm ndio Tumaini la watanzania,ndio chaguo lako,ndio chama kilicho katika mioyo yao ,ndio chama ambacho kimepewa ridhaa katika nafsi na mioyo ya watanzania.ndio maana kina Endelea kuaminika na kuaminiwa na wananchi.ndio maana kinaendelea kuungwa mkono,ndio maana kinaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania na ndio maana kinaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania.

Hii ni kutokana na sera na ajenda zake kugusa maisha ya watanzania,sera zenye kuleta matumaini na furaha katika maisha ya watu,kuleta mabadiliko chanya katika maisha ya watanzania na kuwainua watu kiuchumi.
Tumaini la watanzania kwa miaka 60+ hakuna huduma hata moja mmefanikiwa hata kwa 40%? Hilo sio tumaini, ccm na vibaraka wake ni laana kwa nchi.

Tumaini
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Sukuma gang bwana mna stress sana,lini alikuomba umuunge mkono? Samia yupo Hadi 2030.

Mbona hutaji huo Mkoa wenye petrol station Moja tuu?
 
Back
Top Bottom