Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Hivi ikatokea labda akawa RIP ikajitokeza chance ya kumsindikiza kaburini je unaweza kujitolea kukaa nae kwa grave?Maana unasema utakuwa naye hadi mwisho.
Siyo ajitokeze,tutamlazimisha azikwe naye,tuone kama chawa anaweza mfuata ng'ombe machinjioni
 
Wenzako akina jingalao TumainiEl and get al walijiyoa sana ufahamu kama wewe unavyojitoa sasa,

Waulize Kwa sasa wapo wapi?

Nakupa miaka mitatu utakuwa unasugua benchi,ukiuponda utawala mpya
Kwa nini? Sasa tofauti yangu na hao ni kwamba Mimi namkubali Rais for leisure na Kwa mapenzi binafsi sifanyi Kwa maslahi.

Mimi ni mwanauchumi figures ndio zonaongeo sio tu vitu tudoho tudogo.
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
hiyo ndio demokrasia yako kama ambavyo mimi rasmi namuunga mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini? Sasa tofauti yangu na hao ni kwamba Mimi namkubali Rais for leisure na Kwa mapenzi binafsi sifanyi Kwa maslahi.

Mimi ni mwanauchumi figures ndio zonaongeo sio tu vitu tudoho tudogo.
Hata JPM alikuwa na akina Kafulila waliosifia figures kama wewe,nakupa miaka mitatu tu
 
Nakuona unatumia akili ya mbuni akiona hatari anaficha kichwa kwenye mchanga anadhani atakuwa salama hatari itapita tu.
Anahisi haonekani mwili wote kumbe yeye ndiyo haoni wala hasikii kinachoendelea kaficha macho na masikio.
Endelea kumpaka mafuta kwa mgongo wachupa.
Kura ya mtu mmoja mmoja kwa ujumla wake ndiyo unapata kura nyingi za kukupatia ushindi, endelea kumdharau mleta mada .
Rais samia hategemei kura za wendawazimu,.Rais Samia atapigiwa Kura za kishindo kutoka kwa mamilioni ya watanzania,Rais samia atapewa na kupata kura za mamilioni ya vijana ambao Rais samia amewapa matumaini niwa kuwapa maelfu ya ajira tangia ameingia madarakani. Watumishi wote wa umma watampa kura kwa kuwa amewapa tabasamu tangia ameingia madarakani kwa kuwapandishia mishahara kwa 23% ,kuwalipa malimbikizo ya madeni yao,kuwapandisha madaraja pamoja na nyongeza ya mshahara ya kila mwaka .atazoa kura zote za wakulima baada ya kuwa amekuwa kama mkombozi wao hasa baada ya kuwapa na kuwaandalia soko la uhakika kwa mazao yao pamoja na upatikanaji wa pembejeo. Atachota na kukomba kura zote za wafanyabishara ambao sasa wanafanya Biashara kwa amani na utulivu. Ataondoka na kura zote za watanzania ambao ameendelea kugusa maisha yao
 
Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi

Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.

Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.

Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli

Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.

Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.

Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3

Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..

Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka

Kama hutajali naomba kujua huo mkoa ulipo...
 
Nitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
Majitu kama haya sijui yanafanya nini hapa JF,ni zaidi ya jitu pumbavu.
 
Hata wewe unaona aibu tu, unatuvizia tukisahau nawe useme umejitoa, huyo bibi anayemuunga mkono ni zezeta tu.
we mjinga.kweli nisimuunge mkono kwa lipi? miradi inaendelea nchi nzima wafanyakaz wanapata mishahara mpaka madai yao. watoto wenu mnao zaa kama kuku wanaendelea kulipiwa ada . madarasa yanajengwa mapya. mpo huru hadi mnatukana. wewe ndoo huna akili. labda twaambieni rais gani katawala tukawa tunaishi kama tupo peponi? changamoto zipo kwa kila rais
 
Nimecheka hapo eti na hilo mkalitazame😂😂😂😂

Ukweli ni kwamba tunaishi kwa nguvu ya Mungu hata katika hili suala dogo tu la mafuta ambalo Mungu katupa utashi wanadamu wa kuweza kulitatua lakini unakuta limeshindikana halafu tuseme tuna viongozi hapana kwa kweli binafsi najisemea Mungu anasimama na sisi sana tu na tunaweza kuishi bila hata ya kuwa na Rais.
 
Back
Top Bottom