Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sahivi kila mtu analia kama mbuziCdm tulisha sema kuwa chini ya utawala wa ccm itafika muda watanzania wote turazungumza lugha moja kwa ccm haitufai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahivi kila mtu analia kama mbuziCdm tulisha sema kuwa chini ya utawala wa ccm itafika muda watanzania wote turazungumza lugha moja kwa ccm haitufai.
Sijawahi kuwa na imani na watawala wa ccm maana wapo kimaslahi binafsi zaidiUkiwa na akili timamu huwezi kumuunga mkono huyu maza hata kwa dak 5
Huyu kazidi aseeSijawahi kuwa na imani na watawala wa ccm maana wapo kimaslahi binafsi zaidi
Imeeeeedaaaaa MURAAAAAAAA imeeeeeeendaaaaa MURAAAAAAAAAAImeeeeenda
Nitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
Hata mimi simuungi mkono tena.Nimekuwa nikimtetea Sana Rais Samia kwenye mambo mbalimbali. Hata kwenye issue ya DP world nilikuwa naona wanamuonea, nimesimama Daima kuona alifanya uamuzi sahihi
Kwa hakika alikuwa na Kura yangu ya kumsogeza mpaka 2030, lakini leo rasmi natangaza simuungi mkono tena na nimeona udhaifu wake.
Mafuta ya petrol na Diesel imekuwa mateso sasa Tanzania. Yaani Rais kashindwa simamia issue ndogo ya Mafuta tunapaki magari, na vyombo vya usafiri, mkoa mzima kuna Petrol station moja tu kwa takribani wiki na hakuna kauli iliotoka? Kwa hakika Mama nchi amepelea.
Nami naunga sasa mkono tutafute mwanaume tena aongoze nchi. Wanawake wameshafeli
Zile kauli za "Ninaomba mkalitazame na hili", nahisi ndio zimetufikisha hapa, mikoani huku petrol na Diesel hakuna. Vituo vya mafuta vimefungwa.
Hii ilitokea mwezi uliopita tukadhani ni bahati mbaya, imetokea na mwezi huu, tafsiri ni kuwa kila mwezi itatulazimu watu wa mikoni kupaki gari zetu kwa wiki moja au zaidi kukiwa hakuna mafuta, lakini pia tukitumia muda kupanga foleni masaa hadi kumi kupata mafuta kwenye station chache mathalani moja inauokuwa imebaki na akiba, na Serikali ipo.
Hivi sio hawa walituaminisha Serikali inatumia na kuagiza mafuta ya miezi mitatu nyuma? Leo wanaficha mafuta kusubiri bei zipande Raia tunaumia. Gari kutoka dar kufika bukoba, musoma, sumbawanga, songea tangu bei kupanda ni siku 3
Rais yupo na hatoi kauli, akitoa anasema naomba na hili mkalitazame...aisee..
Its a time, I'm no longer backing President Samia for Second term of Presidency. Tukomae tu na wanaime hata akiwa badhirifu kuna kuda anatoa Sauti ya Mamulaka
Hii ndiyo shida tuliyo nayo Tz. Na hili ni zao la Katiba iliyochakaa. Kilichonishagaza sana ni kwamba baada tu ya bei mpya kutangazwa vituo vyoote vikaanza kuuza mafuta. Hii inamaanisha nini? Wahusika wa usimamiaji wa maswala ya nishati hiyo ni watu wasiokua na maadili kiasi kwamba wanawataarifu wafanyabiashara mapema kwamba wanafanya mchakato wa kupandisha bei? Usalama wa nchi unaweza kuharibiwa na/au kuchafuliwa na tabia kama hizi. And they walk free?Rais amezungukwa na Watu waovu kupitiliza, Tumuombee!
Hata hivyo Rais wetu anaungwa mkono na wenye akili Timamu na siyo vichaa na wendawazimu aina yakoUkiwa na akili timamu huwezi kumuunga mkono huyu maza hata kwa dak 5
Hebu tutolee ujinga hapaNitaendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa siku zote.Nitakuwa upande wake,nitasimama naye popote alipo na kumtetea popote niwapo, nitasema kwa nguvu zangu zote mazuri yote anayoendelea kuyafanya katika Taifa letu.kila mtu anatambua dhamira njema aliyonayo mh Rais katika Taifa letu. Sote tumeona kazi kubwa aliyoifanya katika secta ya Elimu, Afya, miundombinu,kilimo n.k. Tumeona shule zilijengwa kila eneo,tumeona vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vikijengwa,tumeona Elimu ikitolewa bure hadi kidato cha sita,tumeona vituo vya afya vikijengwa kila kona ya Taifa letu.Tumeona leo hii miradi mbalimbali ya maendeleo ikichipua kila sehemu .kwa hakika nitaendelea kuwa pamoja na Rais samia na serikali yake mpaka mwisho.
Embu ondoa uhayawani wako hapaHebu tutolee ujinga hapa
Rais Samia Tutaendelea kuwa naye na tunampenda na kuridhishwa na utendaji kazi wake pamoja na uchapa kazi wake uliotukuka.Kuna sababu million za yeye kujiuzuru ila inayompa nguvu ni moja tu this is Africa
Sishangai kwa vile ni mwanamke mwenzakoHata hivyo Rais wetu anaungwa mkono na wenye akili Timamu na siyo vichaa na wendawazimu aina yako
Nadhani shida ni katiba hata akija Obama hakuna muujiza atafanya, tuna mfumo wa kijinga haswaKuna sababu million za yeye kujiuzuru ila inayompa nguvu ni moja tu this is Africa
ALiyeanzisha msemo wa anaupiga mwingi ni Malisa ambaye ni mkristo kipindi anafanya vizuri, JPM alikuwa ni mkristo safi tena RC lakini RC walipinga kwa waraka tena mrefu, sema ulikuwa bado mtoto 2018, hatupo kupiga dini tupo kupiga maovuMnamchukia Samia kisa ni muislam. Wakristo mna chuki sana na udini sana nchi hii
Ni aibu na hatari snHii ndiyo shida tuliyo nayo Tz. Na hili ni zao la Katiba iliyochakaa. Kilichonishagaza sana ni kwamba baada tu ya bei mpya kutangazwa vituo vyoote vikaanza kuuza mafuta. Hii inamaanisha nini? Wahusika wa usimamiaji wa maswala ya nishati hiyo ni watu wasiokua na maadili kiasi kwamba wanawataarifu wafanyabiashara mapema kwamba wanafanya mchakato wa kupandisha bei? Usalama wa nchi unaweza kuharibiwa na/au kuchafuliwa na tabia kama hizi. And they walk free?