Simuungi tena mkono Rais Samia kwa haya yanayoendelea na kadhia ya Mafuta

Aisee!
Ndugu ukapimwe kama akili inafanya kazi ipasavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi simuungi mkono tena.

Yeye mwenyewe alishuhudia mambo yasiyofaa awamu iliyopolita na huenda alikuwa mwathrika then anarudia yale yale?
 
Rais amezungukwa na Watu waovu kupitiliza, Tumuombee!
Hii ndiyo shida tuliyo nayo Tz. Na hili ni zao la Katiba iliyochakaa. Kilichonishagaza sana ni kwamba baada tu ya bei mpya kutangazwa vituo vyoote vikaanza kuuza mafuta. Hii inamaanisha nini? Wahusika wa usimamiaji wa maswala ya nishati hiyo ni watu wasiokua na maadili kiasi kwamba wanawataarifu wafanyabiashara mapema kwamba wanafanya mchakato wa kupandisha bei? Usalama wa nchi unaweza kuharibiwa na/au kuchafuliwa na tabia kama hizi. And they walk free?
 
Hebu tutolee ujinga hapa
 
Mnamchukia Samia kisa ni muislam. Wakristo mna chuki sana na udini sana nchi hii
 
Mnamchukia Samia kisa ni muislam. Wakristo mna chuki sana na udini sana nchi hii
ALiyeanzisha msemo wa anaupiga mwingi ni Malisa ambaye ni mkristo kipindi anafanya vizuri, JPM alikuwa ni mkristo safi tena RC lakini RC walipinga kwa waraka tena mrefu, sema ulikuwa bado mtoto 2018, hatupo kupiga dini tupo kupiga maovu
 
Ni aibu na hatari sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…