Wa Kenya wazee wa kujipangusia makaratasi wakienda haja...
Kenya wanakula mboga za majani kuanzia asubuhi mpaka usiku... njaa kali asikudanganye mtu, east africa hakuna mtu anakula ugali kama hawa viumbe... hasa kuna kabila wanaitwa waluya wazee wa mkombero...
Wanawake(middle class) wa kikenya papuchi zinatema(uchafu) ni ni tofauti kabisa na pisi za Tz...
Ni wapenda sifa na huwa wanawaona wa Tanzania wanawazidi elimu(wanadanganyana)
Wanawake wa Kenya hawajui kupika... ni zero... wanapika chapati mpaka kwenye sherehe, chapati zenyewe hawajui kupika...
Nyumba zao wamebana vyumba, yaani vyumba vidooogo kwa sababu ya uhaba wa ardhi, kumiliki ardhi kenya we ni tajiri... tofauti na kwetu kijana ana miaka 25 au 30 ana maekari ya ardhi...
Wa Kenya huwa wanajiona halafu huwa hawajui tu wa Tanzania tupo vipi, mfano wanajua wana jeshi bora, maisha bora, elimu bora na kila kitu hata miundo mbinu kuliko nchi zote EA... ambacho hawajui ni kwamba ile kuongea tu Swahili ambapo chimbuko ni hapa Tanzania, tayari tumewapiga a biiigg middle finger, yaani sisi ni kama tumewatawala kiutamaduni, angalia hata kimuziki wanatuiga sisi, sisi hatuwa copy wao ... huwezi sikia hata siku moja UAE wanajitapa mbele ya USA au UK kwamba wanawazidi magorofa cause mbabe ni mbabe tu licha ya mapungufu yetu but Tanzania ina historia pana sana, vita harakati za ukombozi n.k....
Kenya zaidi ya riadha na kiingereza chenye lafudhi ya kijaluo hawana jipya... nikosoeni kama nasema uongo ndugu zangu....
Kuna mzee mmoja nilikutana nae barbershop Kenya, katika story nikamsikia anasema eti "in east Africa hakuna watu wanaweza vita ya face to face kama wa Kenya", nikamtolea uvivu nikamwambia "mzee Kenya hata historia ya kuwa vitani hamna, hakuna experience yeyote Kenya mnayo ya kuingia vitani" yule mzee akakausha...
Hizi energy drink za bakhresa Kenya hakuna kiwanda wameweza kubuni, wameiga sana mpaka chupa lakini kwenye taste wana fail na wanakiri viwanda vya Tanzania bidhaa zao ni the best, trust me i have been there na siongelei chuki... hata soda wanasema za Tz zina taste vizuri....
Kenya ujanja ujanja mwingi..., imefikia hatua wanasema kiswahili chimbuko ni kwao(ihiiiiiiiiiiiiii (in JPM voice))....