Sina chuki na Wakenya ila nimejifunza haya katika kufanya nao kazi

Sina chuki na Wakenya ila nimejifunza haya katika kufanya nao kazi

Hata sijui mm mizania yangu niiweke wapi ...maana kuna mTz mwenzangu mmoja alitoa ushuhuda alivyo okolewa na li mama la kikenya wakat yupo Mozambique ..li mama la kikenya lili mbaini jamaa ni MTz aliposikia lafudhi yake tu ya english ..basi li mama la kikenya likampa hifadhi yule msela Mtz na jamaa akaenda mbali zaidi akasema pia usiku kadhaa alitunukiwa uroda na ilo limama la kikenya.
wanawake wa kikenya wanatupenda sana wanaume wa Tanzania... waganda na warundi pia...!
 
1. Wako tayari kukukandamiza hata km huna kosa , hawawezi kukutetea kwa bosi/ mkuu, they are always on management side.

2. Wanapenda kujua habari za wenzao ila zakwao hawataki zijukikane
3. Wanaroho mbaya ya uchoyo
4. Mbali na kingereza, hawako smart sana kama inavyofikiriwa

5. Wanapenda mambo ya kulinganisha hasa mambo ya kimaendeleo.

6. Wakenya wakiume walipata nafasi kidogo ni waxhafu sana kwa dada zetu
7. They like show off, wanapenda kujionesha kua wao wema na wanafanya kazi

Prove me wrong from your work place
Kenya kwa ujumla ni majirani wabaya sana, hawana urafiki au udugu wa ukweli, hasa kwenye issue ya opportunities wapo tayari kwa jambo lolote
 
1. Wako tayari kukukandamiza hata km huna kosa , hawawezi kukutetea kwa bosi/ mkuu, they are always on management side.

2. Wanapenda kujua habari za wenzao ila zakwao hawataki zijukikane
3. Wanaroho mbaya ya uchoyo
4. Mbali na kingereza, hawako smart sana kama inavyofikiriwa

5. Wanapenda mambo ya kulinganisha hasa mambo ya kimaendeleo.

6. Wakenya wakiume walipata nafasi kidogo ni waxhafu sana kwa dada zetu
7. They like show off, wanapenda kujionesha kua wao wema na wanafanya kazi

Prove me wrong from your work place
True to some extent na yote hii inatokana na ukabila huko kwao kwani hata wao wenyewe kwa wenyewe hawathaminiani, wako sawa na Wahindi tu
 
Wa Kenya akili zao muda wote wanawaza mafanikio/pesa wako tayari kufanya lolote
Uzoefu wangu kufanya biashara na wakenya..
Ni wapambanaji na wanajua wanachotafuta.Wanakuheshimu mtanzania baada ya kujua uwezo wako kifedha au elimu!
Tuache kulalamika kwenye Kila kitu,tafuta sasa utawaona watu wa Kila mahali ni wazuri!
 
Back
Top Bottom