John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Mada zingine kwenye mtandao huu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanawake wa kikenya wanatupenda sana wanaume wa Tanzania... waganda na warundi pia...!Hata sijui mm mizania yangu niiweke wapi ...maana kuna mTz mwenzangu mmoja alitoa ushuhuda alivyo okolewa na li mama la kikenya wakat yupo Mozambique ..li mama la kikenya lili mbaini jamaa ni MTz aliposikia lafudhi yake tu ya english ..basi li mama la kikenya likampa hifadhi yule msela Mtz na jamaa akaenda mbali zaidi akasema pia usiku kadhaa alitunukiwa uroda na ilo limama la kikenya.
Kenya kwa ujumla ni majirani wabaya sana, hawana urafiki au udugu wa ukweli, hasa kwenye issue ya opportunities wapo tayari kwa jambo lolote1. Wako tayari kukukandamiza hata km huna kosa , hawawezi kukutetea kwa bosi/ mkuu, they are always on management side.
2. Wanapenda kujua habari za wenzao ila zakwao hawataki zijukikane
3. Wanaroho mbaya ya uchoyo
4. Mbali na kingereza, hawako smart sana kama inavyofikiriwa
5. Wanapenda mambo ya kulinganisha hasa mambo ya kimaendeleo.
6. Wakenya wakiume walipata nafasi kidogo ni waxhafu sana kwa dada zetu
7. They like show off, wanapenda kujionesha kua wao wema na wanafanya kazi
Prove me wrong from your work place
Hata mimi Bichwa Komwe nadata sana na midume ya kitanganyika.wanawake wa kikenya wanatupenda sana wanaume wa Tanzania... waganda na warundi pia...!
True to some extent na yote hii inatokana na ukabila huko kwao kwani hata wao wenyewe kwa wenyewe hawathaminiani, wako sawa na Wahindi tu1. Wako tayari kukukandamiza hata km huna kosa , hawawezi kukutetea kwa bosi/ mkuu, they are always on management side.
2. Wanapenda kujua habari za wenzao ila zakwao hawataki zijukikane
3. Wanaroho mbaya ya uchoyo
4. Mbali na kingereza, hawako smart sana kama inavyofikiriwa
5. Wanapenda mambo ya kulinganisha hasa mambo ya kimaendeleo.
6. Wakenya wakiume walipata nafasi kidogo ni waxhafu sana kwa dada zetu
7. They like show off, wanapenda kujionesha kua wao wema na wanafanya kazi
Prove me wrong from your work place
Uzoefu wangu kufanya biashara na wakenya..Wa Kenya akili zao muda wote wanawaza mafanikio/pesa wako tayari kufanya lolote
😂😀Kama warombo walivyo