Sina chuki na Wakenya ila nimejifunza haya katika kufanya nao kazi

Sina chuki na Wakenya ila nimejifunza haya katika kufanya nao kazi

mkuu nakubaliana na wewe kwny 1,2 na 3 zingine sina uhakika lkn pia umesahau kuwapa sifa yao nyingine ambayo mimi naiona ni sifa kuu ya msingi inayotutofautisha na sisi TZ, wenzetu wanauthubutu mkubwa klko sisi bado tumelala. Basi na tuwape credit ktk hili la uthubutu.

Hamna cha uthubutu wala nini. Wangekuwa na uthubutu wangepigania ardhi walioibiwa na akina kenyatta na mabwenyenye wengine. Wewe unachokiongelea ni kujilipua kwa sababu ya kukosa m'badala. Mnaenda nao kusoma ulaya, wenyewe wanatorokea huko huko.
 
Waganda wameambukizwa na majirani zao wakina Rweyemamu, Rutashobya😜😜
Kabisa waganda wanapenda sana sifa kila kizuri kiko Uganda na hawapendi ku appreciate kitu kizuri cha mtu ila cha kwao ndicho kizuri lakini unakuta pia uwezo wao mdogo tu hata kazini na hata ukienda Uganda hakuna maendeleo ya maana sana. Wakenya ni wapigaji sana hasa wakiwa wamepewa nafasi muhimu, wabinafsi sana pia wanatabia ya kupenda sana sifa. Ukitaka kuishi nao hawa hakikisha hawajui lolote juu ya maisha yako binafsi na mipango yako kwa ujumla
 
ukienda marekan leo hii kuna watu hawana chakula na hata pakulala. lakin haimaanish tuko sawa chief. mimi ni mtz na nimebahatika kusafir nchi nyingi mno. cc malengo yetu ni madogo mno. ya mtz wa kawaida akipata
nyumba gar na mke na mshahara kinachofuata ni matumiz. hatujui kujenga uchumi endelevu. hatuko serious na maisha kabisa. na ukiwa serious unaonekana unaringa roho mbaya n so on. hlo la watoto kushinda njaa lipo nch nying hata bonden lipo sana. unajua ukijua ukweli unajifunza na ukipinga ukweli haimaanisha utaubadilisha zaid sana unachelewa. nimetolea mfano wa soko la hisa Nairobi na Dar ni kifo n. usingz
 
We unawajua vzr Sana mkuu,ndio Maisha yao kabisa hayo.
Nilikaribishwa kwenye nyumba moja ya waganda huko Uganda, yaani hiko chakula ni ndizi wanazifinyanga finyanga inageuka kuwa kama ugali, halafu hizo kuku sasa wanajaza na binzari za kutosha, pale mezani msosi umefunikwa na majani ya migomba, asee nilipakumbuka nyumbani...

Wanakuambia menyu kufunikiwa majani ya migomba hio ni heshima...

Unaipata chikomandoo?
 
ukienda marekan leo hii kuna watu hawana chakula na hata pakulala. lakin haimaanish tuko sawa chief. mimi ni mtz na nimebahatika kusafir nchi nyingi mno. cc malengo yetu ni madogo mno. ya mtz wa kawaida akipata
nyumba gar na mke na mshahara kinachofuata ni matumiz. hatujui kujenga uchumi endelevu. hatuko serious na maisha kabisa. na ukiwa serious unaonekana unaringa roho mbaya n so on. hlo la watoto kushinda njaa lipo nch nying hata bonden lipo sana. unajua ukijua ukweli unajifunza na ukipinga ukweli haimaanisha utaubadilisha zaid sana unachelewa. nimetolea mfano wa soko la hisa Nairobi na Dar ni kifo n. usingz
Mkuu Kenya chakula ni ghali na hawana chakula kama Tz, ukibisha na hilo sijui utakuwa na malengo gani...
Suala la gari mke na nyumba inapaswa ujizungumzie wewe si ujumuishe wa Tanzania wote... huniambii kitu kuhusu wa Kenya

Nilikamatwa na polisi fulani Kenya Nairobi kisa sina barakoa, ile nilipoongea tu, akanambia we ni mTanzania? nikamwambia ndio, alikuwa na afande wenzake akaongea kwa kejeli Tanzania hio nchi ya masikini... asee binafsi nilijisikia vibaya sana... kwa sababu afande mwenyewe alikuwa na asili ya kisomali nilimjibu Unazungumzia Tanzania ama Somalia? jamaa alikasirika sana, long story short niliwapa hongo na kuniachia kwa mbinde...

wa Kenya wengi hawawaongelei wa Tz vizuri, wanawaona kama nyanya mbovu, kama watu ambao hawajaelimika, hata kama wapo humu wasome mimi si mnafiki... waache unafiki...
 
Mkuu Kenya chakula ni ghali na hawana chakula kama Tz, ukibisha na hilo sijui utakuwa na malengo gani...
Suala la gari mke na nyumba inapaswa ujizungumzie wewe si ujumuishe wa Tanzania wote... huniambii kitu kuhusu wa Kenya

Nilikamatwa na polisi fulani Kenya Nairobi kisa sina barakoa, ile nilipoongea tu, akanambia we ni mTanzania? nikamwambia ndio, alikuwa na afande wenzake akaongea kwa kejeli Tanzania hio nchi ya masikini... asee binafsi nilijisikia vibaya sana... kwa sababu afande mwenyewe alikuwa na asili ya kisomali nilimjibu Unazungumzia Tanzania ama Somalia? jamaa alikasirika sana, long story short niliwapa hongo na kuniachia kwa mbinde...

wa Kenya wengi hawawaongelei wa Tz vizuri, wanawaona kama nyanya mbovu, kama watu ambao hawajaelimika, hata kama wapo humu wasome mimi si mnafiki... waache unafiki...
cjasema wanachakula kama cc bab. nachokuambia mkenya katuacha mbali. nenda popote utakuta mkenya kaajiriwa na hyo ni sabab za kihistoria. hawa jamaa Muingereza aliwekeza kwao zaid kuliko hapa kwetu. wana muingiliano mkubwa na dunia kupita cc. na wameish kwenye capitalisim cku zote. ngoja nikupe mfano mdogo.
hebu nenda kwenye takwim za soko la AGOA uangalie wakenya w.meuza bidhaa za shs ngap America per year na mtz kwa america ndio utajua. hyo roho mbaya ya polis ndio ubepar huo hata cc tunaelekea huko. kwani zaman tulikuwa na fensi za kuta? na kwataarifa yako kampun zote za kiume wakitaka kuwekeza east africa wanaanzia Nairobi huku kunakuwa branch.
 
cjasema wanachakula kama cc bab. nachokuambia mkenya katuacha mbali. nenda popote utakuta mkenya kaajiriwa na hyo ni sabab za kihistoria. hawa jamaa Muingereza aliwekeza kwao zaid kuliko hapa kwetu. wana muingiliano mkubwa na dunia kupita cc. na wameish kwenye capitalisim cku zote. ngoja nikupe mfano mdogo.
hebu nenda kwenye takwim za soko la AGOA uangalie wakenya w.meuza bidhaa za shs ngap America per year na mtz kwa america ndio utajua. hyo roho mbaya ya polis ndio ubepar huo hata cc tunaelekea huko. kwani zaman tulikuwa na fensi za kuta? na kwataarifa yako kampun zote za kiume wakitaka kuwekeza east africa wanaanzia Nairobi huku kunakuwa branch.
Hivi kwa nini unataka kujumuisha watanzania wote, unafikiri kila mtu ana fikra duni kama wewe?
 
Hivi kwa nini unataka kujumuisha watanzania wote, unafikiri kila mtu ana fikra duni kama wewe?
bro cjasema wote ila majority. wala uckasirike mi kusema wametupita mzee ndio ukweli. cku moja nikijaliwa nitaeleze jins nilivyanikiwa kununua hisa kwenye benk moja nairob na dar na kilichotokea. nimesema yote haya siO kudunisha watu mzee. ni ile kuwastua watu ili wachangamkie fursa usisahau mama kasharuhusu vibali vitolewe kwa wagen kufanya kaz tutakuja kujikuta ni wafanyakaz wao.
 
cjasema wanachakula kama cc bab. nachokuambia mkenya katuacha mbali. nenda popote utakuta mkenya kaajiriwa na hyo ni sabab za kihistoria. hawa jamaa Muingereza aliwekeza kwao zaid kuliko hapa kwetu. wana muingiliano mkubwa na dunia kupita cc. na wameish kwenye capitalisim cku zote. ngoja nikupe mfano mdogo.
hebu nenda kwenye takwim za soko la AGOA uangalie wakenya w.meuza bidhaa za shs ngap America per year na mtz kwa america ndio utajua. hyo roho mbaya ya polis ndio ubepar huo hata cc tunaelekea huko. kwani zaman tulikuwa na fensi za kuta? na kwataarifa yako kampun zote za kiume wakitaka kuwekeza east africa wanaanzia Nairobi huku kunakuwa branch.
We mzee unaongea nini? kwa hio unaona chanzo cha wao kuwa hapo kisa ni muingereza kuwekeza kwao kuliko sisi, huyo muingereza yupo wapi sasa hivi? muingereza anamzidi nini mchina? kama unawaona british ni mastermind mbona wamepigwa big MF na nchi walizozitawala ikiwemo USA?

unachekesha mkuu...

Masuala ya hisa si kigezo rasilimali hawana acha wakomae na business, Kenya maisha yapo juu, kuanzia upangaji wa nyumba, kumiliki ardhi hata chakula ni tofauti na hapa kwetu, nikupe mfano....

China huduma za kijamii ni bei nafuu, hata pombe China ni bei chee sana, usizungumzie electronics huko ndio bei za kutupa, usizungumzie masuala ya afya ni sawa na bure, elimu n.k
USA huduma za kijamii ni ghali,

Kuna kitu kinaitwa Purchasing Power ndicho kinaifanya China iogopeke duniani, mchina anadunda na $100 siku nzima kwa mahitaji mengi...
Hio $100 nenda nayo USA uone kama jioni inafika...

Familia ya kipato cha kati Kenya inabidi itumie nguvu nyingi kuishi maisha sawa na familia ya kipato cha kati Tanzania...

Siku tukiamua kufanya vipaumbele na kampeni za uwekezaji kwa makampuni ya kigeni hapo ndipo tunawazika kabisa...

Sio ujanja eti kusifiwa mnaajiriwa sana, mnafanya sana biashara, halafu maisha ni ghali.... ni ujinga na ushamba
 
ukienda marekan leo hii kuna watu hawana chakula na hata pakulala. lakin haimaanish tuko sawa chief. mimi ni mtz na nimebahatika kusafir nchi nyingi mno. cc malengo yetu ni madogo mno. ya mtz wa kawaida akipata
nyumba gar na mke na mshahara kinachofuata ni matumiz. hatujui kujenga uchumi endelevu. hatuko serious na maisha kabisa. na ukiwa serious unaonekana unaringa roho mbaya n so on. hlo la watoto kushinda njaa lipo nch nying hata bonden lipo sana. unajua ukijua ukweli unajifunza na ukipinga ukweli haimaanisha utaubadilisha zaid sana unachelewa. nimetolea mfano wa soko la hisa Nairobi na Dar ni kifo n. usingz
Kwa hiyi wao wakenya wana nini na nini mkuu? Usiniambie wakenya wote ni kina Bakhresa
 
Back
Top Bottom