Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Pole sana mkuu.Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kura tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachiniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu
Msinipopoe wakuu
Kumbadilisha tabia mtu mzima ni jambo gumu sana unless yeye mwenyewe ajitahidi kufifisha tabia zake ili zisikuathiri..Pole sana mkuu.
Huwenda uliyaona hayo yote kabla ila ukajipa moyo atabadilika.
Hakunaga kubadilika kwenye ndoa zaidi ya kuwa mshenzi zaidi.
Yaani 95% ya watu ndoa inawabadilisha na kuwa washenzi zaidi.
So suala la kubadilika kwenye ndoa tusilichukukie poa.
Chagua mwenza mwenye tabia ambazo yuko nazo wakati huo ambazo unahisi utaziridhia kwenye ndoa akiwa nazo,then ishi naye,mbali na hapo ni betting.
Asante sana.
Tako analo?? kama hana basi umekula hasara mara 2Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kura tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachiniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu
Msinipopoe wakuu