Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinawaramba[emoji1787]Mnatuchanganya mlisema mnataka golikipa
Sasa hv mnaelemewa..
Uvivu,binafs nauchukulia kama ugonjwa,hivyo unaweza kupona,hilo ndilo jaribu lako,usimrudishe kwao,kaa nae chini,muelekeze,mke ndio mtu pekee unaandikiwa kuwa nae mpaka kufa,let you move together...sikupi pole kwa sabab yapo makubwa zaidi ya hayo kwenye ndoa lakin hawachukui maamzi hayo,it's too early !Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kura tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachiniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu
Msinipopoe wakuu
Mkuu acha kudanganya watu,bora nikosee kuoa kuliko kukosea kujenga,fukuza mke oa mwingine maisha yaendelee,siwezi kupewa stress na mwanamke mimi.Hukugundua wakati wa uchumba? Kosea kujenga nyumba kwani utabomoa na kujenga upya, sio kuoa. Vijana, nawaasa, kuoa ni mtihani mgumu sana.
Mkuu kitanda sio kaburi kamata mtoto wa kizigua ulale nae.Hukutusikiliza vijana wa kataa, ndoa pole mkuu.
Ingawa pia nimechoka kulala peke yangu, Kuna mtoto wakizigua naona kabisa anaweza nitoa kwenye kundi la kataa ndoa. Lakini bado nahofu nae ngoja niendelee kuvuta subira
Ulimkuta bikra?Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kura tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachiniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu
Msinipopoe wakuu
Huyo ni mmoja wa matajiri wa jf, hela zimejaa kwenye keyboard.Sasa wewe si ulisema unaingiza Milion 100 Kwa mwaka?
Ambayo ni sawa na makadirio yafuatayo..
Ambayo ni sawa na Milion 8.4 Kwa mwezi?
Ambayo ni sawa na 1,946,000/- kwa wiki?
Ambayo ni sawa na 278,000/- kwa siku?
Ambayo ni sawa na Tsh 11,590/- kwa saa?
Ambayo ni sawa na makadirio ya Tsh 200 kwa Dakika?
Sasa kilio cha Nini Mkuu,Unatka kumchosha mtoto wa watu wakati pesa Ipo ajiri Watu wafanye kazi nyumban Mke Ni pambo!
Uvivu wake na hisia zako za mapenzi vinahusiana nini?Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kura tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachiniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu
Msinipopoe wakuu
Sio kuolewa tu hata mahusiano.Kama umeoa/umeolewa na mtu sahihi na unafurahia maisha ya ndoa, you have to thank God.
Mahusiano si unapiga chini any time T. Kuvunja ndoa ni process ndefu na ngumu.Sio kuolewa tu hata mahusiano.
Aaah Haya mambo bwana.