Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fala mkubwa weweUna maana yeye ni msimamizi wa "kura"? Au ndiyo shule ulienda kusomea ujinga?
Wewe ni falaUvivu wake na hisia zako za mapenzi vinahusiana nini?
Naomba niunganishe nae tuongeee kidogoTafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Hahahaha Mpwa unamtusi Bibi wa Jamvi?Wewe ni fala
ala sana huyo ajuza malayaHahahaha Mpwa unamtusi Bibi wa Jamvi?
..
........hii ndo shida ya feki ID, watu wako serious wanashauri kumbe ni ujinga tu unaendelea.......Subiri kwanza wewe ni ME au KE?
Mkuu kwani kuachana shingapi?Hukugundua wakati wa uchumba? Kosea kujenga nyumba kwani utabomoa na kujenga upya, sio kuoa. Vijana, nawaasa, kuoa ni mtihani mgumu sana.
Habari za kupotea mkuu!
Mkuu wanawake hawabadiliki Kwa vikao. Nimejaribu mara kadhaa Ila haijasaidia. Niliamua kumpuuza na kuwa mnafiki tu ndo mambo yakaenda. Napiga nje ya ndoa mademu wa kuokota tuKaa nae chini mchane mke wangu haya maisha hayaendi hivo. Muelekeze vizuri Mshauri venye unawish / unataka afanye
Na muplan kwa pamoja na ulifanyie ufuatiliaji.
cc Smart911
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.
Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.
Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.
Msinipopoe wakuu
Many men don't understand the meaning of wife. They always think beauty and sex is overwhelming their logic and rational mind then they fall under the emotions decisionsMke sio sura wala chura, kama wengi mnavyodhani.
Mke ni mshirika wa maisha yako, uwe kipofu, uwe huna miguu n.k atakuwa na wewe bega kwa bega.
Kuwa makini unavyotafuta mwenza.
Kwani haukumfanyia interview kabla ya kuamua kumuoa?