Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Kosa kubwa tunalofanya wakati wa kuoa au kuolewa ni kuwa,tabia mbaya unazoziona mwenzi wako anazo,usifikiri kuwa iko siku utaweza kuzirekebisha mkishakuwa mmefunga ndoa,ukumbuke kuwa tabia huwa haina dawa,kama ni mlevi,mzinzi,mvivu,muongo,mchafu n.k kaa ukijua kabisa kuwa huwezi kuvibadilisha...
 
Nipe sababu kuu 3 ambazo zilikufanya uonehuyi mwanamke ni sahibi wwewe kuoa.
Kisha unipe madhaifubyake uliyoyaona kwenye uchumba lakini ukajipa moyo kwa udhaifu wake huu na mazuri yake haya, huyu still anafaa nafasi ya kuwa mke wangu, tujue ulikosea wapi.
 
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Unaweza Kuta unamlaumu binti wa watu bure tu kumbe tatizo ni ww maana sio Kila mtu ni mpambanaji wengine wanahitaji kushikwa mkono na kuonyeshwa njia ndipo waendelee mbele.
 
Anajua kupika?
Anajua kuoga usafi?
Anajua kulea mume au mtoto hata wa ndg?

Anajua *kusoma?

Usimuache utapata laana, fungua biashara muweke hapo asimamie, utakuwa umesolve tatizo la uvivu kiasi flan.

Usiishie hao, tafuta polepole mke mwingine....mwenye tabia unazopenda.

Mwanamke anafundishwa hafukuzwi
 
Wakuu nakiri kabisa from heart ya kwamba hii ndoa yangu nilikurupuka sana yapata takribani mienzi minne ya ndoa yangu sina hisia ya mapenzi na nahisi kujuta sana kwenye maisha yangu na sina furaha kabisa.

Yaani sina furaha kabisa wakuu yaani najuta kuoa mwanamke wa chop money yaani yeye ni kula tu na kulala na ni mvivu sana na mbaya zaidi kinachoniuma nimetoa mahari nyingi sana lakini binti ni mvivu sna na nahisi majukumu yamenielemea kabisa.

Tafadhali naombeni ushauri wenu wakuu na nataka nimrudishe mazima kwao ili nikeep furaha yangu.

Msinipopoe wakuu
Mpe taraka, kama huwezi vuta jiko la pili kaishi nae huko ukaenjoy huyu wa kwanza taratibu atashika adabu acha kabisa kumzingatia mpaka anyooke.
 
Pole sana mkuu.

Huwenda uliyaona hayo yote kabla ila ukajipa moyo atabadilika.
Hakunaga kubadilika kwenye ndoa zaidi ya kuwa mshenzi zaidi.

Yaani 95% ya watu ndoa inawabadilisha na kuwa washenzi zaidi.
So suala la kubadilika kwenye ndoa tusilichukukie poa.

Chagua mwenza mwenye tabia ambazo yuko nazo wakati huo ambazo unahisi utaziridhia kwenye ndoa akiwa nazo,then ishi naye, mbali na hapo ni betting.

Asante sana.
Nahisi kama.ulikuwepo mkuu! Yote uliyoyaongea yapo sahihi mkuu🙏🏻🙏🏻
 
Back
Top Bottom