Uchaguzi 2020 Sina imani na CHADEMA na Lissu tena, hata wakishindwa itakuwa sawa tu

Uchaguzi 2020 Sina imani na CHADEMA na Lissu tena, hata wakishindwa itakuwa sawa tu

Kosa ni la Magufuli kukutumbua vyeti feki au ni lako kuliletea usanii taifa?
 
Hakuna mwenye uwezo wa kulinda kura mbele ya serikali ya CCM. Wana uwezo kubadiri sheria dakika yoyote ili kupata ushindi (kumbuka Jecha kule Zanzibar). Wana uwezo kuanza kuhesabu upya kura zilizohesabiwa vituoni badala ya kujumlisha wakijua mgombea wao ameshindwa. Wana uwezo wa kutumtangaza mshindwa kuwa mshindi kwani Sheria inailinda time ya uchaguzi. Ni madudu mengi, acha mwingine aongezee.
 
Japo watakupinga walio wengi Ila ukwel wakiwepo wasimamiz Makin na watu wakaamua kulinda kura kiukwel maguful atapigwa kipigo kibaya Sana ,maana walio wengi hata huko ccm hawamkubal yaan wanamsanif tu ili wapate ugali Ila ndani ya mioyo yao hawapendezwi kabisa na style ya uongozi wake.

Ingawaje mzee ni mbishi na hatak kuamini hilo kama anajiamini kura zihesabiwe kila kituo Tena kwa uwaz kama walivyofanya kipind Cha kupitisha wabunge huko ccm yaan ataambulia aibu kubwa sana.

Mzee ifike wakat ajirekebishe ubabe na kuumiza watu kwa makusud apunguze kama sio kuacha kabisa maana watu hawamkubal kabisa ni vile tu watanzania ni waoga hivyo wameamua kuwa wanafki tu ili cku ziende.

Nakuhakikishia hata akina nape na wengine kibao Kama akina makamba hawampend huyu jamaa sema njaa ndio tatizo wameamua Bora liende tu Ila ukwel wote mungu ndie anaujua, Tena hakuna mtu anaeumia Kama nape na group lake yaan Wana mengi ya moyon Ila hawana ubavu huo na saiz wameamua liwalo na liwe na nape anaweza rudishwa kwenye Baraza la mawazir next term maana kajitahid Sana kurekebisha makosa yake kwa mzee.

Mwisho kabisa CCM itaendelea kutawala tu kwa njia yoyote ile maana watanzania ni makondoo ya kafara so mm bado naamin ccm bado ipo ipo Sana na itaendelea kutuburuza had kizaz hiki Cha nyoka kijetoweka kabisa pengine ndio wataachia nchi na kuachia nchi sidhan Kama itakuwa kwa njia ya paper hapa lazima kafara itolewe ndipo ccm atatoka madarakan Ila ukwel watu hawaipend ccm kuliko chochote watu Wana mengi ndani ya mioyo yao.

Na kuhusu kulinda kura kwa hali iliopo sio rahisi kiivo watz ni waoga Sana wakiona sare za police ,jwt na vifaru so wote tutakaa ndani kudubiria mgombea wa ccm atangazwe. Labda Zanzibar wanaweza fanya lolote maana wale ni cku na muda vinasubiriwa kulipuka tu na watu wapo tayal kwa Hilo hapa Ni swala la muda tu
Umeandika hoja tupu mkuu
 
Wewe sio chadema wala mtaka mabadiliko acha unafiki
Hujanielewa kabisa wewe,Mimi nakuambia chadema iombe msaada hata kwa akina FBI ili kulinda kura zetu,kwani CCM wanpigwa chini saa mbili asubuhi tu,Lissu ana mamilioni ya kura juu ya Magu,lakini kulinda kura ndio kimbembe.
Dina CCM Sasa hivi wamekata tamaa wanachopanga huko vyumbani Ni namna ya kuiba kura tu,kwa sababu kwenye sanduku la kura CCM hawashindi.
Umeelewa Dina?
Sema nimeandika kifasihi zaidi.
 
Yaani kura ipigwe na mtanzania ilindwe na UN hiyo akili au mavi. Wananchi wakaikataa CCM hata ashuke Jibril hakuna wa kuzuia. Niulize mimi tulimpigania nassari akashinda kwa kishindo. Uhalisia wa sasa hivi Chadema labda imebaki JF tu lakini uraiani Lisu akifikisha 10% akatoe sadaka ya shukrani.

Magufuli ametuonesha kesho ya Tanzania na tuko tayari kufunga mkanda kuifikia.
Wewe tutusa hujui lolote,
Mkataba wa Geneva unakataza na haukubaliani na Uchaguzi unaofanyika chini ya mitutu ya bunduki.
Zanzibar inaweza kuwa mfano wa nchi kufanya uchaguzi huku magari ya deleya yakizunguka mitaani na mitutu ya bunduki.
 
Yaani kura ipigwe na mtanzania ilindwe na UN hiyo akili au mavi. Wananchi wakaikataa CCM hata ashuke Jibril hakuna wa kuzuia. Niulize mimi tulimpigania nassari akashinda kwa kishindo. Uhalisia wa sasa hivi Chadema labda imebaki JF tu lakini uraiani Lisu akifikisha 10% akatoe sadaka ya shukrani.

Magufuli ametuonesha kesho ya Tanzania na tuko tayari kufunga mkanda kuifikia.
Wewe tutusa hujui lolote,
Mkataba wa Geneva unakataza na haukubaliani na Uchaguzi unaofanyika chini ya mitutu ya bunduki.
Zanzibar inaweza kuwa mfano wa nchi kufanya uchaguzi huku magari ya deleya yakizunguka mitaani na mitutu ya bunduki
 
Je
Ndugu, UN wanasema hivi, " United Nations electoral assistance is provided only at the specific request of the Member State concerned, or based on a mandate from the Security Council or General Assembly. Before assistance is agreed and provided, the United Nations assesses the needs of the Member State to ensure that the assistance is tailored to the specific needs of the country or situation."

Je CCM na serikali yao wako tayari kuomba msaada au ni mpaka machafukomyatokee? Machafuko yakitokea ndio hapo huwa msaada utalewa bila hata ya kuombwa nchi... Baraza la usalama la umoja wa maifa au General assembly litaleta tu msaada wa uchaguzi kukiwa na breaches to international peace and security.

Ni Mpaka kinuke ndio waje, vinginevyo ni vigumu sana kuja mpaka kinuke.

Zaidi soma hapa: Elections | Department of Political and Peacebuilding Affairs
Je chama Kama chama hakiwezi kuomba msaada Kama Kuna viashiria vya uonevu kwenye Uchaguzi?
Ona Sasa Zanzibar jinsi Vyombo vya dola vilivyomwagwa.
Je hapo Hakuna maandalizi ya wizi wa kura na uonevu?
 
Unafikra za kitumwa.
unaamini kabisa mwenye uwezo wa kulinda kura ni UN?
kwanza nani kakudanganya UN wanalinda kura?
 
Unachambua au Unachambuliwa?
Unapoishi hakuna watu laki 3 (nje ya kura)
Ila una mamilion ya kura

Vituko!
Nikuulize swali dogo ewe kijana,hivi unaamini kabisa waalimi na familia zao na ndugu zao,watachagua Jiwe?,je madaktari,manesi,wahasibu,wagani,wagavi,wahandisi,Mapolisi,na wanajeshi wote,hao wote na familia zao na ndugu zao Ni wahanga wa utawala huu.
Unasemaje kwa wakulima wa korosho kwa mfano na wakulima wengine,
Unasemaje kwa wafanyabiashara.
Haya Ni baadhi ya makundi yaliyoathirika na Jiwe.
Huko ndani ya CCM safari hii kutafanyika uasi mkubwa Sana.
Subiri utaona.
 
Unafikra za kitumwa.
unaamini kabisa mwenye uwezo wa kulinda kura ni UN?
kwanza nani kakudanganya UN wanalinda kura?
Hujui lolote kichwa maji wewe.
Kwa taarifa yako safari hii Uchaguzi utafanyika kwa vitisho vya kijeshi zaidi,angalia Zanzibar ndio utajua.
Mkataba wa Geneva unakataza Uchaguzi kufnyika katikabmazingira ya kivita.
Halafu UN sio Mabeberu.
 
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia.

Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala wizi wa kura wa Aina yeyote, yaani Watanzania wakaichagua CCM kwa moyo mweupe kabisa bila mashakani yeyote kwa uwingi wao Watanzania, na ikathibitishwa duniani na hata Mbinguni kuwa ushindi wa CCM ni wa halali kabisa, Mimi Lee Van Cliff Ni Nani hata nikatae maamuzi ya kihalali ya Watanzania wengi? Kwangu Mimi itakua sawa tu.

Sina Tena imani na Lissu na Chadema.

Nimekata tamaa kabisa kwa Lissu na Chadema yake, sina imani kabisa, narudia Tena, SINA IMANI Tena na Lissu na Chadema Kama wataweza kulinda MAMILIONI ya kura zetu Watanzania, tutakazo mmiminia Tundu Lissu, tutakazo mpigia Tundu Lisu, namaanisha mamilioni ya kura za Ndio kwa Lissu wa CHADEMA.

Nasema hivi kwa sababu huku mitaani kila unaeongea nae habari za Uchaguzi wengi wanasema hawana hata haja ya kampeni, wao tayari walishaikataa CCM na Mgombea wao,nimeongea na rafiki, zangu, jirani zangu na watu wengine ambao ni Wana CCM na watu mbalimbali wameniambia kuwa kura zao ni kwa Lissu tu.

Sasa kwa muktadha huo siamini kama Lissu na Chadema wanaweza kulinda kura zetu,nimekata tamaa kabisa juu ya Ulinzi wa mamilioni ya kura za Watanzania.

Naishauri Chadema na Lissu waombe msaada wa UN ili waje kulinda kura za Lissu maana ni nyingi mno, ndio mgombea wa Urais kwa Tanzania Atakaepata mamilioni ya kura za Ndio na kumuacha kwa mbali mshindani wake. Huku mtaani watu wana vinyongo hatari.

Subirini tu. Chadema tafuteni namna ya kulinda kura zetu jamani.

Go away, idiot 😝
 
Hujui lolote kichwa maji wewe.
Kwa taarifa yako safari hii Uchaguzi utafanyika kwa vitisho vya kijeshi zaidi,angalia Zanzibar ndio utajua.
Mkataba wa Geneva unakataza Uchaguzi kufnyika katikabmazingira ya kivita.
Halafu UN sio Mabeberu.
Tatizo Chadema mnapanic sana.mkiwekewa dole la kati mnapanic mpaka mnashindwa kuandika mkaeleweka.
umeandika nini wewe mtegemea U.N kulinda kura?
 
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia.

Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala wizi wa kura wa Aina yeyote, yaani Watanzania wakaichagua CCM kwa moyo mweupe kabisa bila mashakani yeyote kwa uwingi wao Watanzania, na ikathibitishwa duniani na hata Mbinguni kuwa ushindi wa CCM ni wa halali kabisa, Mimi Lee Van Cliff Ni Nani hata nikatae maamuzi ya kihalali ya Watanzania wengi? Kwangu Mimi itakua sawa tu.

Sina Tena imani na Lissu na Chadema.

Nimekata tamaa kabisa kwa Lissu na Chadema yake, sina imani kabisa, narudia Tena, SINA IMANI Tena na Lissu na Chadema Kama wataweza kulinda MAMILIONI ya kura zetu Watanzania, tutakazo mmiminia Tundu Lissu, tutakazo mpigia Tundu Lisu, namaanisha mamilioni ya kura za Ndio kwa Lissu wa CHADEMA.

Nasema hivi kwa sababu huku mitaani kila unaeongea nae habari za Uchaguzi wengi wanasema hawana hata haja ya kampeni, wao tayari walishaikataa CCM na Mgombea wao,nimeongea na rafiki, zangu, jirani zangu na watu wengine ambao ni Wana CCM na watu mbalimbali wameniambia kuwa kura zao ni kwa Lissu tu.

Sasa kwa muktadha huo siamini kama Lissu na Chadema wanaweza kulinda kura zetu,nimekata tamaa kabisa juu ya Ulinzi wa mamilioni ya kura za Watanzania.

Naishauri Chadema na Lissu waombe msaada wa UN ili waje kulinda kura za Lissu maana ni nyingi mno, ndio mgombea wa Urais kwa Tanzania Atakaepata mamilioni ya kura za Ndio na kumuacha kwa mbali mshindani wake. Huku mtaani watu wana vinyongo hatari.

Subirini tu. Chadema tafuteni namna ya kulinda kura zetu jamani.

Very sad UN are busy fighting Corona
 
Rekebisha hicho kichwa cha habari, kimekaa ki negative sn wakati hauna maana hiyo.
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia.

Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala wizi wa kura wa Aina yeyote, yaani Watanzania wakaichagua CCM kwa moyo mweupe kabisa bila mashakani yeyote kwa uwingi wao Watanzania, na ikathibitishwa duniani na hata Mbinguni kuwa ushindi wa CCM ni wa halali kabisa, Mimi Lee Van Cliff Ni Nani hata nikatae maamuzi ya kihalali ya Watanzania wengi? Kwangu Mimi itakua sawa tu.

Sina Tena imani na Lissu na Chadema.

Nimekata tamaa kabisa kwa Lissu na Chadema yake, sina imani kabisa, narudia Tena, SINA IMANI Tena na Lissu na Chadema Kama wataweza kulinda MAMILIONI ya kura zetu Watanzania, tutakazo mmiminia Tundu Lissu, tutakazo mpigia Tundu Lisu, namaanisha mamilioni ya kura za Ndio kwa Lissu wa CHADEMA.

Nasema hivi kwa sababu huku mitaani kila unaeongea nae habari za Uchaguzi wengi wanasema hawana hata haja ya kampeni, wao tayari walishaikataa CCM na Mgombea wao,nimeongea na rafiki, zangu, jirani zangu na watu wengine ambao ni Wana CCM na watu mbalimbali wameniambia kuwa kura zao ni kwa Lissu tu.

Sasa kwa muktadha huo siamini kama Lissu na Chadema wanaweza kulinda kura zetu,nimekata tamaa kabisa juu ya Ulinzi wa mamilioni ya kura za Watanzania.

Naishauri Chadema na Lissu waombe msaada wa UN ili waje kulinda kura za Lissu maana ni nyingi mno, ndio mgombea wa Urais kwa Tanzania Atakaepata mamilioni ya kura za Ndio na kumuacha kwa mbali mshindani wake. Huku mtaani watu wana vinyongo hatari.

Subirini tu. Chadema tafuteni namna ya kulinda kura zetu jamani.
 
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia.

Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala wizi wa kura wa Aina yeyote, yaani Watanzania wakaichagua CCM kwa moyo mweupe kabisa bila mashakani yeyote kwa uwingi wao Watanzania, na ikathibitishwa duniani na hata Mbinguni kuwa ushindi wa CCM ni wa halali kabisa, Mimi Lee Van Cliff Ni Nani hata nikatae maamuzi ya kihalali ya Watanzania wengi? Kwangu Mimi itakua sawa tu.

Sina Tena imani na Lissu na Chadema.

Nimekata tamaa kabisa kwa Lissu na Chadema yake, sina imani kabisa, narudia Tena, SINA IMANI Tena na Lissu na Chadema Kama wataweza kulinda MAMILIONI ya kura zetu Watanzania, tutakazo mmiminia Tundu Lissu, tutakazo mpigia Tundu Lisu, namaanisha mamilioni ya kura za Ndio kwa Lissu wa CHADEMA.

Nasema hivi kwa sababu huku mitaani kila unaeongea nae habari za Uchaguzi wengi wanasema hawana hata haja ya kampeni, wao tayari walishaikataa CCM na Mgombea wao,nimeongea na rafiki, zangu, jirani zangu na watu wengine ambao ni Wana CCM na watu mbalimbali wameniambia kuwa kura zao ni kwa Lissu tu.

Sasa kwa muktadha huo siamini kama Lissu na Chadema wanaweza kulinda kura zetu,nimekata tamaa kabisa juu ya Ulinzi wa mamilioni ya kura za Watanzania.

Naishauri Chadema na Lissu waombe msaada wa UN ili waje kulinda kura za Lissu maana ni nyingi mno, ndio mgombea wa Urais kwa Tanzania Atakaepata mamilioni ya kura za Ndio na kumuacha kwa mbali mshindani wake. Huku mtaani watu wana vinyongo hatari.

Subirini tu. Chadema tafuteni namna ya kulinda kura zetu jamani.
Maajabu ya Dunia,ikitokea Lisu akashinda,ndo kusema mbowe waziri mkuu,msigwa tamisemi,Lema fedha,mdee sheria na katiba,heche Mambo ya ndani.Du hiyo nchi inakaaje?Mi naona chadema hamuko serious.twende na Jpm.
 
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia.

Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala wizi wa kura wa Aina yeyote, yaani Watanzania wakaichagua CCM kwa moyo mweupe kabisa bila mashakani yeyote kwa uwingi wao Watanzania, na ikathibitishwa duniani na hata Mbinguni kuwa ushindi wa CCM ni wa halali kabisa, Mimi Lee Van Cliff Ni Nani hata nikatae maamuzi ya kihalali ya Watanzania wengi? Kwangu Mimi itakua sawa tu.

Sina Tena imani na Lissu na Chadema.

Nimekata tamaa kabisa kwa Lissu na Chadema yake, sina imani kabisa, narudia Tena, SINA IMANI Tena na Lissu na Chadema Kama wataweza kulinda MAMILIONI ya kura zetu Watanzania, tutakazo mmiminia Tundu Lissu, tutakazo mpigia Tundu Lisu, namaanisha mamilioni ya kura za Ndio kwa Lissu wa CHADEMA.

Nasema hivi kwa sababu huku mitaani kila unaeongea nae habari za Uchaguzi wengi wanasema hawana hata haja ya kampeni, wao tayari walishaikataa CCM na Mgombea wao,nimeongea na rafiki, zangu, jirani zangu na watu wengine ambao ni Wana CCM na watu mbalimbali wameniambia kuwa kura zao ni kwa Lissu tu.

Sasa kwa muktadha huo siamini kama Lissu na Chadema wanaweza kulinda kura zetu,nimekata tamaa kabisa juu ya Ulinzi wa mamilioni ya kura za Watanzania.

Naishauri Chadema na Lissu waombe msaada wa UN ili waje kulinda kura za Lissu maana ni nyingi mno, ndio mgombea wa Urais kwa Tanzania Atakaepata mamilioni ya kura za Ndio na kumuacha kwa mbali mshindani wake. Huku mtaani watu wana vinyongo hatari.

Subirini tu. Chadema tafuteni namna ya kulinda kura zetu jamani.
Una akili timamu ?
Maana unabwabwaja ujinga na upuuzi kama Gwajima
 
Back
Top Bottom