Uchaguzi 2020 Sina imani na CHADEMA na Lissu tena, hata wakishindwa itakuwa sawa tu

Uchaguzi 2020 Sina imani na CHADEMA na Lissu tena, hata wakishindwa itakuwa sawa tu

Kuna uwezekano mkubwa magufuli akawa anapambania uchumi wa nchi nyingi afrika indirectly, of which cdm hawajui lolote linaloendelea dunia hii wao wakishachangisha wanachama basi wamemaliza kila kitu!

- Kwa uchaguzi wa mwaka huu then its 100% on sure that chadema is gone and haitarudi tena ( and there is nothing you can do about it)
- wanachama wengi wa cdm hawajaenda shule kuanzia mwenyekiti na hoja zao zote ni za kupiga kelele wakati wa kampeni huezi skia what they really mean

- Magufuli is the next nyerere after all the initialized projects begin operations officially
- Hakunaga ukombozi wa uchumi wa mwananchi mmoja mmoja duniani, kila sehem rule inaotumika ni survival for the fittest
- ccm is here to stay mpaka 2100 as to polepole himself! na sio kwamba hatujui wanaiba kura but we support them because bado upinzani ni uchwara nchi hii

Hapo uliposema kuwa sio kwamba hujui kuwa wanaiba kura, ndio hoja yote ilipo. Hayo mengine ni kubembeleza mtoto alale.
 
Nikuulize swali dogo ewe kijana,hivi unaamini kabisa waalimi na familia zao na ndugu zao,watachagua Jiwe?,je madaktari,manesi,wahasibu,wagani,wagavi,wahandisi,Mapolisi,na wanajeshi wote,hao wote na familia zao na ndugu zao Ni wahanga wa utawala huu.
Unasemaje kwa wakulima wa korosho kwa mfano na wakulima wengine,
Unasemaje kwa wafanyabiashara.
Haya Ni baadhi ya makundi yaliyoathirika na Jiwe.
Huko ndani ya CCM safari hii kutafanyika uasi mkubwa Sana.
Subiri utaona.
Relax brother.
 
Hapo uliposema kuwa sio kwamba hujui kuwa wanaiba kura, ndio hoja yote ilipo. Hayo mengine ni kubembeleza mtoto alale.


na tunawasupport kabisa waibe tu maaaaana huu upinzani ni kama sjui hawakujiandaaa vyama vingi
 
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia.

Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala wizi wa kura wa Aina yeyote, yaani Watanzania wakaichagua CCM kwa moyo mweupe kabisa bila mashakani yeyote kwa uwingi wao Watanzania, na ikathibitishwa duniani na hata Mbinguni kuwa ushindi wa CCM ni wa halali kabisa, Mimi Lee Van Cliff Ni Nani hata nikatae maamuzi ya kihalali ya Watanzania wengi? Kwangu Mimi itakua sawa tu.

Sina Tena imani na Lissu na Chadema.

Nimekata tamaa kabisa kwa Lissu na Chadema yake, sina imani kabisa, narudia Tena, SINA IMANI Tena na Lissu na Chadema Kama wataweza kulinda MAMILIONI ya kura zetu Watanzania, tutakazo mmiminia Tundu Lissu, tutakazo mpigia Tundu Lisu, namaanisha mamilioni ya kura za Ndio kwa Lissu wa CHADEMA.

Nasema hivi kwa sababu huku mitaani kila unaeongea nae habari za Uchaguzi wengi wanasema hawana hata haja ya kampeni, wao tayari walishaikataa CCM na Mgombea wao,nimeongea na rafiki, zangu, jirani zangu na watu wengine ambao ni Wana CCM na watu mbalimbali wameniambia kuwa kura zao ni kwa Lissu tu.

Sasa kwa muktadha huo siamini kama Lissu na Chadema wanaweza kulinda kura zetu,nimekata tamaa kabisa juu ya Ulinzi wa mamilioni ya kura za Watanzania.

Naishauri Chadema na Lissu waombe msaada wa UN ili waje kulinda kura za Lissu maana ni nyingi mno, ndio mgombea wa Urais kwa Tanzania Atakaepata mamilioni ya kura za Ndio na kumuacha kwa mbali mshindani wake. Huku mtaani watu wana vinyongo hatari.

Subirini tu. Chadema tafuteni namna ya kulinda kura zetu jamani.
Kwa nlivyoisoma huu uzi, inaonyesha huna uhakika na kile ulichokiandika. Jpm atawanyosha hatari kwenye uchaguzi huu
 
Back
Top Bottom