Uchaguzi 2020 Sina imani na CHADEMA na Lissu tena, hata wakishindwa itakuwa sawa tu

Uchaguzi 2020 Sina imani na CHADEMA na Lissu tena, hata wakishindwa itakuwa sawa tu

Japo watakupinga walio wengi Ila ukwel wakiwepo wasimamiz Makin na watu wakaamua kulinda kura kiukwel maguful atapigwa kipigo kibaya Sana ,maana walio wengi hata huko ccm hawamkubal yaan wanamsanif tu ili wapate ugali Ila ndani ya mioyo yao hawapendezwi kabisa na style ya uongozi wake.

Ingawaje mzee ni mbishi na hatak kuamini hilo kama anajiamini kura zihesabiwe kila kituo Tena kwa uwaz kama walivyofanya kipind Cha kupitisha wabunge huko ccm yaan ataambulia aibu kubwa sana.

Mzee ifike wakat ajirekebishe ubabe na kuumiza watu kwa makusud apunguze kama sio kuacha kabisa maana watu hawamkubal kabisa ni vile tu watanzania ni waoga hivyo wameamua kuwa wanafki tu ili cku ziende.

Nakuhakikishia hata akina nape na wengine kibao Kama akina makamba hawampend huyu jamaa sema njaa ndio tatizo wameamua Bora liende tu Ila ukwel wote mungu ndie anaujua, Tena hakuna mtu anaeumia Kama nape na group lake yaan Wana mengi ya moyon Ila hawana ubavu huo na saiz wameamua liwalo na liwe na nape anaweza rudishwa kwenye Baraza la mawazir next term maana kajitahid Sana kurekebisha makosa yake kwa mzee.

Mwisho kabisa CCM itaendelea kutawala tu kwa njia yoyote ile maana watanzania ni makondoo ya kafara so mm bado naamin ccm bado ipo ipo Sana na itaendelea kutuburuza had kizaz hiki Cha nyoka kijetoweka kabisa pengine ndio wataachia nchi na kuachia nchi sidhan Kama itakuwa kwa njia ya paper hapa lazima kafara itolewe ndipo ccm atatoka madarakan Ila ukwel watu hawaipend ccm kuliko chochote watu Wana mengi ndani ya mioyo yao.

Na kuhusu kulinda kura kwa hali iliopo sio rahisi kiivo watz ni waoga Sana wakiona sare za police ,jwt na vifaru so wote tutakaa ndani kudubiria mgombea wa ccm atangazwe. Labda Zanzibar wanaweza fanya lolote maana wale ni cku na muda vinasubiriwa kulipuka tu na watu wapo tayal kwa Hilo hapa Ni swala la muda tu
Ukiwa baba nyumbani watoto na mama wanaweza wasikupende lakini shikamoo watakupa. Tena ikiwa muda wote uko nyumbani wanakuwa na hali ngumu. Baba si una mamlaka? na hayo huwatia woga.
Mtu akikutukana hata akiomba msamaha kilichosemwa hakifutiki. Kikibwa tunavumiliana

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Japo watakupinga walio wengi Ila ukwel wakiwepo wasimamiz Makin na watu wakaamua kulinda kura kiukwel maguful atapigwa kipigo kibaya Sana ,maana walio wengi hata huko ccm hawamkubal yaan wanamsanif tu ili wapate ugali Ila ndani ya mioyo yao hawapendezwi kabisa na style ya uongozi wake.

Ingawaje mzee ni mbishi na hatak kuamini hilo kama anajiamini kura zihesabiwe kila kituo Tena kwa uwaz kama walivyofanya kipind Cha kupitisha wabunge huko ccm yaan ataambulia aibu kubwa sana.

Mzee ifike wakat ajirekebishe ubabe na kuumiza watu kwa makusud apunguze kama sio kuacha kabisa maana watu hawamkubal kabisa ni vile tu watanzania ni waoga hivyo wameamua kuwa wanafki tu ili cku ziende.

Nakuhakikishia hata akina nape na wengine kibao Kama akina makamba hawampend huyu jamaa sema njaa ndio tatizo wameamua Bora liende tu Ila ukwel wote mungu ndie anaujua, Tena hakuna mtu anaeumia Kama nape na group lake yaan Wana mengi ya moyon Ila hawana ubavu huo na saiz wameamua liwalo na liwe na nape anaweza rudishwa kwenye Baraza la mawazir next term maana kajitahid Sana kurekebisha makosa yake kwa mzee.

Mwisho kabisa CCM itaendelea kutawala tu kwa njia yoyote ile maana watanzania ni makondoo ya kafara so mm bado naamin ccm bado ipo ipo Sana na itaendelea kutuburuza had kizaz hiki Cha nyoka kijetoweka kabisa pengine ndio wataachia nchi na kuachia nchi sidhan Kama itakuwa kwa njia ya paper hapa lazima kafara itolewe ndipo ccm atatoka madarakan Ila ukwel watu hawaipend ccm kuliko chochote watu Wana mengi ndani ya mioyo yao.

Na kuhusu kulinda kura kwa hali iliopo sio rahisi kiivo watz ni waoga Sana wakiona sare za police ,jwt na vifaru so wote tutakaa ndani kudubiria mgombea wa ccm atangazwe. Labda Zanzibar wanaweza fanya lolote maana wale ni cku na muda vinasubiriwa kulipuka tu na watu wapo tayal kwa Hilo hapa Ni swala la muda tu
Magufuli amewajengea
madaraja
Madarasa
Mahospitali
Mabweni
Mahosteli
Ma apartment
Ma flyover

Sasa kwanini bado hamumtaki ?
 
[
Endelea kuota tu! Hebu cheki kidogo hapa chini kwa TULIA!

View attachment 1568673
Hiyo si issue hawa watu wa ccm wana mbinu nyingi. Natoa mfano wa mgombea mmoja alituma wapambe mitaani kutoa ahadi za mikopo kwa vikundi vya vikoba. yaani wamama hata wababa mamejikusanya na wengine kujazwa majina ingawa si wanavikoba. Watu wana shida vijana hawana ajira wakiahidiwa wataenda tu. Mikutano itajaa tu kwani wanaamini kuna kitu watapata.
Kujaa kwa mikutano si ajabu. Kutoa kura ndio tabu

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Je

Je chama Kama chama hakiwezi kuomba msaada Kama Kuna viashiria vya uonevu kwenye Uchaguzi?
Ona Sasa Zanzibar jinsi Vyombo vya dola vilivyomwagwa.
Je hapo Hakuna maandalizi ya wizi wa kura na uonevu?

Chama kama chama hakiwezi ndugu... ni mtihani mkubwa lakini siku zinavyosongwa, humu duniani, UN itajitishwa jukumu la kusimamia uchaguzi duniani katika kia nchi mwanachama.. maana threat to international peace and security itapewa new meaning. Dunia haiwezi kukaa kimya ikiwa inaona viashiria vya uvunjivu wa amani juu ya mambo ya uchaguzi... yatakuja tu kama Nyerere na Tanzania yetu tulivyo saidia kitu kinachoitwa duniani humu " doctrine of preemptive strike" wakati wa kumuondoa Iddi Amini Dada.

wao ccm waendelee tu kukaa miaka 59 na kuendelea ipo siku dunia itasema sasa Basi...
 
Nakuambia Magufuli hata Wana CCM watamkataa,wanasema amewavuruga Sana ndani ya Chama,wameumia Sana kufukuzwa kwa Membe, maraisi wastaafu kudhalilishwa, watu muhimu chamani kudukuliwa maongezi yao, na wengi Wana hofu huenda Magufuli akaongeza muda was kukaa madarakani.

Kinana, Nape, Januari,Membe Kikwete wamenyanyasika Sana chini ya Mwenyekiti wa CCM wa Sasa.

Wana CCM wanaumizwa Sana mateso ya wananchi hasa wakulima wafanyabiashara na wafanyakazi.
Lissu atapata kura nyingi sana.
Hii Point ya Makinikia, ina bidi kuitafakari zaidi kwa makada wanao ona mbali zaidi
 
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia.

Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala wizi wa kura wa Aina yeyote, yaani Watanzania wakaichagua CCM kwa moyo mweupe kabisa bila mashakani yeyote kwa uwingi wao Watanzania, na ikathibitishwa duniani na hata Mbinguni kuwa ushindi wa CCM ni wa halali kabisa, Mimi Lee Van Cliff Ni Nani hata nikatae maamuzi ya kihalali ya Watanzania wengi? Kwangu Mimi itakua sawa tu.

Sina Tena imani na Lissu na Chadema.

Nimekata tamaa kabisa kwa Lissu na Chadema yake, sina imani kabisa, narudia Tena, SINA IMANI Tena na Lissu na Chadema Kama wataweza kulinda MAMILIONI ya kura zetu Watanzania, tutakazo mmiminia Tundu Lissu, tutakazo mpigia Tundu Lisu, namaanisha mamilioni ya kura za Ndio kwa Lissu wa CHADEMA.

Nasema hivi kwa sababu huku mitaani kila unaeongea nae habari za Uchaguzi wengi wanasema hawana hata haja ya kampeni, wao tayari walishaikataa CCM na Mgombea wao,nimeongea na rafiki, zangu, jirani zangu na watu wengine ambao ni Wana CCM na watu mbalimbali wameniambia kuwa kura zao ni kwa Lissu tu.

Sasa kwa muktadha huo siamini kama Lissu na Chadema wanaweza kulinda kura zetu,nimekata tamaa kabisa juu ya Ulinzi wa mamilioni ya kura za Watanzania.

Naishauri Chadema na Lissu waombe msaada wa UN ili waje kulinda kura za Lissu maana ni nyingi mno, ndio mgombea wa Urais kwa Tanzania Atakaepata mamilioni ya kura za Ndio na kumuacha kwa mbali mshindani wake. Huku mtaani watu wana vinyongo hatari.

Subirini tu. Chadema tafuteni namna ya kulinda kura zetu jamani.
Ni vizuri Chadema na Lissu wakaja na majibu muafaka ya Jambo Hili tusifanye mzaha kabisa ila naona Kuna follow up kali sana kutoka international organizations .
Screenshot_20200913-173650.png
Screenshot_20200913-142125.png
Screenshot_20200911-174752.png
Screenshot_20200910-151608.png
 
Japo watakupinga walio wengi Ila ukwel wakiwepo wasimamiz Makin na watu wakaamua kulinda kura kiukwel maguful atapigwa kipigo kibaya Sana ,maana walio wengi hata huko ccm hawamkubal yaan wanamsanif tu ili wapate ugali Ila ndani ya mioyo yao hawapendezwi kabisa na style ya uongozi wake.

Ingawaje mzee ni mbishi na hatak kuamini hilo kama anajiamini kura zihesabiwe kila kituo Tena kwa uwaz kama walivyofanya kipind Cha kupitisha wabunge huko ccm yaan ataambulia aibu kubwa sana.

Mzee ifike wakat ajirekebishe ubabe na kuumiza watu kwa makusud apunguze kama sio kuacha kabisa maana watu hawamkubal kabisa ni vile tu watanzania ni waoga hivyo wameamua kuwa wanafki tu ili cku ziende.

Nakuhakikishia hata akina nape na wengine kibao Kama akina makamba hawampend huyu jamaa sema njaa ndio tatizo wameamua Bora liende tu Ila ukwel wote mungu ndie anaujua, Tena hakuna mtu anaeumia Kama nape na group lake yaan Wana mengi ya moyon Ila hawana ubavu huo na saiz wameamua liwalo na liwe na nape anaweza rudishwa kwenye Baraza la mawazir next term maana kajitahid Sana kurekebisha makosa yake kwa mzee.

Mwisho kabisa CCM itaendelea kutawala tu kwa njia yoyote ile maana watanzania ni makondoo ya kafara so mm bado naamin ccm bado ipo ipo Sana na itaendelea kutuburuza had kizaz hiki Cha nyoka kijetoweka kabisa pengine ndio wataachia nchi na kuachia nchi sidhan Kama itakuwa kwa njia ya paper hapa lazima kafara itolewe ndipo ccm atatoka madarakan Ila ukwel watu hawaipend ccm kuliko chochote watu Wana mengi ndani ya mioyo yao.

Na kuhusu kulinda kura kwa hali iliopo sio rahisi kiivo watz ni waoga Sana wakiona sare za police ,jwt na vifaru so wote tutakaa ndani kudubiria mgombea wa ccm atangazwe. Labda Zanzibar wanaweza fanya lolote maana wale ni cku na muda vinasubiriwa kulipuka tu na watu wapo tayal kwa Hilo hapa Ni swala la muda tu
Naomba mnisaidie.
Binadamu tunataka nini hasa???
Tumeshakuwa na Kiongozi mwenye Diplomasia na Demokrasia ya hali ya Juu sana(JK) lakini alitukanwa mpk basi.
Ameingia JPM ambaye ni hard core-Yeye anaongea ukweli Mchungu-Ameenda mbali kiasi cha kutubadilisha fikra zetu especially yale mambo ya kuamini misaada-Hakuna Misaada bali viini macho inayoitwa Misaada-Anaipiga Vita sana na bora afanye hivo.

Lisu ni Mkosoaji si msikilizaji-Yeye ni Mr Right.
Hajapata kufanikiwa mtu anayekosoa tu bila kusikiliza na kushirikisha wengine.
Mimi Namuombea Lisu Uwaziri tena hasa wa Sheria na Katiba.

Ana akili nyingi za kutengeneza sheria-Atumiwe hivo hata kama ni Mpinzani.

Marafiki zangu wa Chadema wana nadharia nyingi sana.Na kwa mpango wanaoongelea maana yake wataenda huko nje kuomba misaada-Hapana huko si kwa kwenda tena,Wazungu siyo kabisa.

JPM akirudi safari hii naamini ataongeza tax base Rafiki na tena kistaarabu na kujenga mazingira wezeshi kwenye sekta binafsi na ikiwezekana kuinua uwezo wa wenye viwanda vikubwa na vya kati kimkakati-Hiyo itamsaidia kutengeneza Middle earners.

Ninaamini ataweka nguvu kubwa kwenye Kilimo na Mifugo-Modenized Farming-Hii itainua haraka sana uchumi wa wananchi wengi na ataongeza ajira vile vile.

Ni JPM tena!
Haina ubishi
 
Ni vizuri Chadema na Lissu wakaja na majibu muafaka ya Jambo Hili tusifanye mzaha kabisa ila naona Kuna follow up kali sana kutoka international organizations .View attachment 1569139View attachment 1569140View attachment 1569142View attachment 1569144
Ni kweli Lissu ameshashinda kabla ya uchaguzi je Chadema tuna backup ya kuhakikisha kura zinalindwa? Isije kuwa yale yale ya Lowasa alitwambia eti pigeni kura swala la kutangazwa niachieni mimi. Yule mzee mwongo sana atakuja kufa vibaya
 
Naomba mnisaidie.
Binadamu tunataka nini hasa???
Tumeshakuwa na Kiongozi mwenye Diplomasia na Demokrasia ya hali ya Juu sana(JK) lakini alitukanwa mpk basi.
Ameingia JPM ambaye ni hard core-Yeye anaongea ukweli Mchungu-Ameenda mbali kiasi cha kutubadilisha fikra zetu especially yale mambo ya kuamini misaada-Hakuna Misaada bali viini macho inayoitwa Misaada-Anaipiga Vita sana na bora afanye hivo.

Lisu ni Mkosoaji si msikilizaji-Yeye ni Mr Right.
Hajapata kufanikiwa mtu anayekosoa tu bila kusikiliza na kushirikisha wengine.
Mimi Namuombea Lisu Uwaziri tena hasa wa Sheria na Katiba.

Ana akili nyingi za kutengeneza sheria-Atumiwe hivo hata kama ni Mpinzani.

Marafiki zangu wa Chadema wana nadharia nyingi sana.Na kwa mpango wanaoongelea maana yake wataenda huko nje kuomba misaada-Hapana huko si kwa kwenda tena,Wazungu siyo kabisa.

JPM akirudi safari hii naamini ataongeza tax base Rafiki na tena kistaarabu na kujenga mazingira wezeshi kwenye sekta binafsi na ikiwezekana kuinua uwezo wa wenye viwanda vikubwa na vya kati kimkakati-Hiyo itamsaidia kutengeneza Middle earners.

Ninaamini ataweka nguvu kubwa kwenye Kilimo na Mifugo-Modenized Farming-Hii itainua haraka sana uchumi wa wananchi wengi na ataongeza ajira vile vile.

Ni JPM tena!
Haina ubishi
We ni kada usio ona mbali kwa vizazi vyako vijavyo. Ni bora kusema Ukweli ulio kuwa moyoni mwako, bila kusifu na mapambio angalia hali ya sasa vijana walivyo kata tamaa na kupiga kura, Utatumia mbinu zipi ili waweze kuamini kwa miaka mitano ijayo walisoma kwa Pesa za mikopo na wakakosa ajira na Mitaji, na kukosa mwelekeo leo hii Vijana kama hawa Utawarudisha vipi kwenye kundi la kuamini unacho kisema
 
Ni vizuri Chadema na Lissu wakaja na majibu muafaka ya Jambo Hili tusifanye mzaha kabisa ila naona Kuna follow up kali sana kutoka international organizations .View attachment 1569139View attachment 1569140View attachment 1569142View attachment 1569144
Ni kweli Lissu ameshashinda kabla ya uchaguzi je Chadema tuna backup ya kuhakikisha kura zinalindwa? Isije kuwa yale yale ya Lowasa alitwambia eti pigeni kura swala la kutangazwa niachieni mimi. Yule mzee mwobgo sana atakuja kufa vibaya
Yaani kura ipigwe na mtanzania ilindwe na UN hiyo akili au mavi. Wananchi wakaikataa CCM hata ashuke Jibril hakuna wa kuzuia. Niulize mimi tulimpigania nassari akashinda kwa kishindo. Uhalisia wa sasa hivi Chadema labda imebaki JF tu lakini uraiani Lisu akifikisha 10% akatoe sadaka ya shukrani.

Magufuli ametuonesha kesho ya Tanzania na tuko tayari kufunga mkanda kuifikia.
Wewe sinui ndi Gekulu una madeni hadi unadai ulipiwe na Bashiru
 
Japo watakupinga walio wengi Ila ukwel wakiwepo wasimamiz Makin na watu wakaamua kulinda kura kiukwel maguful atapigwa kipigo kibaya Sana ,maana walio wengi hata huko ccm hawamkubal yaan wanamsanif tu ili wapate ugali Ila ndani ya mioyo yao hawapendezwi kabisa na style ya uongozi wake.

Ingawaje mzee ni mbishi na hatak kuamini hilo kama anajiamini kura zihesabiwe kila kituo Tena kwa uwaz kama walivyofanya kipind Cha kupitisha wabunge huko ccm yaan ataambulia aibu kubwa sana.

Mzee ifike wakat ajirekebishe ubabe na kuumiza watu kwa makusud apunguze kama sio kuacha kabisa maana watu hawamkubal kabisa ni vile tu watanzania ni waoga hivyo wameamua kuwa wanafki tu ili cku ziende.

Nakuhakikishia hata akina nape na wengine kibao Kama akina makamba hawampend huyu jamaa sema njaa ndio tatizo wameamua Bora liende tu Ila ukwel wote mungu ndie anaujua, Tena hakuna mtu anaeumia Kama nape na group lake yaan Wana mengi ya moyon Ila hawana ubavu huo na saiz wameamua liwalo na liwe na nape anaweza rudishwa kwenye Baraza la mawazir next term maana kajitahid Sana kurekebisha makosa yake kwa mzee.

Mwisho kabisa CCM itaendelea kutawala tu kwa njia yoyote ile maana watanzania ni makondoo ya kafara so mm bado naamin ccm bado ipo ipo Sana na itaendelea kutuburuza had kizaz hiki Cha nyoka kijetoweka kabisa pengine ndio wataachia nchi na kuachia nchi sidhan Kama itakuwa kwa njia ya paper hapa lazima kafara itolewe ndipo ccm atatoka madarakan Ila ukwel watu hawaipend ccm kuliko chochote watu Wana mengi ndani ya mioyo yao.

Na kuhusu kulinda kura kwa hali iliopo sio rahisi kiivo watz ni waoga Sana wakiona sare za police ,jwt na vifaru so wote tutakaa ndani kudubiria mgombea wa ccm atangazwe. Labda Zanzibar wanaweza fanya lolote maana wale ni cku na muda vinasubiriwa kulipuka tu na watu wapo tayal kwa Hilo hapa Ni swala la muda tu

Sina hakika na usemayo, lakini nina hakika kuwa siku moja nitakufa. Na sasa nina hakika kuwa Kilimanjaro imeenda CCM watu wa mkoa wa kilimanjaro tuna hakika hiyo.

Mwende mkatafute kura za Lissu na upinzani huko Geita, Shinyanga na Mwanza. Tubadilishane ukaaji bungeni upinzani umekwisha tuchosha.

Kila kukicha hali inakuwa wazi zaidi, tunaelekea Kibra naona tanakwenda Kusilim.
 
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia.

Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala wizi wa kura wa Aina yeyote, yaani Watanzania wakaichagua CCM kwa moyo mweupe kabisa bila mashakani yeyote kwa uwingi wao Watanzania, na ikathibitishwa duniani na hata Mbinguni kuwa ushindi wa CCM ni wa halali kabisa, Mimi Lee Van Cliff Ni Nani hata nikatae maamuzi ya kihalali ya Watanzania wengi? Kwangu Mimi itakua sawa tu.

Sina Tena imani na Lissu na Chadema.

Nimekata tamaa kabisa kwa Lissu na Chadema yake, sina imani kabisa, narudia Tena, SINA IMANI Tena na Lissu na Chadema Kama wataweza kulinda MAMILIONI ya kura zetu Watanzania, tutakazo mmiminia Tundu Lissu, tutakazo mpigia Tundu Lisu, namaanisha mamilioni ya kura za Ndio kwa Lissu wa CHADEMA.

Nasema hivi kwa sababu huku mitaani kila unaeongea nae habari za Uchaguzi wengi wanasema hawana hata haja ya kampeni, wao tayari walishaikataa CCM na Mgombea wao,nimeongea na rafiki, zangu, jirani zangu na watu wengine ambao ni Wana CCM na watu mbalimbali wameniambia kuwa kura zao ni kwa Lissu tu.

Sasa kwa muktadha huo siamini kama Lissu na Chadema wanaweza kulinda kura zetu,nimekata tamaa kabisa juu ya Ulinzi wa mamilioni ya kura za Watanzania.

Naishauri Chadema na Lissu waombe msaada wa UN ili waje kulinda kura za Lissu maana ni nyingi mno, ndio mgombea wa Urais kwa Tanzania Atakaepata mamilioni ya kura za Ndio na kumuacha kwa mbali mshindani wake. Huku mtaani watu wana vinyongo hatari.

Subirini tu. Chadema tafuteni namna ya kulinda kura zetu jamani.
Saccos ina wenyewe. Kuweka imani kwenye ka kikundi hako ni kutojitambua potential yako kama mtanzania. Mlie, mnune huo ndio ukweli.
 
Sawa kwa hizo points ulizo toa kwenye reli na Nishati na madini, Je kwa hawa watu ambao hawajapitiwa na hiyo reli ya mwendo kasi itawasaidia vipi katika kujikwamua kwa Uchumi, Ikiwa nchi yetu imeingia kwenye Uchumi wa kati ila kiharisi wananchi hawaishi kwa Uchumi huo, Na kwenye nishati na Uchukuzi unafanya kazi yake vizuri kiasi chake Je utawaaminisha vipi wananchi kwa hali hiyo ikiwa hata baadhi ya maeneo ya mijini wanakosa nishati ya Umeme una katika bila sababu maalumu na kukosesha pato la nchi katika muda amabao nishati ya Umeme imekuwa kikwazo kwa Wananchi wanao ishi eneo Hilo?
 
Hivi unajua jimboni kwake maji na barabara vimepatikana baada ya kuondoka T.A.L bungeni.
 
Mimi ni mpenzi wa Chadema wa kufa Mtu, naichukia CCM kuliko kitu chochote. Ndio kitu kinachoongoza kati ya vitu ninavyovichukia.

Lakini ikatokea Chadema ikashindwa kihalali kabisa bila hila wala wizi wa kura wa Aina yeyote, yaani Watanzania wakaichagua CCM kwa moyo mweupe kabisa bila mashakani yeyote kwa uwingi wao Watanzania, na ikathibitishwa duniani na hata Mbinguni kuwa ushindi wa CCM ni wa halali kabisa, Mimi Lee Van Cliff Ni Nani hata nikatae maamuzi ya kihalali ya Watanzania wengi? Kwangu Mimi itakua sawa tu.

Sina Tena imani na Lissu na Chadema.

Nimekata tamaa kabisa kwa Lissu na Chadema yake, sina imani kabisa, narudia Tena, SINA IMANI Tena na Lissu na Chadema Kama wataweza kulinda MAMILIONI ya kura zetu Watanzania, tutakazo mmiminia Tundu Lissu, tutakazo mpigia Tundu Lisu, namaanisha mamilioni ya kura za Ndio kwa Lissu wa CHADEMA.

Nasema hivi kwa sababu huku mitaani kila unaeongea nae habari za Uchaguzi wengi wanasema hawana hata haja ya kampeni, wao tayari walishaikataa CCM na Mgombea wao,nimeongea na rafiki, zangu, jirani zangu na watu wengine ambao ni Wana CCM na watu mbalimbali wameniambia kuwa kura zao ni kwa Lissu tu.

Sasa kwa muktadha huo siamini kama Lissu na Chadema wanaweza kulinda kura zetu,nimekata tamaa kabisa juu ya Ulinzi wa mamilioni ya kura za Watanzania.

Naishauri Chadema na Lissu waombe msaada wa UN ili waje kulinda kura za Lissu maana ni nyingi mno, ndio mgombea wa Urais kwa Tanzania Atakaepata mamilioni ya kura za Ndio na kumuacha kwa mbali mshindani wake. Huku mtaani watu wana vinyongo hatari.

Subirini tu. Chadema tafuteni namna ya kulinda kura zetu jamani.

Mtaani kwangu na vijiwe navopita ni watu wamechafukwa
 
Mamilioni ya kura yatoke wapi? Lissu akipata kura laki tano akachinje ng'ombe kujipongeza
 
Nenda TRA kaone idadi ya watu waliofunga biashara zao, kisha uje tuendelee na mjadala.


Kuna uwezekano mkubwa magufuli akawa anapambania uchumi wa nchi nyingi afrika indirectly, of which cdm hawajui lolote linaloendelea dunia hii wao wakishachangisha wanachama basi wamemaliza kila kitu!

- Kwa uchaguzi wa mwaka huu then its 100% on sure that chadema is gone and haitarudi tena ( and there is nothing you can do about it)
- wanachama wengi wa cdm hawajaenda shule kuanzia mwenyekiti na hoja zao zote ni za kupiga kelele wakati wa kampeni huezi skia what they really mean

- Magufuli is the next nyerere after all the initialized projects begin operations officially
- Hakunaga ukombozi wa uchumi wa mwananchi mmoja mmoja duniani, kila sehem rule inaotumika ni survival for the fittest
- ccm is here to stay mpaka 2100 as to polepole himself! na sio kwamba hatujui wanaiba kura but we support them because bado upinzani ni uchwara nchi hii
 
Back
Top Bottom