Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.
Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.
Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.
Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.
Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.
Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.
Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.
Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.
Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?
Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.
Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.
Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.
Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.
Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.
Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.
Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.
Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?
Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?