Sina raha, wasiwasi wa maisha unanisumbua

Sina raha, wasiwasi wa maisha unanisumbua

Brother sijui niseme nn, ahsante sana hayo mengine ntajiongea

Usiwaze kaka, maisha ni kitendawili kinachofanana ila Kila mmoja anajibu lake binafsi ambalo ni sahihi Kwa kitendawili hicho.

Watu Kama nyie ni "game changers" na sio kawaida yenu kuridhika na kidogo, u always strive for more and more and there is nothing wrong about that because it's part of your "Purpose of life"

The only true happiness u get is when u "hustle and grind" till the day u die. So Keep on Grinding.

I'll be doing the same on the other side. Uki stumble Tena badae just think about my words and keep moving forward.. it's the only salvation for ur soul'
 
1. Tafuta rafiki ama ndugu ama mpenzi ambae utamuamini kati ya hao, then tengeneza urafiki mpya na hakikisha unamjua huyo mtu wako wa karibu mpya "ikiwezekena jipe muda".
Kama unavojua, hio ya kutafuta rafiki ni ngumu kidogo, mpenzi ninaye ila tumegombana kwasasa, hajanitafuta wiki nzima sasa na mm wala simtafuti

4. Tafuta mwanamke uoe, lakini hakikisha unajipa wakati mwingi ili umjue vizuri "maana watu wa aina yako hua wanakua na shida sana na wanafeli kupata mke anaefaa".
Daah hapo kweny kuoa kipengele, sio kama sina uwezo ila ni kipengele tuu.
Nataka niwe na furaha kwanza, mke hawez kukupa furaha kama wewe mwenyew nature yako ni mtu wa huzuni kila muda, inabidi nibadilike kwanza.
 
Usiwaze kaka, maisha ni kitendawili kinachofanana ila Kila mmoja anajibu lake binafsi ambalo ni sahihi Kwa kitendawili hicho.

Watu Kama nyie ni "game changers" na sio kawaida yenu kuridhika na kidogo, u always strive for more and more and there is nothing wrong about that because it's part of your "Purpose of life"

The only true happiness u get is when u "hustle and grind" till the day u die. So Keep on Grinding.

I'll be doing the same on the other side. Uki stumble Tena badae just think about my words and keep moving forward.. it's the only salvation for ur soul'
Ahsante kaka kwa maneno ya kunitia moyo
 
Sema wewe una njaa ya mafanikio Sana

Endelea kupambana sana maana nyie ndo matajiri ambao mtakuja kutoa ajira.

Life is about balance .- unaweza kupunguza hiyo hali kwa kurudisha kwa jamii(give back)


Mimi mwenyewe nipo hivyo mkuu naweza kuwa ninatamani kupata 10k Ila nikiipata naona Kama sijapata na stress zinakuwa pale pale.

Watu Kama wewe furaha IPO Ku-make money na sio kutumia hapo ndo unakuwa stressful

Wenzako wakitumia wanajisikia furaha Ila wewe uki-make unajisikia furaha.

So Endelea Ku-chase dreams wewe ni upcoming boss
 
Maisha yakikul
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.

Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.

Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.

Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.

Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.

Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.

Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.

Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.

Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?

Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Kama maisha yanakuletea nyenyenyee achana nayo fanya mambo mengine!
 
Sema wewe una njaa ya mafanikio Sana

Endelea kupambana sana maana nyie ndo matajiri ambao mtakuja kutoa ajira.

Life is about balance .- unaweza kupunguza hiyo hali kwa kurudisha kwa jamii(give back)


Mimi mwenyewe nipo hivyo mkuu naweza kuwa ninatamani kupata 10k Ila nikiipata naona Kama sijapata na stress zinakuwa pale pale.

Watu Kama wewe furaha IPO Ku-make money na sio kutumia hapo ndo unakuwa stressful

Wenzako wakitumia wanajisikia furaha Ila wewe uki-make unajisikia furaha.

So Endelea Ku-chase dreams wewe ni upcoming boss
Ahsante mkuu, kuna kitu nimejifunza
 
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.

Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.

Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.

Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.

Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.

Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.

Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.

Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.

Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?

Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Una mawazo ya kitajiri mkuu.. hujabweteka unawaza mambo makubwa... endelea kuwa na uchu.
 
Amani na mafanikio ni vitu viwili tofauti, ndio nilichojifunza, siku ukiamua kutafuta amani hutobughuziwa na changamoto za mafanikio, maana hakuna waliofanikiwa wakafanikiwa, maana hata walipodhani wamefanikiwa walianza kulinda mafanikio Yao na hawajafanikiwa Hadi Leo kuwa na uwakika kwamba wameweza kulinda mafanikio Yao, hawalali mapema, wakilala hawalali usingizi ,ila wanajilaza tuu, hata kifungo kikidondoka wanajua wamevamiwa


Umasikini siyo mzuri,ila wale wenye mahitaji ya wastani, yaani chakula, mafadhi na makadhi Tena ya kawaida na nauli ya kuendea kwenye mihangaiko ,Wana amani sanasana,japo hawana mafanikio kama matajiri ,wanalala na kuamshwa kwa alarm, akilala hata umwite hashituki maana Hana Cha thamani zaidi ya nafsi yake mwenyewe,

Sisemi tuwe wavivu, hapana ,ila tuache kupaniki, tutafuteni amani kwanza ,mafanikio yanaweza maliza amani yetu, hivo ni vyema tukayaendea kwa hekima,. Under 30's angalia vitu unavovipenda kwanza, ie epuka projects ambazo zitakutesa, mf kipato chako kwa mwezi ni laki Tano, unaanzisha ujenzi wa nyumba ya kukaa yenye thamani ya mil 40, jilani Yako nae ana project kama Yako ila kipato Chake kwa mwezi ni mil 2, wote mnalingana umri, ukiona anaenda mbio kwa Nini usipaniki ! Usipange mipango kwa fashion,angalia Hali Yako, classmates wanapost magari kwenye group lenu la shule, na wewe unataka uwe kama wao, uta-R.I.P
 
Don't get complacent (Usiridhike)

Hiyo hali ndo wanayo watu wote wenye mafanikio

Ila hapo katika kupata wasiwasi ndo unbidi upafanyie kazi .

Maana kama wewe ni high saver - na sio high spender maana yake hauna sababu ya kuiogopa kesho yako.
Bac hii hali yangu nimeielewa vibaya, imekuwa kero kwasababu sikuielewa, nilichojifunza kwako ni kwamba naweza kui-distribute hizi hisia ikawa chachu ya maendeleo kuliko kuona kama vile inaninyima raha.
 
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.

Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.

Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.

Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.

Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.

Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.

Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.

Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.

Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?

Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Hilo ni pepo linakusemesha na kukuvuruga, likemee na lipuuze kwa manufaa yako.
 
Back
Top Bottom