Sina raha, wasiwasi wa maisha unanisumbua

Sina raha, wasiwasi wa maisha unanisumbua

Acha uswahili dogo ushimen kazungumzia kuhusu personality au mimi

Wewe unajua kitu kinachoitwa " personality disorders" au una izungumzia
Kimtaani mtaani.?
Soma earlier post za Ushimen utanielewa ninachomaanisha
 
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.

Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.

Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.

Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.

Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.

Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.

Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.

Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.

Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?

Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Kwanza inabidi ujue kusudi la Maisha yako.
Pili usijilinganishe na mtu au watu pia epuka over expectation maana over expectation kills.

Jiwekee goals long term goals na short term goals alafu jifanyie evaluation

Jichanganye na wenzako fanya shughuli za kijamii upatapo muda wa free ie michezo

Jipende na jikubali ukipata muda jipongeze na kujipa outing mwenyewe vaa vizuri kula vizuri kunywa vizuri enjoy.

Pia mkumbuke muumba wako toa sadaka uwe mkristo au muislamu kutoa sadaka kwa wenye uhitaji

NB
Ushawai kutumia vilevi vyovyote? Miss use of drugs.
 
Kwanza inabidi ujue kusudi la Maisha yako.
Pili usijilinganishe na mtu au watu pia epuka over expectation maana over expectation kills.

Jiwekee goals long term goals na short term goals alafu jifanyie evaluation

Jichanganye na wenzako fanya shughuli za kijamii upatapo muda wa free ie michezo

Jipende na jikubali ukipata muda jipongeze na kujipa outing mwenyewe vaa vizuri kula vizuri kunywa vizuri enjoy.

Pia mkumbuke muumba wako toa sadaka uwe mkristo au muislamu kutoa sadaka kwa wenye uhitaji

NB
Ushawai kutumia vilevi vyovyote? Miss use of drugs.
Nimependa ushauri wako, ahsante.

Kwa upande wa swali uliloniuliza, hapana kwa kweli sijui hata bia zinauzwaje
 
mi mchana huu nimelala tu and I dont give a damn sh*t
na ndio naamka mda huu, I dont care!
Screenshot_20240926-171245.jpg
 
Mimi sio mwanasaikolojia ila nilisoma mahala fulani na ninadhani kinachokutokea kinatokea wengi, kinaitwa "impostor syndrome"; yaani mtu anaona kama mafanikio na hatua alizochukua hastahili kabisa

Tiba yake mkuu hapa labda bangi kidogo kila ikifika jioni, hamna kitu kinaweza kukufanya uridhike na ulichonacho kama huo mmea (vuta kidogo halafu kaa sebuleni kwako tathmini vitu unavyomiliki na unapotaka kwenda )
 
Kwanza inabidi ujue kusudi la Maisha yako.
Pili usijilinganishe na mtu au watu pia epuka over expectation maana over expectation kills.

Jiwekee goals long term goals na short term goals alafu jifanyie evaluation

Jichanganye na wenzako fanya shughuli za kijamii upatapo muda wa free ie michezo

Jipende na jikubali ukipata muda jipongeze na kujipa outing mwenyewe vaa vizuri kula vizuri kunywa vizuri enjoy.

Pia mkumbuke muumba wako toa sadaka uwe mkristo au muislamu kutoa sadaka kwa wenye uhitaji

NB
Ushawai kutumia vilevi vyovyote? Miss use of drugs.
Hii comment nilishaga sahau Kama nili itoaga Mimi.
 
Mimi sio mwanasaikolojia ila nilisoma mahala fulani na ninadhani kinachokutokea kinatokea wengi, kinaitwa "impostor syndrome"; yaani mtu anaona kama mafanikio na hatua alizochukua hastahili kabisa

Tiba yake mkuu hapa labda bangi kidogo kila ikifika jioni, hamna kitu kinaweza kukufanya uridhike na ulichonacho kama huo mmea (vuta kidogo ati kaa sebuleni kwako tathmini vitu unavyomili na unapotaka kwenda )
Avute kidogo TU..maana akizidisha TU itamletea shida zaidi ya alizo kua nazo.
 
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.

Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.

Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.

Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.

Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.

Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.

Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.

Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.

Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?

Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Ila kwer
 
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.

Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.

Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.

Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.

Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.

Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.

Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.

Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.

Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?

Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Huku wataka kule wataka, mwishowe unazama.
 
Back
Top Bottom