Sina raha, wasiwasi wa maisha unanisumbua

Sina raha, wasiwasi wa maisha unanisumbua

Kuna MTU anakuwa na pesa bank Kama mil 100 Ila unamkuta anakesha ili aipate laki moja

Na kuna MTU akilipwa laki moja kesho yake haendi kazini


Unachopitia wewe inaweza kuwa ni hali ya kumiliki mil 100 Ila unakesha kisa laki moja.


Kiufupi wewe ni chosen one -ni MTU ambaye una dream kubwa na unapenda kuona unasonga mbele.


So ndo maana kuna muda ukilala unahisi unapoteza muda , ukila vizuri utahisi unaharibu hela n.k


Mimi naomba uzingatie mambo matatu

1 .Well-being (utimamu wa akili ,mwili
na Afya )

2. Kutoa au give back -kwa wazazi , ndugu au watoto yatima n.k

Kupitia kutoa utarudi ndani utakuwa na ile sense of inner self hali ya ubindamau utaanza kujiona Mimi nipo juu na nahitaji kujivunia nilichonacho.


3. Kushukuru -jitahidi uwe unashukuru Sana shukrani huwa inakufanya ukae katika present moment na kusahu kwa muda past na kutoiogopa future.
 
Kuna MTU anakuwa na pesa bank Kama mil 100 Ila unamkuta anakesha ili aipate laki moja

Na kuna MTU akilipwa laki moja kesho yake haendi kazini


Unachopitia wewe inaweza kuwa ni hali ya kumiliki mil 100 Ila unakesha kisa laki moja.


Kiufupi wewe ni chosen one -ni MTU ambaye una dream kubwa na unapenda kuona unasonga mbele.


So ndo maana kuna muda ukilala unahisi unapoteza muda , ukila vizuri utahisi unaharibu hela n.k


Mimi naomba uzingatie mambo matatu

1 .Well-being (utimamu wa akili ,mwili
na Afya )

2. Kutoa au give back -kwa wazazi , ndugu au watoto yatima n.k

Kupitia kutoa utarudi ndani utakuwa na ile sense of inner self hali ya ubindamau utaanza kujiona Mimi nipo juu na nahitaji kujivunia nilichonacho.


3. Kushukuru -jitahidi uwe unashukuru Sana shukrani huwa inakufanya ukae katika present moment na kusahu kwa muda past na kutoiogopa future.
Acha kuongea vitu vyepesi vyepesi inaonekana wewe bado mtoto na nadharia
za kufikirika

Huyo ana personality disorders/ Mental health issue anatakiwa apate ushauri
wa kitaalam. Mtu ana wasiwasi unaongea kirahisi hivyo. Kabla jambo
halijawa kubwa chukua hatua. Tatizo lilikuwepo ila lime ongezeka baada ya

Kugombana na mke wake kiasi kwamba huwezi kujizuia. Ukiona jambo
akili ina shindwa kulizuia hilo ni tatizo siku si nyingi utaishia kwenye ulevi

Hivyo tafuta Psychologists upate session za counselling and Psychotherapy

Mimi sipendi kufanya sugar coating au ku polish mambo bora ajue ukweli na
achukue hatua mapema.
 
Kuna MTU anakuwa na pesa bank Kama mil 100 Ila unamkuta anakesha ili aipate laki moja

Na kuna MTU akilipwa laki moja kesho yake haendi kazini


Unachopitia wewe inaweza kuwa ni hali ya kumiliki mil 100 Ila unakesha kisa laki moja.


Kiufupi wewe ni chosen one -ni MTU ambaye una dream kubwa na unapenda kuona unasonga mbele.


So ndo maana kuna muda ukilala unahisi unapoteza muda , ukila vizuri utahisi unaharibu hela n.k


Mimi naomba uzingatie mambo matatu

1 .Well-being (utimamu wa akili ,mwili
na Afya )

2. Kutoa au give back -kwa wazazi , ndugu au watoto yatima n.k

Kupitia kutoa utarudi ndani utakuwa na ile sense of inner self hali ya ubindamau utaanza kujiona Mimi nipo juu na nahitaji kujivunia nilichonacho.


3. Kushukuru -jitahidi uwe unashukuru Sana shukrani huwa inakufanya ukae katika present moment na kusahu kwa muda past na kutoiogopa future.
Again, thank you.
 
Natoa offa, Leo nimetembelea uwanja wa sokoine mbeya kuna mechi. Kama kuna mtu yupo hapa aje tusalimiane nimnunulie hata kinywaji.
 
Nasumbuliwa sana na wasiwasi wa maisha, mwanzoni nilikuwa naona kawaida ila kwa hali yangu ya sasa naona it's too much.

Ngoja niwaelezee kidogo jinsi ilivyo, mfano nikitoka kazini nikirudi home kupumzika, mawazo yananijia kuna vijana wenzangu bado hawajarudi ghetto bado wapo mtaani wanapambana, bac nakosa raha kabisa, naanza kuona kama napoteza muda kupumzika.

Hata nikijifunza new skills ambazo naona kabisa hizi zitani-boost kiasi flani kazini bado kuna kitu nafsini mwangu kinaniambia wewe bado sana.

Kila nalofanya naona kama si kitu, siipendi hii hali, nataka initoke.

Juzi kati mm na mshkaji wangu tumetoka kupiga project flani ivi tumepiga hela nzuri tuu ila nilivoipata tuu ile hela mawazo yakanijia kuna vijana wenzako wanapata hii within a day, mimi imenichukua takribani mwezi mzima, bac furaha yote ikaisha. Hapo ndo nikaanza kujitathmini na kuona kwamba hii hali sasa inaninyima raha na inabidi nitafute ushauri au counselling.

Hata nikiwaza niende kuongeza elimu kuna mawazo yananijia kuna watu wameishia darasa la saba na wana biashara zimesimama hapa mjini unataka uongeze elimu ili iweje, bac najikuta naghairi na kuona kama naenda kupoteza hela na muda.

Yaan ni kama vile nashindana na watu alaf hao watu wenyew siwaoni, nawabuni tu kichwani mwangu.

Inaboa sana hii hali, kuna muda natamani nisikie furaha, hata kama ni hatua ndogo kiasi gani nimepiga ila wapi.

Hivi ni mimi tuu ninayesumbuliwa na hii hali?

Hebu tushauriane, mlioweza kuondokana na hii hali mliwezaje?
Tatizo lako.
1. Unapenda kujilinganisha na watu fulani bila kujua uhalisia wa maisha yao.
2. Huna moyo wa shukurani
3. Ulipitia maisha ya kunyanyasika sana enzi za utoto wako.
4. Ulilelewa na Mzazi mmoja haukupata malezi ya wazazi wote.
Hilo tatizo lina utatuzi wake ni PM ili nikuoe namba ya Mwanasaikolojia au niku mention kwenye nyuzi zangu zinazoweza kukuondolea hiyo hali
 
Acha kuongea vitu vyepesi vyepesi inaonekana wewe bado mtoto na nadharia
za kufikirika

Huyo ana personality disorders/ Mental health issue anatakiwa apate ushauri
wa kitaalam. Mtu ana wasiwasi unaongea kirahisi hivyo. Kabla jambo
halijawa kubwa chukua hatua. Tatizo lilikuwepo ila lime ongezeka baada ya

Kugombana na mke wake kiasi kwamba huwezi kujizuia. Ukiona jambo
akili ina shindwa kulizuia hilo ni tatizo siku si nyingi utaishia kwenye ulevi

Hivyo tafuta Psychologists upate session za counselling and Psychotherapy

Mimi sipendi kufanya sugar coating au ku polish mambo bora ajue ukweli na
achukue hatua mapema.


Umesoma nilichoandika ?

Well-being nilioandika nimemaanisha nini ?

Well -being Ina lenga utimamu wa akili , utimamu ya Afya na mwili

Sasa katika kuipambania well-being yake ndo anaangalia therapeutics mbali mbali za yeye kuwa sawa.

Mfano nimetoa hints Kama kushukuru kufanya Gratitude hii ni therapeutic katika kuondoa depression na fear of unknown. N.k


Kuna meditation

so kabla ya kujibu uwe unasoma na kuelewa
 
Umesoma nilichoandika ?

Well-being nilioandika nimemaanisha nini ?

Well -being Ina lenga utimamu wa akili , utimamu ya Afya na mwili

Sasa katika kuipambania well-being yake ndo anaangalia therapeutics mbali mbali za yeye kuwa sawa.

Mfano nimetoa hints Kama kushukuru kufanya Gratitude hii ni therapeutic katika kuondoa depression na fear of unknown. N.k


Kuna meditation

so kabla ya kujibu uwe unasoma na kuelewa
Nimepita mle mle mkuu post #56
 
Tatizo lako.
1. Unapenda kujilinganisha na watu fulani bila kujua uhalisia wa maisha yao.
2. Huna moyo wa shukurani
3. Ulipitia maisha ya kunyanyasika sana enzi za utoto wako.
4. Ulilelewa na Mzazi mmoja haukupata malezi ya wazazi wote.
Hilo tatizo lina utatuzi wake ni PM ili nikuoe namba ya Mwanasaikolojia au niku mention kwenye nyuzi zangu zinazoweza kukuondolea hiyo hali
Hio #3 na #4 hapana, sijanyanyasika utotoni na nimeishi na wazazi wote wawili
 
Back
Top Bottom