Sina sauti kwa huyu mrembo, ananichanganya sana

Sema wanaume washamba kama wewe ndo wanapedestalize women, punguza nyege kwanza utaelewa she is replaceable, Mbaya zaidi unamsifia demu afu kuna mwamba amemleave on read.
 
Ipende na kuithamini familia yako kaka! Lea familia kaka! Familia yako tu ndiyo itakuwa na wewe hata mwisho! Acha uzinzi! Wanaume halisi wamebaki wachache sana duniani! Pole.
 
Ipende na kuithamini familia yako kaka! Lea familia kaka! Familia yako tu ndiyo itakuwa na wewe hata mwisho! Acha uzinzi! Wanaume halisi wamebaki wachache sana duniani! Pole.
Familia wako vizuri, ninachotumia ni sehemu ndogo sana mkuu
 
Sema wanaume washamba kama wewe ndo wanapedestalize women, punguza nyege kwanza utaelewa she is replaceable, Mbaya zaidi unamsifia demu afu kuna mwamba amemleave on read.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
We jamaa unamichepuko mingapi[emoji848] aiseeee


Huyo dem ushamla mara ngp..na una muda nae miezi mingapi....

Kuna kitu nasense...qanawake sisi ni wezi. Kukupa maneno matamu tu ilimardi tukuvune kazi nyepesi sana...
Mbona kama nyie ndo mnavunwa sasa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] yan we kuachiwa 50k ya kipoozeo ndo unaona unavuna [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] vp hali ya Hiyo K yako huko chini
 
Yaani huyo mwanamke ndio aandae bajeti????

Yeleeeeewiii

Yeleeeeeeeeewiiii Wanawake wote kikao saa mbili kamili usiku huu


Haiwezekani haiwezekani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…