Mkuu unaambiwa Lugumi kapiga Dili Wizara nyingi tena huko kapiga pesa nyingi zaidi , lakini sasa wapo busy kuficha ushahidi wote hawataki ya kitwanga yawakute Majipu yapo mengi sana Nchi hii , hili ni JIPU gumu Kwa Magufuli Kama lilivyokuwa JIPU la kivuko feki, mabehewa chakavu ya Mwakyembe , Dau wa NSSF , IPTL , Chenji ya Bunge la katiba na ya Rada , pesa za NIDA nk , Haya Majipu Magufuli anayaogopa Kama Ukoma .sema tu watu wengi hawajihusishi na usomaji wa taarifa hizi haswa wa vijijini serikali ya kijani ingekuwa chali sana haswa wakati huu.kama upinzani umeweza kuibua haya na je wakipewa serikali.hakika sukari itakuwa sh elfu moja kilo.sure! mashine za lugumi zinafungwa hayo ndo majipu ya mana acha ya mkuu wa mkoa shy.ambaye hata alikuwa mgeni na mkoa