Singida Big Day: Singida Big Stars vs ZANACO

Singida Big Day: Singida Big Stars vs ZANACO

Singida wamevaa jenzi njano juu hadi chini na mistari meusi ,vile vile ZANACO wamevaa jezi nyekundu mistari meusi
 
Mpira umeanza rasmi saa 16:13

ZANACO wamemaliza ligi wakiwa nafasi ya 6
 
Namna gani vile Mbrazil wa Singida anapiga shuti kipa wa zanako anachukua na kutema dk ya 3
 
Dk ya 4 shambulizi hatari langoni kwa Singinda kipa anaokoa
 
Kwakweli BIG STARS, kocha anakazi ya kuunganisha kikosi sasa.
 
Wachezaji wanatambulishwa.
Kagere ,Wawa na wachezaji wengi tu wakubwa kibao

Uwanja umejaa ,naona wanapitia hatua zile zile za wapinzani wa jadi.

Kwa hizi bwembwe na wachezaji hadi Brazil Azam jiandaeni ligi ngumu hii ila ukweli ni kwamba watani wa Kariakoo huwa wanapishana ubingwa tu ila nafasi msimamo ni 1 na 2.

Azam sport HD live mechi inaanza kati ya Singida Big Star vs ZANACO.

Update: kocha wa Singida Hans Van der
Antonio Nugaz ndo mshereheshaji mzee wa wape salaam!

Kaseke naye anapasha
View attachment 2314056View attachment 2314057View attachment 2314058

Kikosi cha Singida
View attachment 2314063

Updates

Namna gani vile Mbrazil wa Singida anapiga shuti kipa wa zanako anachukua na kutema dk ya 3

Dk 4' ZANACO wanashindwa kufunga kipa wa Singida anadaka


Dk 6' ZANACO wanapata kona ila fyongo inakuwa goal kick.

Dk ya 14 Deus Kaseke anawaandikia Singida goli,pasi ndani ya box naye anaunganisha


Singida 1 ZANACO 0
Singida United imekufa kifo cha Mende, naiombea hii isije ikafuata nyayo hizo.
 
Back
Top Bottom