sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Huu ndio ujinga wa waafrika sasa. Yaani hizo hela baadala ya kuwapa wabongo anawapa wageni.Pumbafu San hyu mmlilik wake kwanin anaangika na wageni wkt watz kibao wamejazana hapa wanaoluwezo wa kuchakata kabumbu vzr tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni wamoto sana wabrazili wale.Hao akina Dario msimu ujao watakuwa Simba&Yanga.
Inaonesha scouting inafanyika siyo ujiko tu wakuleta watu kutoka mataifa ya soka.
Siyo wachovu!
Huyu ndiye anajiona mzaledo kuliko wengine!Huu ndio ujinga wa waafrika sasa. Yaani hizo hela baadala ya kuwapa wabongo anawapa wageni.
Anazingua tuu...hamna uzalendo wowoteHuyu ndiye anajiona mzaledo kuliko wengine!
Ana undgu na Pablo Escobar!??Tozo tunazochapwa ndizo zinafanya hii kazi ?
klabu ya Singida Big stars inayomilikiwa na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba imeweka rekodi Tanzania kwa kuwa klabu ya (1) kusajili mchezaji kutoka Argentina
Anaitwa Miguel Alejandro Escobar, ana umri wa miaka (27) tu ni kiungo mshambuliaji
View attachment 2335779
Bila kuwasahau Wabrazil watatu
View attachment 2335785
Waafrica wangapi wapo Europe wanacheza football na michezo mwingine?Huu ndio ujinga wa waafrika sasa. Yaani hizo hela baadala ya kuwapa wabongo anawapa wageni.