goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Ni mpumbafu San huyu mjinga wa mwisho huyo mmiliki wa hyo kilabu mm sijamtaja jina mtu hapa ila Ni mjinga San kuwai kutokea unavuka mabara na mabara unaenda kuwaleta wachezaji mtu anapanda ndege nne ndio afike hapa hzo pesa hakuna wachezaji wa Happ ndani ambao hata ukimlipa laki nane tu atacheze Hadi kiwango chake Cha mwisho kwann anaenda kuwaleta walamadawa huko nje hyu mmiliki anakeraa mnoHuu ndio ujinga wa waafrika sasa. Yaani hizo hela baadala ya kuwapa wabongo anawapa wageni.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app