Singida Big Stars yakamilisha usajili wa mchezaji kutoka Argentina

Singida Big Stars yakamilisha usajili wa mchezaji kutoka Argentina

Waafrica wangapi wapo Europe wanacheza football na michezo mwingine?
Sasa sii ujinga wetu wenyewe....wee u alipwa vizuri nchini kwako na football la maana ulaya ukafanye nini? Sii naenda vacation tuu nashangaa wiki mbili narudi nyumbani. Kama wao wanavyofanya kushanga sengengeti na kurudi mamtoni kwao
 
Huu ndio ujinga wa waafrika sasa. Yaani hizo hela baadala ya kuwapa wabongo anawapa wageni.

Kumbuka huyo ni muargentina na sio mbongo, hata hao wabrazili sidhani kama wanamfikia huyu escobar, nimefuatilia baadhi ya clip zake jamaa ni fundi haswaa, waargentina wanalijua soka.

Ngoja nikaanzishe mada ya huyu fundi, na clip zake, nitakutag mzee baba.
 
Huu ndio ujinga wa waafrika sasa. Yaani hizo hela baadala ya kuwapa wabongo anawapa wageni.
Tafuta hela zako, acha kupangia watu cha kufanyia. Vp GENK nao wamchukua Mbelgiji mwenzao wamwache Samata aja acheza Afrcan Sports ya Tanga au Mbagala Market??
Umetumia matako kufikiri.
 
Kumbuka huyo ni muargentina na sio mbongo, hata hao wabrazili sidhani kama wanamfikia huyu escobar, nimefuatilia baadhi ya clip zake jamaa ni fundi haswaa, waargentina wanalijua soka.

Ngoja nikaanzishe mada ya huyu fundi, na clip zake, nitakutag mzee baba.
Mimi tatizo langu kuu hapa bongo ni kwamba tunakua na argument ya kipuuzi kwamba by bringing foreigners wazawa watapambana.
This is a fallacy.

Kikubwa ni kwamba tujiulize imekuwaje nchi zingine zina export wachezaji sie tunashindwa? Point ya msingi ni kwamba sie hatuwatengenezi wachezaji wetu. Kama kweli kuna uzalendo hizo dollar wanazowalipa hao wageni kwa nini wasiwekeze kwenye vituo vya kulea vipaji?
 
Tafuta hela zako, acha kupangia watu cha kufanyia. Vp GENK nao wamchukua Mbelgiji mwenzao wamwache Samata aja acheza Afrcan Sports ya Tanga au Mbagala Market??
Umetumia matako kufikiri.
Sawa nyie mnaotumia akili kufikiri kila leo mnabaki kushuhudia world cup kwa tv mkiwa mmekalia matako yenu
 
Tuache kulia lia kama tunataka tozo zipungue basi tuhakikishe tunaomba risiti kila wakati. Tofauti na risiti tozo hazikimbiliki
Hapo kwenye risiti ndo pa kuweka usimamizi mzuri, wafanyabiashara wanazidi kuwa matajiri kwa kukwepa ile VAT kiaina.
 
Hofu yangu ni kuwa akitema kibarua na timu kwishney kama ilivyokufa ile united.
 
Daa ni kweli tozo tunazochanjwa ndizo zinafanya hiyo kazi?.
Sasa mkurugenzi unadhani nje ya tozo, hizo hela za kuwasajili wachezaji wote hao zitatoka wapi?

NB: Kuna mtu atasema eti mbona hiyo timu ina wadhamini wengi!! Wangapi?

Kama ni sportpesa, GSM, nk wana maajabu gani?
Mbona wanadhamini timu yenye mashabiki wengi kama Yanga, lakini Yanga hiyo hiyo haina jeuri ya kufanya usajili wa kufuru kama wa Singida Big Stars!!!

Amka usingizini Mkurugenzi! Nchi inaliwa hii na wajanja!! Utakuja kuvuna mabua kama utaendelea kulala. Mimi ndugu yako kwa sasa niko Burundi! Baada ya kukubali matokeo.
 
dismasten_20220826_p_2913488323117001615_1_2913488323117001615.jpg

Kutoka kwenye nchi waliyozaliwa magwiji wa soka ulimwenguni, 🇦🇷Argentina, Diego Maradona, Messi, Requelme, Di maria, Dybala, Redondo n.k n.k, tunamtambulisha kwako Miguel Alejandro Escobar kuwa mchezaji mpya wa kikosi cha @Singidabsfc, 16 hours ago

Hakika wana singida mmepata jembe, huyu jamaa ni fundi, linapigwa boli mpaka linamwagika 😃nimefuatilia baadhi ya clip zake, sina cha kuongeza, hongereni sana.

Clip zake,








mzabzab
 
... Amka usingizini Mkurugenzi! Nchi inaliwa hii na wajanja!! Utakuja kuvuna mabua kama utaendelea kulala. Mimi ndugu yako kwa sasa niko Burundi! Baada ya kukubali matokeo.
Mkuu nakuja Burundi.
...
Although naamka sasa ila kuna watu chini ya utawala huu-ulioachwa na yule mzee sijui mnamwita jiwe (unaojitanabaisha awamu wa sita) unaendelea kupigwa mawe ilihali now kuna haya tunayapiga mawe ila watu wanajiafanya hawaoni.
 
Back
Top Bottom