Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Hahahaa mi bado zero mother mkuu
Mh!...unashinda kwny huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa mi bado zero mother mkuu
Kila kitu kinatokea kwa sababu. Mimi namshukuru huyu mtoto ukiacha kuniongezea furaha amenifanya nijue thamani ya kutafuta. Hii kazi ninayoifanya ingekua enzi sina mtoto ningeshaiacha muda kabisa. Ila sasa hivi nikiamka nikiona mwanangu alivyolala najikuta napata nguvu za kutoka kitandani kwenda kumtafutia aishi vizuri zaidi. Mtoto amenibadilisha sana. Ndo sababu sijuti kuwa single mom.Pole sana mkuu kwakweli sisi wengine kama mimi ni single father kwa sababu mke wangu alichanganywa na mji enzi zile za utawala wa J k wapiga deal walionekana kung'aa sana mjini sasa maisha yetu watumishi wa umma tukaonekana kawaida basi namie nikasema isiwe tabu
Hahaha,wamekutana humu ,kufarijianamnh kumbe masingo faza mko huku??? mbona wanatukanwaga mazingo maza peke yake?
Pole asee,best karibu,ila mie sio singo faza ,but KARIBUNipo hapa. Single mom wa mtoto mmoja mzuri sana wa kiume. Japo babake mzinguaji but I love my son to death.
Asante mkuu. Nimeshapoa kabisa niko na maisha mengine.Pole asee,best karibu,ila mie sio singo faza ,but KARIBU
Ana umri gani nimuozeshe haka kabinti kangu karembo na bikira kasikokuwa na dhambi?Nipo hapa. Single mom wa mtoto mmoja mzuri sana wa kiume. Japo babake mzinguaji but I love my son to death.
Nimekutana nao tu mkuu, wala sijashinda.Mh!...unashinda kwny huu uzi
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]. Huo mtihani sasa.Mfano mtu una watoto 8 kwa mama tofauti unakuwa single father au?!
Watakuja mdauMbona sioni mkujiunga kwa link hiyo wakuu nisha unda group la whatssap
Hongera sana,Mungu akutie nguvuKila kitu kinatokea kwa sababu. Mimi namshukuru huyu mtoto ukiacha kuniongezea furaha amenifanya nijue thamani ya kutafuta. Hii kazi ninayoifanya ingekua enzi sina mtoto ningeshaiacha muda kabisa. Ila sasa hivi nikiamka nikiona mwanangu alivyolala najikuta napata nguvu za kutoka kitandani kwenda kumtafutia aishi vizuri zaidi. Mtoto amenibadilisha sana. Ndo sababu sijuti kuwa single mom.
Yani kuna mjamaa kishakupeleka clinic tayari...kweli dunia ina watu wabaya sn.Nimekutana nao tu mkuu, wala sijashinda.
Karibu sana,jisikie uko .....Asante mkuu. Nimeshapoa kabisa niko na maisha mengine.
Watoto wenu bado wadogo mtulie sasa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]. Huo mtihani sasa.
Mwanafunzi weweeeeBest kwani nawe ni single parent? Kama vip tuunganishe usingle wetu tuwe pair [emoji12] [emoji12]
Hahahaa anaanzaje kunipeleka clinic nakuacha wewe.Yani kuna mjamaa kishakupeleka clinic tayari...kweli dunia ina watu wabaya sn.
Mimi nalilia penzi lako miezi kuna mtu mwenyewe unamfuata kama mbwa kwa chatu
Mungu anakuona
Hivi kwanini ulinidanganya we bado bikira?? Au ulijifungua kwa operesheni??
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Na mimba iliingia kwa operation i guess
Kukuona kwny huu uzi asbh hii tu nmepata mashaka sn. Bora hata nisingeingia humuHahahaa anaanzaje kunipeleka clinic nakuacha wewe.