Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good ideaTungeunda group letu la whatsapp kupeana moyo kupeana dili kazi tuinuane
Kwa sababu haina gharama katika hilo naunda group na baada ya dakika chavhe nitaweka link hapaGood idea
Sasa unataka tu undo sisi kuwa single moms? Ndo tushakua hivyo pasukeni
Mmmm!!! To be honest am single mum but not proud
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Hivi kwanini ulinidanganya we bado bikira?? Au ulijifungua kwa operesheni??
Pole mkuu. Apumzike kwa amani mama mtotoam single faza,mwanangu ametimiza two yearz juzi tu.
mamake alifariki wakati anajifungua akabaki mwanangu.
Rip mamakamal.
Sawa mkuu.. nitakua wa kwanza kuwa humoKwa sababu haina gharama katika hilo naunda group na baada ya dakika chavhe nitaweka link hapa
Pole sana mkuu kwakweli sisi wengine kama mimi ni single father kwa sababu mke wangu alichanganywa na mji enzi zile za utawala wa J k wapiga deal walionekana kung'aa sana mjini sasa maisha yetu watumishi wa umma tukaonekana kawaida basi namie nikasema isiwe tabuPole mkuu. Apumzike kwa amani mama mtoto
Huyo anakua multiple fatherMfano mtu una watoto 8 kwa mama tofauti unakuwa single father au?!
Huyu atakuwa double father[emoji23]Mfano mtu una watoto 8 kwa mama tofauti unakuwa single father au?!
Huyu atakuwa double father[emoji23]
Hahahaa mi bado zero mother mkuuNakuona single mother