kashaijamakaka
Member
- Jul 22, 2017
- 20
- 40
Thanks my dearGood father indeed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks my dearGood father indeed
Nakusalimu mkuuKuwa single mother sio uzinzi dada, kuna single mother hapa tulikuwa kwny ndoa, tulijitunza mpaka ndoa ndo tukazaa na mambo hayakuwa mazuri tumeachana ama wengine wenzi wao wamefariki so before judging or point a finger just think twice. Sio kila mwenye mtoto alimpata kwa kudanga/uzinzi usio rasmi. Hebu acha upuuzi
Asante mkuu, hujamboNakusalimu mkuu
Sijambo mkuu Habari za UzimaAsante mkuu, hujambo
Uzima umejaa tele kwa rehema za MunguSijambo mkuu Habari za Uzima
Changamoto ni nyingiiii mkuu kama mmi nina bint wa 6yrs am just me & her only tatizo ni jinsia mbili tofauti kwani najiuliza daily akipevuka what will i do cwez mpeleka kwa bib yake koz she is old enough ni rehema ya mungu tu she is gud +brityNi changamoto gani unakutana nazo single parent na vipi unazi manage na/au ku cope nazo ?.
Ameen be blessedUzima umejaa tele kwa rehema za Mungu
Thank u mkuu, uwe na jioni njemaAmeen be blessed
Thanks,,,, likewiseThank u mkuu, uwe na jioni njema
Tuyajenge chembaThank u mkuu, uwe na jioni njema
Ujinga raha sana. Lakini Ujinga zaidi ni kufikiri kutegesha mimba ndo utaolewa. Siishi Jupiter hayo hapo na wengi wenu mnazama humo. Endeleeni kupambana na hali zenu na kutoa mapovu mengi zaidi.Afadhali umejigundua kwamba wewe ni mjinga mkuu
Ukweli hubaki ukweli daimaKuwa single mother sio uzinzi dada, kuna single mother hapa tulikuwa kwny ndoa, tulijitunza mpaka ndoa ndo tukazaa na mambo hayakuwa mazuri tumeachana ama wengine wenzi wao wamefariki so before judging or point a finger just think twice. Sio kila mwenye mtoto alimpata kwa kudanga/uzinzi usio rasmi. Hebu acha upuuzi
Its true nataman kuambia wa dada huku ni pa gumu sana hata kama una fedha kuna kitu kina missKuzaa kabla ya ndoa ni tabu sana no matter unapata faraja kubwa kwa mtoto, mi mwanangu hajawahi kutamka baba na hata akisikia watoto wenzie wanaita baba zao hapendi kabisa na sijawah hata kumfundisha hayo, binafsi nawashauri wadada msifanye mistake jamani, uwiiii
Changamoto kubwa ni ku wish mzazi mwenzangu anangekuwepo sio kimapenz bali awe na mda na mtoto wake awe naenda kumchukua shule ende nae hata out hii kitu kinaniumiza sanaNi changamoto gani unakutana nazo single parent na vipi unazi manage na/au ku cope nazo ?.
MaashaAllah.Msijali..... maana mama watoto wangu amekubali tuwe pamoja tena
Tuko pamoja mamsoNataman siku tumeet nahitaji marafiki ambao ni single mum kama mimi inakuwa rahisi kuelewana kuliko hao ambao sio singo mama