Kwa vile hakujui na humjui mpishe apite wengine mizigo humu watakuharibia siku bila sababu jifunze kuwapuuza wa humu labda anae kashfu ana kwa ana huyo pambana naeWanakera sasa. Na binadamu tumeumbwa na nyongo. Mtu hawez kukukashfu umchekee
Sawa mkuu.Kwa vile hakujui na humjui mpishe apite wengine mizigo humu watakuharibia siku bila sababu jifunze kuwapuuza wa humu labda anae kashfu ana kwa ana huyo pambana nae
Hapana ,sipo ktk group yoyote ileUpo huko na wewe?
Teh teh tehHumu ndani tikitulia vzuri na kufahamiana vzuri huenda tukafarijiana.Mi ni lisngle dad nlobobea napatikana arusha
We unatunza na Mimi natunza vilevile ...aisee sikupi ng'ooo.kwan Mimi sihitaji mtoto?Mimi Mke nilie zaa nae yupo ....lakin Natunza Mtoto wangu akikua Namchukuaa..... Akifikisha Miaka 3 nabeba ......
Motivation_Ba.D
Vema jiongeze mkuu mtu yupo nyuma ya keyboard saa ingine anakuchekaaa unavochukia basi anakuongeza tu mineno ya ajabuSawa mkuu.
Uzuri uliwachukua mapema na kuwapa matunzo..sasa kuna wengine wanaacha mtoto matunzo hatoi ..badae anakuja kudai mtoto..sikupiiiiMleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.
Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!
For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss wangu single mom. Anachukia wanaume. Kitu kidogo povu
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo wewe ni wa kike unavyondharau huyu wangu wa kiume? Kama umebahatika kulelewa na wazazi wako wore wawili piga magoti umshukuru Mungu, wengine hata sura za wazazi wao hawazijuiBaba yake amekufa??? Tena toto lenyewe la kiume hahahah...!
Yamesababishwa na mtu kama wwEti single mother na Father
Tukiondoa wale waliofiwa wenza wao
Nyinyi wengine ni matatizo
Kama haupo proud bas hata mwanao haupo proud kumpata kila mtoto huja na fungu lakeMmmm!!! To be honest am single mum but not proud
Hata wewe ni single something?Wote walio comment humu ni ma single something , lakini hawapendi kujieleza, bali wanaeleza ya wengine, fyuuu
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.
Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!
For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu, kazana tu ndo kulea kwenyewe hukoMleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.
Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!
For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu
Sent using Jamii Forums mobile app