Mwanamke asipoguswa guswa kwa muda mrefu, pia huchangia kuwa mtu wa milipuko (povu) hata kwa mambo madogoBoss wangu single mom. Anachukia wanaume. Kitu kidogo povu
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Sio kila single parent alipenda kuzaa nje ama kuachwa....Tutawajua waliozaa nje ya ndoa au kuachwa leo
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Naam......Tunachokipitia sio rahic MTU ambae hana situation kama yetu kikielewa
Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
Bravo.....[emoji123]Single mum and proud
Niko hapa single dady! Namnani?Karibu mwenzangu
Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
Like it, keep it up mumy..love you..we are the sameProudly single mama for over 10 yrs. Niliolewa tukashindwana. Sijutiii. My twin daughters 17 years na son 11. I am kicking fine wanasoma the best school without a pen from their biological father. Sina pia mwanaume mfadhili as since usichana na utoto wangu niliweka msimamo wa kutoingilia ndoa ya mwanamke Mwenzangu. So napigana kusomesha plus project's zangu. Ila mwishoni ninaamini nitapata mzee Mwenzangu not attached to a relationship ili tuzeeshane tuu. By that time nitakuwa nimemaliza kusomesha wanangu angalao wa mwisho awe University. Hivyo wagani au ambao walishatalikiana wanakaribishwa. Sitaki kuwa sababu ya kuvunjika ndoa ya mwanamke. Acha Mungu akahukumu wale walioendekeza zinaa na kuvunja ndoa. Watazibeba mikononi Siku ya hukumu.
HaswaaaNaam......
Iam proud of you mama....keep it upProudly single mama for over 10 yrs. Niliolewa tukashindwana. Sijutiii. My twin daughters 17 years na son 11. I am kicking fine wanasoma the best school without a pen from their biological father. Sina pia mwanaume mfadhili as since usichana na utoto wangu niliweka msimamo wa kutoingilia ndoa ya mwanamke Mwenzangu. So napigana kusomesha plus project's zangu. Ila mwishoni ninaamini nitapata mzee Mwenzangu not attached to a relationship ili tuzeeshane tuu. By that time nitakuwa nimemaliza kusomesha wanangu angalao wa mwisho awe University. Hivyo wagani au ambao walishatalikiana wanakaribishwa. Sitaki kuwa sababu ya kuvunjika ndoa ya mwanamke. Acha Mungu akahukumu wale walioendekeza zinaa na kuvunja ndoa. Watazibeba mikononi Siku ya hukumu.
Uko sahihi dear, Na pia sio wote wamekuwa single kwa sababu ya kuachana tu, sababu ni nyingi ikiwemo mume/ mke kutangulia mbele za haki. Shukrani nyingi zimfikie mleta mada hii.Big up dada kuleta hii mada, kwani jamii imekuwa ikiona single mother/Wadada wenye mtoto kama wakosefu eti tu kwa kuwa wamepata ujauzito; wanasahau kuwa kuna wasinzi wakupitiliza wapo mtaani na wanaonekana kuwa ni bora eti kwa kuwa tu hawana mtoto
Kwa mtazamo wangu wadada wengi wenye mtoto (kabla ya ndoa) ni decent na wengi wao ujazito wameupata kwa kukosa uzoefu wa kuruka vihunzi tofauti na wale wengine wa viwanja
Ni kweli kabisa mpendwa, kulea familia peke yako Na mtoto akatoka mwenye maadili mema si kazi rahisi, inahitajika hekima kwakweli. Lakini nazidi kumshangaa Mungu kwa namna anavyowasimamia wanetu hata kiasi kuna sehemu unaweza linganisha maadili aliyonayo mwao uliyemlea ukiwa single Na mtoto aliyelelewa Na father& mother, wa kwako anaonekana mwenye maadili Bora zaidi. Big up kwa ma single mom wote jamani. Tuendelee kutiana moyo.Si kila mtu anaweza akawa single mother inahitaji mtu strong confidence akili timamu tunapitia mengi kusemwa kuonekana hatuna thamani lakini yote tunayapita na jinsi Mungu si athumani watoto wetu wana akili yaan all the blessing ni sisi.
Good idea my dearTungeunda group letu la whatsapp kupeana moyo kupeana dili kazi tuinuane
Wow hongera sanaMi ni single mother nina watoto wawili wa kike,mmoja miaka 9 na mwingine 6,,Mimi mwenyewe nina miaka 34,nilipata talaka mwaka 2014 baada ya mi kwenda UDOM kujiendeleza kielimu mwanaume akatekwa na ndo ikawa chanzo cha talaka,,nina imani hakuwa wangu wa kwangu atakuja,,bado nina imani katika ndoa,,tuombeane na kufarijiana wapendwa
Nimeipenda hii, tufanye hivyo basi, we are heroes...Good idea my dear
Asante myWow hongera sana
Ingia pm
Thanks so muchSuch A Loving Father!...... Congrats [emoji122][emoji122]