Single fathers and mothers njooni tujenge familia

Nakusalimu mkuu
 
Ni changamoto gani unakutana nazo single parent na vipi unazi manage na/au ku cope nazo ?.
Changamoto ni nyingiiii mkuu kama mmi nina bint wa 6yrs am just me & her only tatizo ni jinsia mbili tofauti kwani najiuliza daily akipevuka what will i do cwez mpeleka kwa bib yake koz she is old enough ni rehema ya mungu tu she is gud +brity
 
Afadhali umejigundua kwamba wewe ni mjinga mkuu
Ujinga raha sana. Lakini Ujinga zaidi ni kufikiri kutegesha mimba ndo utaolewa. Siishi Jupiter hayo hapo na wengi wenu mnazama humo. Endeleeni kupambana na hali zenu na kutoa mapovu mengi zaidi.
Ila kumbukeni ulimbukeni wenu ndo mnaowanyima haki watoto wenu wa kuwa chini ya malezi ya baba na mama. Na ipo siku mtakuja kujibu mbele ya muumba.
NB: Jitafakari povu halisaidii.
 
Ukweli hubaki ukweli daima

Sio wote ni uzinzi ila unajivunia lipi hasa!!!Mtoto kukosa malezi ya mzazi mmoja?Kulea kwa kujiona mbabe?
 
Its true nataman kuambia wa dada huku ni pa gumu sana hata kama una fedha kuna kitu kina miss
 
Single father of 2...kang’ang’ania watoto nikaona isiwe tabu wakikua watanitafuta...I remember jibu baya alilonipa kuwa sina hela ngoja wanisaidie..but now nime m prove wrong niko vzr ila kaniachia kilema cha kutopenda tena the way i use to treat ladies back in the days it’s different now..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…