Single mama kaniganda nashindwa kumuambia ukweli

Awali ni awali, hakuna awali mbovu! Huo ni mtumbwi wa vibwengo! Kimbia mkuu.Jamaa muda wowote anapasha kiporo moto.
Umesahau kama na wako anaweza kua na yule wa wanawake 400[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo mkuu ana mwonekano amekupenda kweli kama vp mchukue tu ameshajifunza maisha ya misukosuko kwako atatulia japo tahazar single maza wengi hawawezi kuachana na mzazi mwezie waliozaa nae lazima atakuwa anapasha kiporo
Hata huyo wako ni 379 kati ya wale 400[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unamuonea huruma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimetumia njia hyo bado kinganganizi najuwa alipenda nyumba yangu ameona na jenga karibu na kwao wakajuwa kbsa huyu huyu na mbaya zaid ni mvivu ila ana tarako kubwa
Kwahio wewe kula tarako kuoa aaaaaa
 
Well, hapo kwa sisi vijana tutaona faida alizo nazo ni nyingi japo on a serious note, hizo hasara ulizotaja ni kubwa mno kuliko faida. Km ni wa kumla tu km side chick sawa endelea nae, ila km ni kuoa, mteme kabisa,

Hamtokula ilo tako zuri wala, milio mizuri ya chumban haitoleta pesa. Usije ukawa mtumwa wa mapenz mzee. Fanya chaguzi sahihi apo.
 
Mechi 1-0, anyway mambo hayo huwa hushauriwi mkuu,ni Halmashauri ya kichwa chako inaamua
 
Kuna demu mmoja nilikuwa mgahawani local food areas napiga chips dry nikawa namsalandia yule demu kumbe ni single mother namsikiliza mtoto analea mwenyewe nikaona hapa matatizo I Can never date single mom yaan ana stress kama Zote mwanaume kama unajitambua you have to make your own empire
 

Wakati unamtoa chupi ulikuwa walalamika hivi?
 
Maisha ni haya haya, kama anatuliza nafsi yako na wewe umerizika mfanye mchepuko ila usimfanye mke. Na umwambie una mke au mchumba yuko masomoni n.k ili asikugande sana.​
Mm napata awe mchepuko ile yeye anataka kujiweka kbsa kbsa yaani nawaza kuolewa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…