Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

You have hit the nail on the head 💪💪.


Singlemom wasokua na Uchumi huru, ndio wanaonyanyasika.



That's why, Mwanamke aliyeolewa mwenye kazi, akiona mwanaume anazenguaa, anatomba Talaka !!.
 
Eti "mnawezaje kuendelea kuwasiliana na mwanaume ambaye hakukupa thamani ....!!

[emoji38][emoji38] hayo ni maneno tu
 
Ni mbinafsi....nilizaliwa mara Moja nitakuwa mara Moja...I swear sitomsamehe...alisema hata nisipompa Leo akikua mtoto atamtafuta.....ndo asubiri....sitaki kuniona sura yake hata kidogo
Kumbuka Kuna second chance.
Halafu taarifa za mimba ulimwambia mkiwa katika hali gani?

Ndio amefika na mastress yake?
Umempa tunda huku umemlalia kifuani?
Au ile ya Kinyakyusa utajua hujui?

Wengi huwa tunapata hofu tunapozisikia kwa mara ya kwanza na Wanaume wote huwa tuna maswali zaidi ya mia kichwani kifupi tupo confused.

Mkaribishe kwa mikono miwili, yaliyopita si ndwele mgange yajayo.
Fanya Fanya To yeye
 
Sasa wee unadhani shamba boi hatataka atie mimba?
Mwanaume gani anaejielewa atakubali kuoa mwanamke single mom? Hapo options zilishashuka.
Hivi wadhan nasi wanawake hatuhitaj ngono kama burudan tu?wadhan wanawake wanahitaj ngono kwaajil ya mimba kila wakati?no,unafel wapi wewe?mie nakuona mjanja wa mjin afu unaonyesha mitizamo ya watu wa sitimbi huko🤔🤔
 
DOUBLE MOMS NDO HUWA WANAKUAJE?
 
Du wakati nasoma huu uzi madam huu 22hr30, kuna Single mom hua namkwepa sana mana Alisha nipa papuchi sana amenitumia sms muda huu NIJE,imebidi nicheke tu mana hata sijamaliza huu uzi. Mungu awasaidie Single mama
Mpee tu...mwambie awe makini tu
 
Hivi wadhan nasi wanawake hatuhitaj ngono kama burudan tu?wadhan wanawake wanahitaj ngono kwaajil ya mimba kila wakati?no,unafel wapi wewe?mie nakuona mjanja wa mjin afu unaonyesha mitizamo ya watu wa sitimbi huko🤔🤔
Ofcoz wanwake wana hisia so tutaendelea kuwapeana jamaa wapige mbususu mnakula burudani au sio
 
Njaa ikiisha wanarudisha majeshi
 
Du wakati nasoma huu uzi madam huu 22hr30, kuna Single mom hua namkwepa sana mana Alisha nipa papuchi sana amenitumia sms muda huu NIJE,imebidi nicheke tu mana hata sijamaliza huu uzi. Mungu awasaidie Single mama
We nenda anakuchukulia kama sex machine tu🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…