Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye

Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye

Baba hao wa miaka ya 90s na 2000 kazi yao ni kulalamika tu, .....kama baba wa kufikia umeshindwa kusimamia au kulea huyu mtoto kama unavo penda unaishia kulalamika mitandaoni, nyie vitoto vya 2000 endeleeni na kampeini ya kukataa ndoa nyie hamna akili ya kulea ndoa, unalalamikia mtoto wa miaka sita kweli?????
We nae, mtoto wa miaka sita ni mdogo? Mimi miaka 6 nilikua naenda na mama shamba kulima, hujaenda kulima nabaki home kumwangalia mdogo wangu wazazi wapo shamba. Malezi mabovu tu. Miaka sita nibmtoto wa kijikojolea? Mtoto wa miaka mitatu anajua kabisa kusema mama njojoe. Utakua single mother ww
 
6. Mkitoka mkaenda sehemu analilia kila kitu kinachoona. Ukikataa kununua mama yake anasema kwa unyonge " basi mwanangu usilie angekuwepo hai baba yako angekununulia. Vumiiia baba" mara tatu namsikia anaongea hayo maneno kama kuniumiza kuwa simjali mtoto wake.
Single mother wengi hawana akili lakini huyu Wako ni Mbulula kabisa.
 
Nlipoanza mahusiano naye sikujali kama ana mtoto nikasema nitampenda hivyo hivyo ila tu anielewe na misimamo yangu. Maana mapema nlimwambia kuwa ni changamoto sana kudate yeye ikiwa hatojielewa.

Mwezi wa 12 akaomba sana aje likizo kukaa kwangu. Nikamwambia hamna shida. Akaja na mtoto wake. Mimi huwa sina ubaya na watoto. Ila sipendi vitoto vinavyodeka na vitundu. Nimepata naye changamoto mpaka nimemwambia HATUWEZI KUENDELEA MBELE. ACHAGUE KUISHI NAMI AU KUISHI NA MTOTO WAKE.

Maana nlimpa option ampeleke kwa bibi yake mimi nitamlipia ada na mahitaji mengine. Akasema anapenda kuwa karibu na mwanaye bibi yake ni mkali kwa watoto. Nikaelewa shida ni huyu mwanamke hana akili ya kulea mtoto. Amejaliwa tu rangi, sura na umbo zuri. Akili hana.

1. Mtoto ana miaka 6 kinadeka kama cha miaka 3. Kinajikojolea mama yake anasema usipokikumbusha kwenda kukojoa kinaona uvivu kinajikojolea hapo hapo kilipo.

2. Ana makelele mtu haukai ukapumzika. Fujo muda wote kinataka kiangalie TV na kinajua kucheza amapiano na singeli. Mama yake anacheka anakapigia makofi na anataka eti tukae kukiangalia kwa huo upuuzi.

3. Mtoto anaangalia michezo ya kiswahili na ile ya kipuuzi ya Azam Tv ya kutafsiri na kinapenda ile mbaya wanakaa kuangalia na mama yake. Mimi hiyo ni kichefu chefu.

4. Mtoto hakitaki kulala mchana muda wote kina fujo na kelele na amekizoesha hadi saa tano kinakuwa hai tu sebuleni.

5. Mtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.

6. Mkitoka mkaenda sehemu analilia kila kitu kinachoona. Ukikataa kununua mama yake anasema kwa unyonge " basi mwanangu usilie angekuwepo hai baba yako angekununulia. Vumiiia baba" mara tatu namsikia anaongea hayo maneno kama kuniumiza kuwa simjali mtoto wake.

7. Mtoto ameshaharibu vitu vingi ndani na kuvunja. Mama yake anacheka tu na kusema we Ikram usifanye hivyo hapa siyo kwenu.

Kiufupi ni kuwa huyu mama napomwambia kuwa mtoto anatakiwa alale mchana, usiku alale mapema, asiangalie sana TV, sitaki ajikojolee kwenye sofa au kitanda anaona mimi simpendi mwanawe.

Juzi nimemtolea uvivu. Nimemwambia sasa inatosha waondoke arudi akakae na mama yake. Akitaka kuja kwangu asije na mtoto wake. Sitaki kero na sitaki unafiki. Siwezi jifanya nafurahia wakati si kweli. Amelia sana kuwa hakujua sipendi watoto. Nimemwambia tabia za mtoto wake sizipendi na anamlea vibaya. Akiendelea hivyo kitoto either kitakuwa kishoga or kijizi.

Amerudi kwao. Tumeshindwana. Anatuma msg kuwa naonekana mtu mzuri kumbe nina roho mbaya. Yeye atajinyonga tu aniache na roho yangu. Nimemnyanyasa.

Nikipenda Boga nipende na ua lake sijui na nini na nini. Nimemwambia hata mtoto wangu siwezi mruhusu amlee vile.
Huyo Mama anaonekana ni Mzanzibar😆😆😆
 
Wambie Hannah ndio maana nakupenda.

Hata mimi nikio Mama Wa Kambo nataka asimamie Game kama Mama wa familia na watoto wote wafate malezi bora ya Mama yao Mpya.
Akiwa mjinga ndio yatakuwa ya shida mkuu.
Mbona baba wa kambo wengi wanaishi na watoto wao wa kambo vizuri tu?
Shida ni pale mama asipotaka kukubali yule baba wa kambo asimame kama baba na sheria zake katika malezi zifuatwe.
 
Umefanya maamuzi sahihi.

Tulishakubaliana single maza ni wa kupiga hit and run sio wa kufanya nao maisha

Naona mwanetu ulikuwa tayari hadi kusomesha bao la mwanamume mwenzako, daah! Inasikitisha sana
Hili somo kwanini vijana hawalielewi? Nyge zinawasumbua sana.

Eti kwa sababu ana sura nzuri, rangi nzuri na umbo zuri.

Angekuwa na Uzuri mwanaume mwingine akamwacha na kutelekeza mtoto wake?

Tabia ni kitu muhimu sana baada ya Kunyanduana.
Kama hujanyandua vizuri utajisemea Tabia mtavumiliana lakini baada ya mnyanduo akili zinarudi kwamba umeoa bomu la mtu.
 
kinajua kucheza amapiano na singeli

😃😀🙆👆

Ndugu, inaonekana huna upendo na watoto wadogo.

Sema usemavyo, huyo ni mtoto na anahitaji malezi na maelekezo.

Pia huyo mwanamke umeshindwa kumridhisha kisaikolojia ili asione utofauti wa baba mzazi na baba mlezi wa mtoto.

Ukiweza kumpenda huyo mtoto hakika huyo mwanamke ungemgusa moyo wake na angetulia.
Kwa vijitabia hivyo hata watoto tuliozaa hawana hizo sembuse wa Kufikia??
 
Anataka baba wa kambo jukumu lake liwe ni kutoa hela tu mtoto akitaka hiki au kile. Kwenye kunyoosha tabia anaona mtoto wake ananyanyasika ujinga tu
Ndio maana tunasema Single mothers kabla hawajawa single parents tayari wanakuwa na matatizo.

Hebu fikiria kama huyo Maza.Mwanaume kahitosa kabisa.

Ila mleta Mada hajasema Baba wa Mtoto yuko wapi.
 
Hilo ni furushi kwa kauli hizi, mama timamu na akili zake hawezi mwambia mtoto mdogo haya maneno.

Napenda sana watoto ila sio wenye vitabia vya hovyo na mama zao wanawachekea.

Kuna singo maza mmoja ana mwanae wa kiume miaka 6 ivi, tabia za kike kike kila kitu ni kususa na sitaki na kupandisha mabega kama kangaroo alafu mama yake anamchekea"hehehe ndio alivyo atalia".
Hii ndio Sababu Mtoto wa single maza akiwa mwanamke na yeye 100%anakuwa Single maza na akiwa mwanaume basi Bangi, madawa ya kulevya au anakuwa Muumini wa Baraka za Papa
 
Watu wengine najua hampendi mbinu zangu za malezi
ila mzee huyo mdada inaonekana anakupenda wewe fanya hivi


Mwambie huyo dogo kitu mara moja akikataa unamuweka kibao au mbata ya shingo nzito najua katalia ila mama yake akifika ni message sent

Tumia utaratibu huu wa kukavizia kama guerilla war mwezi mmoja tu
Utaona kananyooka

Zingatio piga wakati mama hayupo😁😁😁

Yani hata shopping unakabeba kakililia kitu ni mbata za shingo kufinya mixer lakini mama hajui😂😂

Ukimnyoosha huyo kijana sahv mambo yatakunyookea baadae

Na yeye jinsi mambo yakiwa magumu kwake mwenyewe hatotaka kulala na nyie

Case solved ✅
 
Wewe ndio umeingia cha kike nashkuru umejinasua kwenye hilo shimo la moto.


Kuoa single mother mwenye mtoto haifai... Na kwa tabia zao ulizosema inatosha kusema kataa ndoa ni utapeli

KATAA NDOA KATAA NDOA NI MTEGO MBAYA SANA.

KATAA NDOA NA SINGLE MOTHER.



SINGLE MOTHER WOTE WATUPWE ZIWA NYASA WAKAFIE HUKO.

Jamaa yangu umejinasua na huyo mwanamke na inaonekana hilo single mother li ZURI sana umeonyesha udhaifu kutumia hisia kuliko akili yenye tafakuri. Aiseee usije rudia kupenda matako hayana faida. Mademu ni wengi nafasi unayo tafuta utapata
 
Pole sana, ila nimefurahi umekuja kuleta taarifa za kisa chako na sio kuomba ushauri. Umeonesha ukomavu wa akili.
 
Back
Top Bottom