Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

S Sjasoma kbsa lkn kun mamb hayapo sawa 1.jamaa alimpata vip ten huyo dada 2 alijuaje shule anayosoma mtoto 3. Alifanikiwa vip kubadil jina la mtoto
 
S
Sjasoma kbsa lkn kun mamb hayapo sawa 1.jamaa alimpata vip ten huyo dada 2 alijuaje shule anayosoma mtoto 3. Alifanikiwa vip kubadil jina la mtoto
Mkuu ukizaa na mwanmake ukamuachia mtoto na unakaa mji mmoja hapa hapa anaolewa hapo hapo mji mmoja .
Utashidwa kujua kweli??

Mtoto kutumia jina la Baba yek ni haki ya mtoto.
 
SIngle mama ukitaka kuolewa uchague kukabidhi mtoto kwa baba yake, ama kukata mawasiliano kabisa na baba mtoto na ndugu zake, kiufupi asijue ulipo.

Ila mimi pangechimbika aisee...mtoto asingempata, hata kama huyo mume angeniacha lkn ningebaki na mtoto wangu katika hali yoyote ile.
 
Mkuu ukizaa na mwanmake ukamuachia mtoto na unakaa mji mmoja hapa hapa anaolewa hapo hapo mji mmoja .
Utashidwa kujua kweli??

Mtoto kutumia jina la Baba yek ni haki ya mtoto.
"Jamaaa altokomea au alkimbia" hicho ndcho cha kusmamia na KUKAZIA whatever baba mzaz au baba mzushi mamb hubadlishwa kwa heshima huyo dada angemuita surname ya mlezi wake over. Kujua baba halis wa nn na alkimbia? Unajua maana ya baba halisi? Baba halisi hawez kimbia
 
Aliolewa kwa sababu ya shida. Alizaa kwa sababu ya upendo. Kati ya shida na upendo kipi kinaweza kufuatwa na mwanamke?
 
Hii kesi ni ngumu kama vita ya izrael na gaza ndio maana mama yangu huniambia usioe mwanamke ambae tayari amekwisha zaa na mwingine kabla yako nahisi anaupeo mzuri wa haya mambo mwanamke aliyezaa na mtu mwingine sio wako100% lazima mtashare power ona jamaa kapoteza pesa kias gan kwa huyo mtoto huenda ameacha ata wazazi wake wanashindia ugali na cabbage kijijini.....VERY SAD ni kesi ngumu kuiamua
 
Kwanza dada anamakosa makubwa sana ambayo atayajutia maisha yake yote. Amepata mume anayempenda alafu anaanza kufichaficha suala la jamaa kudai mtoto. Bora angemwambia kuwa familia ya mtoto inamsumbua inataka mtoto jamaa angelizima faster Hilosuala.

Kuna jamaa alikutana na suala kama Hilo ambalo ni baya zaidi yaani mke wake alimdanganya kuwa ujauzito ni wakwake wa mtoto wa kwanza, asee baada ya mtoto kuzaliwa jamaa alishtuka lakini alitulia baada ya kuja kuzaliwa mtoto wa pili jamaa aliona watoto specie tofauti kabisa. Alichoamua ni kwamba olewake mtu aje aseme anadai mtoto atammaliza jumlajumla. Mpaka Leo kimyaaa.

Sasa dada alishindwaje kumwambia jamaa jambo dogo Hilo. Pia alishindwa kutii ushauri wawazazi wake wa kutokwenda ustawi wa jamii. Haya sasa kawa single mother marambili.
 
Anavuna matunda ya ukatili aliomfanyia huyo dada. MUNGU wakwetu site
 
Sahihi kabisa. Yaani angemshughulikia huyo jamaa mpaka aombe poo! Yaani kama Mimi ningesema mtoto ni wakwangu full stop. Alafu ningesema jamaa anaingilia ndoa yangu na nilikuwa namtafuta kitambo sana Kwa kuvuliga ndoa. Aloo! Angekiona Cha mtemakuni.
 
Sahihi kabisa. Yaani angemshughulikia huyo jamaa mpaka aombe poo! Yaani kama Mimi ningesema mtoto ni wakwangu full stop. Alafu ningesema jamaa anaingilia ndoa yangu na nilikuwa namtafuta kitambo sana Kwa kuvuliga ndoa. Aloo! Angekiona Cha mtemakuni.
Mtu mpaka anakubali kuingia gharama zakukulelea mtoto wako Kama wake means jamaa kashamchukulia kuwa ni sehemu ya maisha yake,na Kama mtoto ni wakike basi naamini Wana bond kubwa sana na huyo jamaa na anaumia pia

Single mother wasio na akili ndo wanasababisha wanawake wengine tutukanwe Kila uchwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…