Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Habari wana JF.

Nina ndugu yangu mmoja upande wa mama, yeye KE.

Miaka kama 10 hivi iliyopita alikuwa ba mahusiano na Jamaa mmoja hivi, walikaa mda tuu mpaka mahusiano yao yakazaa mtoto. Lkn baada ya kujifungua Jamaa alimkwepa sister.

Si unajua wanaume wa kukimbia watoto wapo. Jamaa akawa hata huduma hatoi wala nini, ila mtoto anamtaka kumuoa kuna wakati alikuwa anajitokeza hata baada ya 3 month mara 1 tuu kumuona mtoto hatoi chochote. Baadae katokomea kabisa.

Sasa sister angu huyu akakutana na jamaa mwingine kipindi mtoto wake alikuwa na umri wa miaka 3 kwenda min.

Jamaa hakuwa tayari kuwanae siunajua single mother wanaume hatupendi sana, ila sister alijaribu kumshawishi mpk kukubali. Na alimueleza kila kitu kuhusu Baba mtoto.

Jamaa akasema kwa vile Baba mtoto kasepa kapotea basi tutakuwa fresh, ila alitoa sharti hataki kuona Baba mtoto anajitokeza au mama anajipendekeza.

Wakafanikiwa kufunga ndoa.
Na kuchukua mtoto wakawa wanakaa nae ndogo alipofikisha miaka 6 akampeleka shule mzuri ya 2million per year akawa anasoma huko.

Sasa Baba mtoto aliposikia bibie kaolewa si akarudi bwana kuanza kutaka mtoto. Sister akagoma kabisa tena bila kumwambia mume wake . Na arirudi kipindi sister anawatoto wadogo mapacha aliyezaa ba mume wake.

Waliangaishana kama mwaka 1 hivi. Sister alikataa kabisa kumpa dogo.

Sasa kipindi mtoto kafikisha miaka 8. Jamaa si akaenda ustawi wa jamii kwa lengo la kuchukua mtoto, sister kweli aliitwa ustawi wa jamaii na alienda tena bila kumwambia mume wake. Yeye alieleza kwao na kwao waligoma na kumwambia asiende. Ila ustawi wa jamii walilazimisha na kumwambia Mtoto anahaki ya kumjua Baba yake halisi. Hio ni haki ya mtoto.

Sasa mume wake baada ya kujua hilo akachachamaa kabisa ukawa ni ugomvi sana kati ya yeye na mke wake.

Mume wake akaamini kuwa Sister alimficha au niseme alimdanganya jamaa kakimbia kumbe laa. Waligombana sana.

Sasa jamaa akafanikiwa mpaka kubadilisha jina mtoto la mwisho maana sister aliandika jina la kwao la mwisho la mtoto.

Jamaa akaweka jina la kwao. Na jina lake kwenye cheti cha kuzaliwa. Maana sehemu ya Baba ilikuwa empty nafikili.

Mume wake baada ya kuona hivyo akamwambia kuwa kuhusu kitu chochote cha mtoto wake asimwambie mpk ada. Na mtoto aende kwa Baba yake pale home kwake amtaki tena.

Sister akaona kwa vile anataka kuokoa ndoa yake ampeleke mtoto kwa Baba yake. Sasa ishu kule kwa jamaa , dogo alikuwa anasoma shule ya over 2 million per year. Jamaa wa kawaida tuu.

Kwa kifupi dogo baada ya kwenda kwa Baba mawasiliano yakazidi kupelekea mpk mume wake kuanza kugombana. Sister akasema yule mwenzie anamsumbua sana na anamfanya mtoto kama kung'ang'ania kumuona mama yake, mda wote. So anajikuta mda mwingi anakuwa anawasiliana upande mwingine.

Baada ya kuona drama ni nyingi mume alimtimua sister home kwake. Na walisumbuana kama 2 years kutaka kuachana.

Mume wake ni mtu mwenye wivu. Walitaka kusuruhisha kwa kumuita jamaa yule msumbufu ila jamaa aligoma kuja na wala mume wake alikataa kusikiliza suruhisho. Wiki mbili zilizopita waliachana baada ya purukushani kwa miaka 2.

Alikuwa single mother na kuingia kwenye ndoa na mwishowe kaeudi tena single mother. Dogo anasoma shule za kawaida tuu hizi japo ni private pia kule kashatoa shule ya bei kubwa.

Hivi ishu kama hii mnaisolve kivipi jamani, IKIJA KWENYE FAMILIA , KARIBUNI.
Huyo binti hana wazazi,kuna mzee mmoja binti yake alipewa mimba mwamba akakataa kuhudumia,mzee akaenda kwa familia ya jamaa ,still bado akatia ngumu.

Mzee akaona isiwe tabu akaanza kulea mjukuu,mpaka chuo mzee na bintiye wakawa wanasimamia gharama.

Yule jamaa sijui ikawaje si akataka kurudi huku kuomba msamaha kumchukua mtoto,akawakusanya na ndugu zake. Siku hiyo wanakuja wanamkuta mzee,basi akawambia ni subirini kaingia ndani katoka na panga, watu wote walipotea ndani ya sekunde.

Mpaka kesho yule jamaa anahangaika ampate bintiye ila ndio hivyo babu hataki kumsikia kabisa na kamwambia akimsogelea mjukuu wake kuna siku atamtoa uhai kwa njia yoyote ile.
 
I’m a single mama…kitu alichokwama mwenzetu ni kuruhusu mawasiliano ya yeye na mzazi mwenzie moja kwa moja.

kuna wakati hata sisi single moms tunazingua big time[emoji18][emoji18].kulingana na huu uzi..single mom ndie aliyeanza kumkaribisha shetani.unatolea wapi ujasiri wa kwenda ustawi wa jamii bila kwenda na mumeo?huo ni upumbavu mzito na hakuna mwanaume yeyote mwenye kupenda Amani ya moyo angevumilia[emoji174][emoji174]

Hivi unakuwaje na mume kabisa ambae amekukubali wewe na mtoto wako wote kuwalea halafu eti from nowhere ***** unakuja kuwasiliana na mzazi mwenzio just namna hiyo[emoji15]
Upo sahihi mkuu,hata mimi niliwaza hivyo,huyu dada ni mjinga sana,asingetakiwa awasiliane na mzazi mwenzie kabisa,na akiona anamsumbua angemblock kabisa.Amepata bahati lakini kashindwa kuitumia.

Kwa usawa huu single mom kupata mwanaume anayekupenda na apende na mtoto wako,Hadi amlipie ada ni bahati kubwa sana,ila Sasa aliyebahatika bado hajitambui.

Hakika vipele humpata asiye na kucha
 
SIngle mama ukitaka kuolewa uchague kukabidhi mtoto kwa baba yake, ama kukata mawasiliano kabisa na baba mtoto na ndugu zake, kiufupi asijue ulipo.

Ila mimi pangechimbika aisee...mtoto asingempata, hata kama huyo mume angeniacha lkn ningebaki na mtoto wangu katika hali yoyote ile.
Hutaki utani kabisa mkuu[emoji1]
 
Habari wana JF.

Nina ndugu yangu mmoja upande wa mama, yeye KE.

Miaka kama 10 hivi iliyopita alikuwa ba mahusiano na Jamaa mmoja hivi, walikaa mda tuu mpaka mahusiano yao yakazaa mtoto. Lkn baada ya kujifungua Jamaa alimkwepa sister.

Si unajua wanaume wa kukimbia watoto wapo. Jamaa akawa hata huduma hatoi wala nini, ila mtoto anamtaka kumuoa kuna wakati alikuwa anajitokeza hata baada ya 3 month mara 1 tuu kumuona mtoto hatoi chochote. Baadae katokomea kabisa.

Sasa sister angu huyu akakutana na jamaa mwingine kipindi mtoto wake alikuwa na umri wa miaka 3 kwenda min.

Jamaa hakuwa tayari kuwanae siunajua single mother wanaume hatupendi sana, ila sister alijaribu kumshawishi mpk kukubali. Na alimueleza kila kitu kuhusu Baba mtoto.

Jamaa akasema kwa vile Baba mtoto kasepa kapotea basi tutakuwa fresh, ila alitoa sharti hataki kuona Baba mtoto anajitokeza au mama anajipendekeza.

Wakafanikiwa kufunga ndoa.
Na kuchukua mtoto wakawa wanakaa nae ndogo alipofikisha miaka 6 akampeleka shule mzuri ya 2million per year akawa anasoma huko.

Sasa Baba mtoto aliposikia bibie kaolewa si akarudi bwana kuanza kutaka mtoto. Sister akagoma kabisa tena bila kumwambia mume wake . Na arirudi kipindi sister anawatoto wadogo mapacha aliyezaa ba mume wake.

Waliangaishana kama mwaka 1 hivi. Sister alikataa kabisa kumpa dogo.

Sasa kipindi mtoto kafikisha miaka 8. Jamaa si akaenda ustawi wa jamii kwa lengo la kuchukua mtoto, sister kweli aliitwa ustawi wa jamaii na alienda tena bila kumwambia mume wake. Yeye alieleza kwao na kwao waligoma na kumwambia asiende. Ila ustawi wa jamii walilazimisha na kumwambia Mtoto anahaki ya kumjua Baba yake halisi. Hio ni haki ya mtoto.

Sasa mume wake baada ya kujua hilo akachachamaa kabisa ukawa ni ugomvi sana kati ya yeye na mke wake.

Mume wake akaamini kuwa Sister alimficha au niseme alimdanganya jamaa kakimbia kumbe laa. Waligombana sana.

Sasa jamaa akafanikiwa mpaka kubadilisha jina mtoto la mwisho maana sister aliandika jina la kwao la mwisho la mtoto.

Jamaa akaweka jina la kwao. Na jina lake kwenye cheti cha kuzaliwa. Maana sehemu ya Baba ilikuwa empty nafikili.

Mume wake baada ya kuona hivyo akamwambia kuwa kuhusu kitu chochote cha mtoto wake asimwambie mpk ada. Na mtoto aende kwa Baba yake pale home kwake amtaki tena.

Sister akaona kwa vile anataka kuokoa ndoa yake ampeleke mtoto kwa Baba yake. Sasa ishu kule kwa jamaa , dogo alikuwa anasoma shule ya over 2 million per year. Jamaa wa kawaida tuu.

Kwa kifupi dogo baada ya kwenda kwa Baba mawasiliano yakazidi kupelekea mpk mume wake kuanza kugombana. Sister akasema yule mwenzie anamsumbua sana na anamfanya mtoto kama kung'ang'ania kumuona mama yake, mda wote. So anajikuta mda mwingi anakuwa anawasiliana upande mwingine.

Baada ya kuona drama ni nyingi mume alimtimua sister home kwake. Na walisumbuana kama 2 years kutaka kuachana.

Mume wake ni mtu mwenye wivu. Walitaka kusuruhisha kwa kumuita jamaa yule msumbufu ila jamaa aligoma kuja na wala mume wake alikataa kusikiliza suruhisho. Wiki mbili zilizopita waliachana baada ya purukushani kwa miaka 2.

Alikuwa single mother na kuingia kwenye ndoa na mwishowe kaeudi tena single mother. Dogo anasoma shule za kawaida tuu hizi japo ni private pia kule kashatoa shule ya bei kubwa.

Hivi ishu kama hii mnaisolve kivipi jamani, IKIJA KWENYE FAMILIA , KARIBUNI.
Kuna kitu zaidi ya hicho sister yenu anawaficha na shemeji yenu kaamua kutofunguka.
 
Mtu mpaka anakubali kuingia gharama zakukulelea mtoto wako Kama wake means jamaa kashamchukulia kuwa ni sehemu ya maisha yake,na Kama mtoto ni wakike basi naamini Wana bond kubwa sana na huyo jamaa na anaumia pia

Single mother wasio na akili ndo wanasababisha wanawake wengine tutukanwe Kila uchwao
Kweli kabisa,wanatuharibia sana,tunaonekana wapuuzi kama wao
 
Good
Na unaweza jitunza vzr tu ukaolewa ukazaa na mume akazingua pia na ukaishia kuwa single mother
(Speaking with experience) nikuomba mungu tu my dear
Kuna watu wanafikiri kuzaa wakiwa ndoani ndo hawezi kuwa single mom,no,kuna watu wameishi kwenye ndoa zaidi ya miaka 10 llkn kibao kikageuka wakawa single mom faster,hii Hali haitabiriki ni Mungu tu
 
Hutaki utani kabisa mkuu[emoji1]
Wababa wenye vurugu za hivyo mara nyingi hawajitambui yaani wanafanya yote hayo ili tu kumuumiza mama mtoto na si kingine. Hata kwenye malezi ni zero kabisa.

Kama baba anajitambua na ninaamini mtoto atalelewa vzr naweza namkabidhi kabla sijaolewa.

Otherwise patachimbika hadi mahakamani.
 
Kuna watu wanafikiri kuzaa wakiwa ndoani ndo hawezi kuwa single mom,no,kuna watu wameishi kwenye ndoa zaidi ya miaka 10 llkn kibao kikageuka wakawa single mom faster,hii Hali haitabiriki ni Mungu tu
Naam, na Wala kuwa single mother sio ulemavu,sio dhambi, na sio mzigo
 
Vijana mkiambiwa msioe single mazafanta mpak muone Kaburi wabishi sana😅
 
Habari wana JF.

Nina ndugu yangu mmoja upande wa mama, yeye KE.

Miaka kama 10 hivi iliyopita alikuwa ba mahusiano na Jamaa mmoja hivi, walikaa mda tuu mpaka mahusiano yao yakazaa mtoto. Lkn baada ya kujifungua Jamaa alimkwepa sister.

Si unajua wanaume wa kukimbia watoto wapo. Jamaa akawa hata huduma hatoi wala nini, ila mtoto anamtaka kumuoa kuna wakati alikuwa anajitokeza hata baada ya 3 month mara 1 tuu kumuona mtoto hatoi chochote. Baadae katokomea kabisa.

Sasa sister angu huyu akakutana na jamaa mwingine kipindi mtoto wake alikuwa na umri wa miaka 3 kwenda min.

Jamaa hakuwa tayari kuwanae siunajua single mother wanaume hatupendi sana, ila sister alijaribu kumshawishi mpk kukubali. Na alimueleza kila kitu kuhusu Baba mtoto.

Jamaa akasema kwa vile Baba mtoto kasepa kapotea basi tutakuwa fresh, ila alitoa sharti hataki kuona Baba mtoto anajitokeza au mama anajipendekeza.

Wakafanikiwa kufunga ndoa.
Na kuchukua mtoto wakawa wanakaa nae ndogo alipofikisha miaka 6 akampeleka shule mzuri ya 2million per year akawa anasoma huko.

Sasa Baba mtoto aliposikia bibie kaolewa si akarudi bwana kuanza kutaka mtoto. Sister akagoma kabisa tena bila kumwambia mume wake . Na arirudi kipindi sister anawatoto wadogo mapacha aliyezaa ba mume wake.

Waliangaishana kama mwaka 1 hivi. Sister alikataa kabisa kumpa dogo.

Sasa kipindi mtoto kafikisha miaka 8. Jamaa si akaenda ustawi wa jamii kwa lengo la kuchukua mtoto, sister kweli aliitwa ustawi wa jamaii na alienda tena bila kumwambia mume wake. Yeye alieleza kwao na kwao waligoma na kumwambia asiende. Ila ustawi wa jamii walilazimisha na kumwambia Mtoto anahaki ya kumjua Baba yake halisi. Hio ni haki ya mtoto.

Sasa mume wake baada ya kujua hilo akachachamaa kabisa ukawa ni ugomvi sana kati ya yeye na mke wake.

Mume wake akaamini kuwa Sister alimficha au niseme alimdanganya jamaa kakimbia kumbe laa. Waligombana sana.

Sasa jamaa akafanikiwa mpaka kubadilisha jina mtoto la mwisho maana sister aliandika jina la kwao la mwisho la mtoto.

Jamaa akaweka jina la kwao. Na jina lake kwenye cheti cha kuzaliwa. Maana sehemu ya Baba ilikuwa empty nafikili.

Mume wake baada ya kuona hivyo akamwambia kuwa kuhusu kitu chochote cha mtoto wake asimwambie mpk ada. Na mtoto aende kwa Baba yake pale home kwake amtaki tena.

Sister akaona kwa vile anataka kuokoa ndoa yake ampeleke mtoto kwa Baba yake. Sasa ishu kule kwa jamaa , dogo alikuwa anasoma shule ya over 2 million per year. Jamaa wa kawaida tuu.

Kwa kifupi dogo baada ya kwenda kwa Baba mawasiliano yakazidi kupelekea mpk mume wake kuanza kugombana. Sister akasema yule mwenzie anamsumbua sana na anamfanya mtoto kama kung'ang'ania kumuona mama yake, mda wote. So anajikuta mda mwingi anakuwa anawasiliana upande mwingine.

Baada ya kuona drama ni nyingi mume alimtimua sister home kwake. Na walisumbuana kama 2 years kutaka kuachana.

Mume wake ni mtu mwenye wivu. Walitaka kusuruhisha kwa kumuita jamaa yule msumbufu ila jamaa aligoma kuja na wala mume wake alikataa kusikiliza suruhisho. Wiki mbili zilizopita waliachana baada ya purukushani kwa miaka 2.

Alikuwa single mother na kuingia kwenye ndoa na mwishowe kaeudi tena single mother. Dogo anasoma shule za kawaida tuu hizi japo ni private pia kule kashatoa shule ya bei kubwa.

Hivi ishu kama hii mnaisolve kivipi jamani, IKIJA KWENYE FAMILIA , KARIBUNI.
Duuh asee kuwa uyaone sina cha kunshauri ......ila nimeumia sana jamaa kazingua asee na kumletea mwenziwe balaaaa
 
Aaa mimi kuna rafiki yake Dada mmoja alikuwa na jamaa mmoja hivi baadae si akabeba ujauzito jamaa akakimbia.
Alipojifungua akajifungua watoto mapacha 2 tena wakike tupu.

Yule Dada aliangaika nae ustawi wa jamii kudai child support, jamaa alikuwa kaajiriwa serikalini.
Mwishowe jamaa alionga maafisa ustawi wa jamii. Na kukana watoto si wake kule kule ustawi wa jamii.

Watu wakamwambia wa ustawi wa jamii kuwa jamaa kaonga pesa hutashida.
Yule dada anaondoka zake. Mama yake alifaliki siku nyingi tuu.
Baba yake akamwambia kuwa utakaa hapa hapa home kwa sasa nagalia jinsi ya kuwalea watoto wako.

Yule dada alipata shida mpk akawa yupo stable kipesa. Kwa sasa watoto wanaumri wa miaka 6 anawasomesha shule mzuri tuu ya over 1miilion per year. Anaishi kigamboni.

Alimtembelea sister angu siku moja alimpelekea zawadi kibao.

Jamaa nasikia kuna kipindi alikuwa anamtafuta wayamalize , alikuwa anaomba msamaha kwa baby mama. Ila kagoma kabisa na alimblock.

Nafikili jamaa huyu itakuwa ngumu kwenda tena ustawi wa jamii, maana alikana kule kule watoto. Sasa naona itakuwa ngumu kwake.
Nafikili anaumia sana moyoni jamaa.
Muda ni kipimo sahihi.......
 
Huyo binti hana wazazi,kuna mzee mmoja binti yake alipewa mimba mwamba akakataa kuhudumia,mzee akaenda kwa familia ya jamaa ,still bado akatia ngumu.

Mzee akaona isiwe tabu akaanza kulea mjukuu,mpaka chuo mzee na bintiye wakawa wanasimamia gharama.

Yule jamaa sijui ikawaje si akataka kurudi huku kuomba msamaha kumchukua mtoto,akawakusanya na ndugu zake. Siku hiyo wanakuja wanamkuta mzee,basi akawambia ni subirini kaingia ndani katoka na panga, watu wote walipotea ndani ya sekunde.

Mpaka kesho yule jamaa anahangaika ampate bintiye ila ndio hivyo babu hataki kumsikia kabisa na kamwambia akimsogelea mjukuu wake kuna siku atamtoa uhai kwa njia yoyote ile.
Kuna jamaa mmoja namjua kazaa na binti anatokea familia nzuri tu na ubaya mtoto katoka copy yake kabisa ila kamkataa..

Kupitia hii story yako naona kabisa akipitia hii shida maana ile familia walivyo watata ni kama wamemkalia kimya. Pia wanamsomeshea mtoto wake bila kumsumbua kabsaa na mbaya zaidu wazazi wake wamemsihi mara nyingi waende kujitambulisha kwa maana walikuwa wanawasiliana na huyo binti na picha wanazo so, hawana mashaka kuhusu damu yao ila jamaa anakaza kwa kiburi cha ujana na pengine nahisi anaepuka kulazimishwa ndoa na wakati hana mpango

Hii story naona ikijirudia kwake 😁😁
 
Kosa la kwanza alilofanya dada yako ni kutomshirikisha mume wake kuanzia mwanzo Hilo ni kosa kubwa Sana alilofanya angemshirikisha tangu awali jamaa angejua apambane vipi kiume na Kama jamaa yupo vzr kiuchumi angempeleka hata nje ya TZ mtoto akaishi

Anyway pole yake
Mwanaume ni kichwa Cha familia
Ikiwa ataona hiyo hadhi haipati basi huishia kufanya maamuzi magumu
 
Back
Top Bottom