Nahman
JF-Expert Member
- Oct 4, 2023
- 599
- 1,749
Umeongea easy sanaMi ndiyO Sitaki MazoEa KabIsa
Ila kuna mazingira YATAKUBANA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea easy sanaMi ndiyO Sitaki MazoEa KabIsa
Sawa ndugu Muiraq wazima hapo mbulu pande za kainam au endabash au hayamoe tlawi endasaki bashinet dareda na kote hukoAkishazalishwa halafu wewe ukaoa,
issue kama ya sister wako haikwepeki.
Kwa wengine hupelekea mauaji kabisa kunusuru ndoa ambayo mtu alishakata tamaa ya kuolewa.
Huyo jamaa msumbufu mwenye mtoto alikutana na single mother mpole na soft,
kwingine angepotezwa kabisa
nipo Baghdad nimetokea Mosul one time muda si mrefuSawa ndugu Muiraq wazima hapo mbulu pande za kainam au endabash au hayamoe tlawi endasaki bashinet dareda na kote huko
Hii sentensi imenifanya nitafakari sana, single mamas at some point wanapitia wakat mgumu sanaMie kiukweli hata sauti yaKee sitaki hata kuisikia
Dah kaka mambo hayoNjoo P.M nikupe namba ya shombeshombe la mjini ukalilambe asali. Hilo shombe ni line mbili, siku ile kwenye ule uzi uliomba namba nikawa busy kidogo
Hapo kwenye sumu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio muache kuwapopoa mawe single mothers humu, wanaume baadhi wana tabia ngumu mno!
Hiyo story hadi huruma. Jamaa alimuharibia mwanzo, akamuharibia tena! Mtu kama huyo ukipata chance unamlisha sumu tu akafie mbele!
Utasikia happy birthday baba mtoto wangu, Mungu akutunze wewe ndo ulinifanya niitwe mama kwa mara ya kwanza.
Single mother mna mambo [emoji3]
Vipi upo Interested ndugu Scolari?!Dah kaka mambo hayo
SanaaaaVipi upo Interested ndugu Scolari?!
Zama P.MSanaaaa
Utakaza na baada ya miaka mingi dogo anafanya harakati za kumtatuta Baba yake na wanatengeneza bond nzuri tu, sasa sijui utakunywa simu ufe..Mbona kuna jamii ni Maternal wanatumia majina ya mama zao au mjomba.??
Mimi mtu asiyelea mtoto, Hakuna haja ya mwanangu kutumia jina lake..Mambo yasiwe mengi!!!!
Ni Roho mbaya tu ya badhi ya wanaume, wewe unatelekeza damu yako wakati una uwezo wa kumlea mtoto.Unamwachia mzigo wote mama yake tu?
Walahi mi simuachi, ukute dada wa watu alipambana kimya kimya akijua atamshinda aendelee na ndoa yake.Hapo kwenye sumu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HAPO ndio najutaga kwanini sikua mtawaGood
Na unaweza jitunza vzr tu ukaolewa ukazaa na mume akazingua pia na ukaishia kuwa single mother
(Speaking with experience) nikuomba mungu tu my dear
ohooNizalie mimi kamoja ka uzeeni nikurithishe hekalu chamanzi na mwanetu 🥺🤔
😀😀😀ohoo
tukaandikishiane kwanza!
pia tulete watu wa dini wakague io kasri kama hufugi majini