Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Sisemi single mother wabaya sometimes wanakuwaga wamekomaa kiakili ila haya matatizo ni wanayatengeneza sana huyu kazingua mwenyewe hata kama ni mimi tupa kuleee

Issue fupi tu si ulishaachana nae, akitaka kumuona mtoto awasiliane na mimi nimpe muda wa kuja kwangu ,
 
Cha msingi ni kuwa na mkakati unahakikisha 💯 mumeo ndie awasiliane na mwanaume mwenzie kwa swala la mtoto ful stop
Exactly otherwise unarudi ulikotoka
Kuna mijitu hufanya makusudi pengine mlishaachana hivyo anafanya makusudi akuharibie ulipofika Yani hata bado unateseka yeye anaona una amani
 
Ukute ulikua ww alafu hutwambii🤣
 
Sijawahi fIcha kinihusucho Kwa mwenzangu aisee
Kuna wenzenu u-single mom wanautaka kwa nguvu yaani kwa kulazimisha.
Unamuangalia binti wa watu, unamuonea huruma na unamtengenezea mazingira 100% kwa ajili yake lkn hataki.
Yeye anachoamua ndicho kiwe. Sasa mtu kama huyo akiolewa ndiyo si anakuwa mwiba kabisa.
Mtoto ni wa baba (mwanaume) ila yeye amebeba jukumu la mwanaume kwa lazima na mama yake.
Inatia hasira sana
 
Yaani unawasiliana na baba mtoto bila kumshirikisha mumeo na unajua msimamo wake juu ya mawasiliano na baba mtoto apo ndio tatizo linapoanzia inaonekana dada bado alikua anampenda baba mtoto na sio mumewe iyo ni dharau mbaya na ndipo usingle mama unapoonekana jau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…