Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Kweli kabisa mkuu mimi nina experience na hawa single mothers.
Single mother karibia wote ni kama akili zao zinafanana hasa kuwasiliana na baba watto wao hili nimegundua haliepukiki
Kama una roho ndogo unaweza kuua mtu.
Single mother hapana kwa kweli ni wadhaifu mno kwa waume waliowazalisha kabla.

Wanaosema kuoa single mother huku aliyezaa nae yuko hai awe ana kitu au hana amini yule ni mume wake wewe ndio uko na mke wa mtu!
Haya maneno mimi nilikuwa najua tu ni maeneo ya walimwengu ingia kwenye mahusiano na hawa watu utafurahi kati ya 100 ni wawili au hamna kabisa ambaye hawasiliani na baba mtoto wake.
 
Poleni sana, ndio ukubwa huo.

JobTrueTrue
 
Umekula single mother mmoja ilaa unajikuta unawajua wote 🀣🀣🀣dah hii nchi ni nzito snaaa
 
Hii ni kweli kabisa niliwahi kuwa na single mother mmoja before alinieleza maovu ya baba mtoto wake nikaamua kumfanyanya mpenzi...tumeenda muda akawa mtto wake huko kijijini anaumwa nikamuuliza baba yake vipi anataarifa alichinijibu nilichoka alinijibu kuwa sahivi kwa upole (huku akitaja jina lake) mambo yake ni magumu tumwache.
 
Jamani jamni tunawaambia vijana utamu wa mbususu za masingle maza muwe nazo makini usije ukajidanganya kuoa na kuanza kulea bao la mwanaume mwenzio. Utakuja kulia tuu. Hamna jema litokanalo na kuoa single maza amabaye bby daddy yupo hai
 
Umekula single mother mmoja ilaa unajikuta unawajua wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah hii nchi ni nzito snaaa
Nimewala 8 hii ni sample tosha kwenye reseach. Uthibitisho mwingine soma comments zilizoko hapa zinasadifu uhalisia wa watu hawa mtaani tunakoishi.
sijaona mahali mwanaume kujisifu kuwa na single mother anainjoi ndoa yake.
 
Nimewala 8 hii ni sample tosha kwenye reseach. Uthibitisho mwingine soma comments zilizoko hapa zinasadifu uhalisia wa watu hawa mtaani tunakoishi.
sijaona mahali mwanaume kujisifu kuwa na single mother anainjoi ndoa yake.
Umekula single mother ambao wanakili kama vibungoo maana Kuna watu tumelelewa na hao hao single mothers piaa 🀣🀣
 
Jamani jamni tunawaambia vijana utamu wa mbususu za masingle maza muwe nazo makini usije ukajidanganya kuoa na kuanza kulea bao la mwanaume mwenzio. Utakuja kulia tuu. Hamna jema litokanalo na kuoa single maza amabaye bby daddy yupo hai
🀣🀣🀣🀣🀣Wanaume watabaki kuitwa wanaume ila ikikukuta kwetu utaelewa huu msemoo vzuri kbsaa 🀣🀣🀣🀣
 
🀣🀣🀣🀣🀣Wanaume watabaki kuitwa wanaume ila ikikukuta kwetu utaelewa huu msemoo vzuri kbsaa 🀣🀣🀣🀣
Ah wee single maza mbususu zao tamu na wanajali hao balaaa
 
Every wife is a cheating whore until proven otherwise. So kuchapiwa hakuepukiki kamwe. Plus, sharing is caring
Sharing is caring eeeeh jidanganye alfu ukute wamemchapaa Kama hyo mjulusi utasimama ongea tu ilaa kuliwa mke siyo mchezo
 
Sharing is caring eeeeh jidanganye alfu ukute wamemchapaa Kama hyo mjulusi utasimama ongea tu ilaa kuliwa mke siyo mchezo
Mwanamke umemkuta breki pumbu alfu unakuwa na unrealistic expectation kuwa utagegeda weye peke
 
Dada Yako alikosea kutomhusisha mine wake tangu mwanzo!

Angemwambia ukweli tu kwamba jamaa anasumbua kuhusu mtoto!!

Jamaa angemuelewa na mtoto angeenda Kwa jamaa bila hata ustawi was jamii kuhusishwa!!

Dada Yako alikosea sana!wanaume hatupendi kabisa behind the scenes za wake zetu!!

Hata mimi ningemtimua!!

Ishu ya mama kwenda kumuona mtoto angekua anaomba mumewe amsindikize na kama mimi namsindikiza kabisa Wala sioni Soo!!yeye huyo jamaa ndio angeumia huyo mwenye mtoto na sio alieoa kama angejiamini na kumsindikiza mke kumcheki mtoto!na Kwa mkwara natoa na Hela ya ice cream au maandazi shuleni hapo bila kinyongo!

Mbinu za kibabe hizo!!
 
Alitakiwa amshirikishe mumewe Kila kitu na angempa mumuwe awe anawasiliana na huyo mzazi mwenziye ili kuweka heshima kwa mumewe SASa mwanakuyataka ndo mwanakuyapataa dah πŸ₯ΊπŸ₯Ί
 
Sasa kweli mwanamke ni kiumbe cha kupenda kweli??!! Mwanamke ni kuoenda mbususu yake tuuu maana wao wanapenda hela zetu tuu.
Nimeelewa unaongelea wanawake wa aina gani kumbe cyo mke unaongea kuhusu slay queen πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…