Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Kabla ya kumuoa Single Mama hakikisha unaona Death Certificate ya baba mtoto wake. Kinyume na hapo ni sawa na kufuga Chatu. Ipo siku tu atakugeukia. Kinachonitia hasira ni kuwa single mama wengi mwanzoni huwa na nyodo na kuona hao wanaume zao kama miungu ila wakiachwa hutia huruma na kujifanya wacha Mungu. Na kamwe huwa hawaachani kwa 100% na watu waliowazalisha. Huyo dada yako alivyoanza mawasiliano ya siri na huyo baba mtoto wake kuna mengine yaliendelea ila hujataja. Ninamwonea huruma sana huyo mume wake kwa kupotezewa muda na huyo dada yako mpuuzi. SAY NO TO ALL SINGLE MOTHERS. Waolewe na waliowazalisha.
Kweli kabisa mkuu mimi nina experience na hawa single mothers.
Single mother karibia wote ni kama akili zao zinafanana hasa kuwasiliana na baba watto wao hili nimegundua haliepukiki
Kama una roho ndogo unaweza kuua mtu.
Single mother hapana kwa kweli ni wadhaifu mno kwa waume waliowazalisha kabla.

Wanaosema kuoa single mother huku aliyezaa nae yuko hai awe ana kitu au hana amini yule ni mume wake wewe ndio uko na mke wa mtu!
Haya maneno mimi nilikuwa najua tu ni maeneo ya walimwengu ingia kwenye mahusiano na hawa watu utafurahi kati ya 100 ni wawili au hamna kabisa ambaye hawasiliani na baba mtoto wake.
 
Mtu mpaka anakubali kuingia gharama zakukulelea mtoto wako Kama wake means jamaa kashamchukulia kuwa ni sehemu ya maisha yake,na Kama mtoto ni wakike basi naamini Wana bond kubwa sana na huyo jamaa na anaumia pia

Single mother wasio na akili ndo wanasababisha wanawake wengine tutukanwe Kila uchwao
Poleni sana, ndio ukubwa huo.

JobTrueTrue
 
Kweli kabisa mkuu mimi nina experience na hawa single mothers.
Single mother karibia wote ni kama akili zao zinafanana hasa kuwasiliana na baba watto wao hili nimegundua haliepukiki
Kama una roho ndogo unaweza kuua mtu.
Single mother hapana kwa kweli ni wadhaifu mno kwa waume waliowazalisha kabla.

Wanaosema kuoa single mother huku aliyezaa nae yuko hai awe ana kitu au hana amini yule ni mume wake wewe ndio uko na mke wa mtu!
Haya maneno mimi nilikuwa najua tu ni maeneo ya walimwengu ingia kwenye mahusiano na hawa watu utafurahi kati ya 100 ni wawili au hamna kabisa ambaye hawasiliani na baba mtoto wake.
Umekula single mother mmoja ilaa unajikuta unawajua wote 🤣🤣🤣dah hii nchi ni nzito snaaa
 
.... kwanza kaa ukijua single mothers wote ( kasoro wajane tu) ni janga la kitaifa kwa wanaume. Hata kama baba mtoto alipata uchizi na yupo Milembe Dodoma, Muweke ndani nyumba nzuri kila kitu muwekee na mapenzi juu ya kitamthiliya na kitandani unapiga mkia vizuri bado atafurukuta hadi siku moja akamuone walau ampe hata busu tu.! wape dhamana kwa your own risk.!!!!
Hii ni kweli kabisa niliwahi kuwa na single mother mmoja before alinieleza maovu ya baba mtoto wake nikaamua kumfanyanya mpenzi...tumeenda muda akawa mtto wake huko kijijini anaumwa nikamuuliza baba yake vipi anataarifa alichinijibu nilichoka alinijibu kuwa sahivi kwa upole (huku akitaja jina lake) mambo yake ni magumu tumwache.
 
Jamani jamni tunawaambia vijana utamu wa mbususu za masingle maza muwe nazo makini usije ukajidanganya kuoa na kuanza kulea bao la mwanaume mwenzio. Utakuja kulia tuu. Hamna jema litokanalo na kuoa single maza amabaye bby daddy yupo hai
 
Umekula single mother mmoja ilaa unajikuta unawajua wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah hii nchi ni nzito snaaa
Nimewala 8 hii ni sample tosha kwenye reseach. Uthibitisho mwingine soma comments zilizoko hapa zinasadifu uhalisia wa watu hawa mtaani tunakoishi.
sijaona mahali mwanaume kujisifu kuwa na single mother anainjoi ndoa yake.
 
Nimewala 8 hii ni sample tosha kwenye reseach. Uthibitisho mwingine soma comments zilizoko hapa zinasadifu uhalisia wa watu hawa mtaani tunakoishi.
sijaona mahali mwanaume kujisifu kuwa na single mother anainjoi ndoa yake.
Umekula single mother ambao wanakili kama vibungoo maana Kuna watu tumelelewa na hao hao single mothers piaa 🤣🤣
 
Jamani jamni tunawaambia vijana utamu wa mbususu za masingle maza muwe nazo makini usije ukajidanganya kuoa na kuanza kulea bao la mwanaume mwenzio. Utakuja kulia tuu. Hamna jema litokanalo na kuoa single maza amabaye bby daddy yupo hai
🤣🤣🤣🤣🤣Wanaume watabaki kuitwa wanaume ila ikikukuta kwetu utaelewa huu msemoo vzuri kbsaa 🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣Wanaume watabaki kuitwa wanaume ila ikikukuta kwetu utaelewa huu msemoo vzuri kbsaa 🤣🤣🤣🤣
Ah wee single maza mbususu zao tamu na wanajali hao balaaa
 
Every wife is a cheating whore until proven otherwise. So kuchapiwa hakuepukiki kamwe. Plus, sharing is caring
Sharing is caring eeeeh jidanganye alfu ukute wamemchapaa Kama hyo mjulusi utasimama ongea tu ilaa kuliwa mke siyo mchezo
 
Sharing is caring eeeeh jidanganye alfu ukute wamemchapaa Kama hyo mjulusi utasimama ongea tu ilaa kuliwa mke siyo mchezo
Mwanamke umemkuta breki pumbu alfu unakuwa na unrealistic expectation kuwa utagegeda weye peke
 
Habari wana JF.

Nina ndugu yangu mmoja upande wa mama, yeye KE.

Miaka kama 10 hivi iliyopita alikuwa na mahusiano na Jamaa mmoja hivi, walikaa muda tuu mpaka mahusiano yao yakazaa mtoto. Lakini baada ya kujifungua Jamaa alimkwepa sister.

Si unajua wanaume kwa kukimbia watoto wapo. Jamaa akawa hata huduma hatoi wala nini, ila mtoto anamtaka kumuona, kuna wakati alikuwa anajitokeza hata baada ya 3 month mara 1 tuu kumuona mtoto hatoi chochote. Baadae katokomea kabisa.

Sasa sister angu huyu akakutana na jamaa mwingine kipindi mtoto wake alikuwa na umri wa miaka 3 kwenda minne.

Jamaa hakuwa tayari kuwa nae si unajua single mother wanaume hatupendi sana, ila sister alijaribu kumshawishi mpaka kukubali. Na alimueleza kila kitu kuhusu Baba mtoto.

Jamaa akasema kwa vile Baba mtoto kasepa kapotea basi tutakuwa fresh, ila alitoa sharti hataki kuona Baba mtoto anajitokeza au mama anajipendekeza.

Wakafanikiwa kufunga ndoa.
Na kuchukua mtoto wakawa wanakaa nae dogo alipofikisha miaka 6 akampeleka shule nzuri ya 2 million per year akawa anasoma huko.

Sasa Baba mtoto aliposikia bibie kaolewa si akarudi bwana kuanza kutaka mtoto. Sister akagoma kabisa tena bila kumwambia mume wake. Na alirudi kipindi sister ana watoto wadogo mapacha aliyezaa na mume wake.

Waliangaishana kama mwaka 1 hivi. Sister alikataa kabisa kumpa dogo.

Sasa kipindi mtoto kafikisha miaka 8. Jamaa si akaenda ustawi wa jamii kwa lengo la kuchukua mtoto, sister kweli aliitwa ustawi wa jamaii na alienda tena bila kumwambia mume wake. Yeye alieleza kwao na kwao waligoma na kumwambia asiende. Ila ustawi wa jamii walilazimisha na kumwambia Mtoto ana haki ya kumjua Baba yake halisi. Hio ni haki ya mtoto.

Sasa mume wake baada ya kujua hilo akachachamaa kabisa ukawa ni ugomvi sana kati ya yeye na mke wake.

Mume wake akaamini kuwa Sister alimficha au niseme alimdanganya jamaa kakimbia kumbe laa. Waligombana sana.

Sasa jamaa akafanikiwa mpaka kubadilisha jina mtoto la mwisho maana sister aliandika jina la kwao la mwisho la mtoto.

Jamaa akaweka jina la kwao. Na jina lake kwenye cheti cha kuzaliwa. Maana sehemu ya Baba ilikuwa empty nafikiri.

Mume wake baada ya kuona hivyo akamwambia kuwa kuhusu kitu chochote cha mtoto wake asimwambie mpk ada. Na mtoto aende kwa Baba yake pale home kwake amtaki tena.

Sister akaona kwa vile anataka kuokoa ndoa yake ampeleke mtoto kwa Baba yake. Sasa ishu kule kwa jamaa , dogo alikuwa anasoma shule ya over 2 million per year. Jamaa wa kawaida tuu.

Kwa kifupi dogo baada ya kwenda kwa Baba mawasiliano yakazidi kupelekea mpk mume wake kuanza kugombana. Sister akasema yule mwenzie anamsumbua sana na anamfanya mtoto kama kung'ang'ania kumuona mama yake, muda wote. So anajikuta muda mwingi anakuwa anawasiliana upande mwingine.

Baada ya kuona drama ni nyingi mume alimtimua sister home kwake. Na walisumbuana kama 2 years kutaka kuachana.

Mume wake ni mtu mwenye wivu. Walitaka kusuluhisha kwa kumuita jamaa yule msumbufu ila jamaa aligoma kuja na wala mume wake alikataa kusikiliza suluhisho. Wiki mbili zilizopita waliachana baada ya purukushani kwa miaka 2.

Alikuwa single mother na kuingia kwenye ndoa na mwishowe karudi tena single mother. Dogo anasoma shule za kawaida tuu hizi japo ni private pia kule kashatoka shule ya bei kubwa.

Hivi ishu kama hii mnaisolve kivipi jamani, IKIJA KWENYE FAMILIA, KARIBUNI.
Dada Yako alikosea kutomhusisha mine wake tangu mwanzo!

Angemwambia ukweli tu kwamba jamaa anasumbua kuhusu mtoto!!

Jamaa angemuelewa na mtoto angeenda Kwa jamaa bila hata ustawi was jamii kuhusishwa!!

Dada Yako alikosea sana!wanaume hatupendi kabisa behind the scenes za wake zetu!!

Hata mimi ningemtimua!!

Ishu ya mama kwenda kumuona mtoto angekua anaomba mumewe amsindikize na kama mimi namsindikiza kabisa Wala sioni Soo!!yeye huyo jamaa ndio angeumia huyo mwenye mtoto na sio alieoa kama angejiamini na kumsindikiza mke kumcheki mtoto!na Kwa mkwara natoa na Hela ya ice cream au maandazi shuleni hapo bila kinyongo!

Mbinu za kibabe hizo!!
 
Habari wana JF.

Nina ndugu yangu mmoja upande wa mama, yeye KE.

Miaka kama 10 hivi iliyopita alikuwa na mahusiano na Jamaa mmoja hivi, walikaa muda tuu mpaka mahusiano yao yakazaa mtoto. Lakini baada ya kujifungua Jamaa alimkwepa sister.

Si unajua wanaume kwa kukimbia watoto wapo. Jamaa akawa hata huduma hatoi wala nini, ila mtoto anamtaka kumuona, kuna wakati alikuwa anajitokeza hata baada ya 3 month mara 1 tuu kumuona mtoto hatoi chochote. Baadae katokomea kabisa.

Sasa sister angu huyu akakutana na jamaa mwingine kipindi mtoto wake alikuwa na umri wa miaka 3 kwenda minne.

Jamaa hakuwa tayari kuwa nae si unajua single mother wanaume hatupendi sana, ila sister alijaribu kumshawishi mpaka kukubali. Na alimueleza kila kitu kuhusu Baba mtoto.

Jamaa akasema kwa vile Baba mtoto kasepa kapotea basi tutakuwa fresh, ila alitoa sharti hataki kuona Baba mtoto anajitokeza au mama anajipendekeza.

Wakafanikiwa kufunga ndoa.
Na kuchukua mtoto wakawa wanakaa nae dogo alipofikisha miaka 6 akampeleka shule nzuri ya 2 million per year akawa anasoma huko.

Sasa Baba mtoto aliposikia bibie kaolewa si akarudi bwana kuanza kutaka mtoto. Sister akagoma kabisa tena bila kumwambia mume wake. Na alirudi kipindi sister ana watoto wadogo mapacha aliyezaa na mume wake.

Waliangaishana kama mwaka 1 hivi. Sister alikataa kabisa kumpa dogo.

Sasa kipindi mtoto kafikisha miaka 8. Jamaa si akaenda ustawi wa jamii kwa lengo la kuchukua mtoto, sister kweli aliitwa ustawi wa jamaii na alienda tena bila kumwambia mume wake. Yeye alieleza kwao na kwao waligoma na kumwambia asiende. Ila ustawi wa jamii walilazimisha na kumwambia Mtoto ana haki ya kumjua Baba yake halisi. Hio ni haki ya mtoto.

Sasa mume wake baada ya kujua hilo akachachamaa kabisa ukawa ni ugomvi sana kati ya yeye na mke wake.

Mume wake akaamini kuwa Sister alimficha au niseme alimdanganya jamaa kakimbia kumbe laa. Waligombana sana.

Sasa jamaa akafanikiwa mpaka kubadilisha jina mtoto la mwisho maana sister aliandika jina la kwao la mwisho la mtoto.

Jamaa akaweka jina la kwao. Na jina lake kwenye cheti cha kuzaliwa. Maana sehemu ya Baba ilikuwa empty nafikiri.

Mume wake baada ya kuona hivyo akamwambia kuwa kuhusu kitu chochote cha mtoto wake asimwambie mpk ada. Na mtoto aende kwa Baba yake pale home kwake amtaki tena.

Sister akaona kwa vile anataka kuokoa ndoa yake ampeleke mtoto kwa Baba yake. Sasa ishu kule kwa jamaa , dogo alikuwa anasoma shule ya over 2 million per year. Jamaa wa kawaida tuu.

Kwa kifupi dogo baada ya kwenda kwa Baba mawasiliano yakazidi kupelekea mpk mume wake kuanza kugombana. Sister akasema yule mwenzie anamsumbua sana na anamfanya mtoto kama kung'ang'ania kumuona mama yake, muda wote. So anajikuta muda mwingi anakuwa anawasiliana upande mwingine.

Baada ya kuona drama ni nyingi mume alimtimua sister home kwake. Na walisumbuana kama 2 years kutaka kuachana.

Mume wake ni mtu mwenye wivu. Walitaka kusuluhisha kwa kumuita jamaa yule msumbufu ila jamaa aligoma kuja na wala mume wake alikataa kusikiliza suluhisho. Wiki mbili zilizopita waliachana baada ya purukushani kwa miaka 2.

Alikuwa single mother na kuingia kwenye ndoa na mwishowe karudi tena single mother. Dogo anasoma shule za kawaida tuu hizi japo ni private pia kule kashatoka shule ya bei kubwa.

Hivi ishu kama hii mnaisolve kivipi jamani, IKIJA KWENYE FAMILIA, KARIBUNI.
Alitakiwa amshirikishe mumewe Kila kitu na angempa mumuwe awe anawasiliana na huyo mzazi mwenziye ili kuweka heshima kwa mumewe SASa mwanakuyataka ndo mwanakuyapataa dah 🥺🥺
 
Sasa kweli mwanamke ni kiumbe cha kupenda kweli??!! Mwanamke ni kuoenda mbususu yake tuuu maana wao wanapenda hela zetu tuu.
Nimeelewa unaongelea wanawake wa aina gani kumbe cyo mke unaongea kuhusu slay queen 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom