Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Sasa Msela wangu nakuomba msamaha hadharani bado Unanikanyagia??? Msela huwa haifadhi grudges rohonukijisamehe mwenyewe inatosha mkuu,,nilikusalute sana ila umeni drop sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Msela wangu nakuomba msamaha hadharani bado Unanikanyagia??? Msela huwa haifadhi grudges rohonukijisamehe mwenyewe inatosha mkuu,,nilikusalute sana ila umeni drop sana
Mzee mwenzangu niombee msamaha kwa Msela Roja kanilia bati yaaniKwani ushawahi niona naattack single mumamaz?
Doh! Ila mtakua mnajuana nyie waswahili wa Pemba....Mimi simoNaona kuna kapepo kanataka kukupitia,, mwenzio Manyanza jana kaporomosha mijineno aseeee sikutegemea
kama umeomba for the benefits of jf members ,, sorrySasa Msela wangu nakuomba msamaha hadharani bado Unanikanyagia??? Msela huwa haifadhi grudges rohon
Ulimfanyaje mwali kutoka njombe vijijiniMzee mwenzangu niombee msamaha kwa Msela Roja kanilia bati yaani
Wamekufanyaje mama la mamakama umeomba for the benefits of jf members ,, sorry
Anza kwanza kunisamehe hapa 😢kama umeomba for the benefits of jf members ,, sorry
ata sio kujuana mheshimiwa,,ni humu humu ndani ila khaah 🙌🏾Doh! Ila mtakua mnajuana nyie waswahili wa Pemba....Mimi simo
Hamna shida 🤝Anza kwanza kunisamehe hapa 😢
@Manyaza najua ofisi yako unauza vipuri hapo LumumbaAnza kwanza kunisamehe hapa 😢
achana nao bwanWamekufanyaje mama la mama
Aku! Mi nina bonge la mume dunia nzima hakuna. Nasemea hao wanoona ndoa ni taji la ushindi. Kuna mengi ndani humo zaidi ya shelaKama umeamua mwenyewe kuolewa na mwehu, kosa la nani?
Was vijijini necessary?Ulimfanyaje mwali kutoka njombe vijijini
🙌🙌🙌Was vijijini necessary?
Sio kweli kwanza kama unakiwanja karibu nakuzurumu pia huo ni mkosi hujioni kama unamkosi hata maneno yako yamejaa laana tupuUnajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.
Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .
Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .
MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .
Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Hahahaha 😂 mxiuuu,, ngoj nkakutaftie hubiri uko
Nitag kwenye Uzi flan hv uliopoa wa huko 2007Hahahaha 😂 mxiuuu,, ngoj nkakutaftie hubiri uko
unaitwaje huoNitag kwenye Uzi flan hv uliopoa wa huko 2007