Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Wowote tuunaitwaje huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wowote tuunaitwaje huo
Mbon mtihani huu wajameniWowote tu
NDio humu kuna wanawake wanajiona sana na hawana lolote zaidi ya stress😂 😂 😂
Uko poa lakini? Maana huu uzi umeandika kwa kujilazimisha na huzuni sana
HayaSiwezi kukwambia wanaume tuliumbwa na hii Adam's apple ili tutunze siri
View attachment 3046672
walio zaa kwenye ndoa kisha kutengana, na kubaki kulea watoto nao wanaingia kwenye kundi la single maza au?Kwamba vyema, muhimu na lazima kukwepa kuzaa mtoto/watoto kabla ya muda muafaka,
Laana ni wewe unayo na umekuja nazoSio kweli kwanza kama unakiwanja karibu nakuzurumu pia huo ni mkosi hujioni kama unamkosi hata maneno yako yamejaa laana tupu
Kundi kubwa la singo maza ni hili la kabla ya kuolewa.walio zaa kwenye ndoa kisha kutengana, na kubaki kulea watoto nao wanaingia kwenye kundi la single maza au?
kwa maelezo yako ni kama unaelewa single maza ni walio zaa kabla ya ndoa tu
Hili ni swala mtambuka linalotokana au kusababishwa na wote iwe kabla na pengine hata kupitia ndoa zinavonjika
Mwanamke ni muhanga tu kwakuwa anaangukiwa na jukumu la kulea watoto
Kumbe kuna types of single momsKundi kubwa la singo maza ni hili la kabla ya kuolewa.
Hapana single mothers ni wale ambao hakuolewa na wale walioachwa ni watalakwa tu na ni mke wa mtu wafulani hata mpaka afewalio zaa kwenye ndoa kisha kutengana, na kubaki kulea watoto nao wanaingia kwenye kundi la single maza au?
kwa maelezo yako ni kama unaelewa single maza ni walio zaa kabla ya ndoa tu
Hili ni swala mtambuka linalotokana au kusababishwa na wote iwe kabla na pengine hata kupitia ndoa zinavonjika
Mwanamke ni muhanga tu kwakuwa anaangukiwa na jukumu la kulea watoto
Hapana single mother ni wale ambao hawajaolewaKumbe kuna types of single moms
Sentensi tata... How about wale aged kati ya 20 to 30 ambao hawajapata wanaume wa kuwaoaHapana single mother ni wale ambao hawajaolewa
Au ni waliozaa tuHapana single mother ni wale ambao hawajaolewa
VIpi wewe ni single maza? No offence intendedUnajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.
Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .
Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .
MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .
Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
sijaelewa hii picha , mnipe maelekezo
Hqpana maana sijaolewaVIpi wewe ni single maza? No offence intended
May u get a better one, and know that i respect your oppinions .Hqpana maana sijaolewa
Hao watoto kama ni wa kiume wakianza kuvaa shanga kama mama yao usije kutuliliaUnajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.
Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .
Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .
MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .
Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
We umejuaje hajatoa mimba?Unajali ndo maana umejibu. Hata hivyo nakupongeza kwa kutokutoa mimba na kulea, upo sawa.