Single mothers hawajali maneno yenu

Single mothers hawajali maneno yenu

Kwamba vyema, muhimu na lazima kukwepa kuzaa mtoto/watoto kabla ya muda muafaka,
walio zaa kwenye ndoa kisha kutengana, na kubaki kulea watoto nao wanaingia kwenye kundi la single maza au?
kwa maelezo yako ni kama unaelewa single maza ni walio zaa kabla ya ndoa tu
Hili ni swala mtambuka linalotokana au kusababishwa na wote iwe kabla na pengine hata kupitia ndoa zinavonjika
Mwanamke ni muhanga tu kwakuwa anaangukiwa na jukumu la kulea watoto
 
walio zaa kwenye ndoa kisha kutengana, na kubaki kulea watoto nao wanaingia kwenye kundi la single maza au?
kwa maelezo yako ni kama unaelewa single maza ni walio zaa kabla ya ndoa tu
Hili ni swala mtambuka linalotokana au kusababishwa na wote iwe kabla na pengine hata kupitia ndoa zinavonjika
Mwanamke ni muhanga tu kwakuwa anaangukiwa na jukumu la kulea watoto
Kundi kubwa la singo maza ni hili la kabla ya kuolewa.
 
walio zaa kwenye ndoa kisha kutengana, na kubaki kulea watoto nao wanaingia kwenye kundi la single maza au?
kwa maelezo yako ni kama unaelewa single maza ni walio zaa kabla ya ndoa tu
Hili ni swala mtambuka linalotokana au kusababishwa na wote iwe kabla na pengine hata kupitia ndoa zinavonjika
Mwanamke ni muhanga tu kwakuwa anaangukiwa na jukumu la kulea watoto
Hapana single mothers ni wale ambao hakuolewa na wale walioachwa ni watalakwa tu na ni mke wa mtu wafulani hata mpaka afe
 
Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.

Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .

Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .

MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .

Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
VIpi wewe ni single maza? No offence intended
 
Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.

Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .

Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .

MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .

Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Hao watoto kama ni wa kiume wakianza kuvaa shanga kama mama yao usije kutulilia
 
Mtoto anabidi kulelewa na Baba na Mama .

Ila ikotokea umekosa mwanaume baada umri kusonga weweza kuzaa.

Mimi sijaoa na sina mtoto Ila ningependa ikifika muda nioe mwanamke ambaye hana mtoto hii ingenipa Sana utulivu .Kiakili ,kihisia na kimwili.


So Mimi siwachukii single mother Ila pia sifurahi kuona mwanamke Ana I shi mediocre life (Maisha ya kishenzi) in this entity.
 
Back
Top Bottom