Single mothers hawajali maneno yenu

ukijisamehe mwenyewe inatosha mkuu,,nilikusalute sana ila umeni drop sana
Sasa Msela wangu nakuomba msamaha hadharani bado Unanikanyagia??? Msela huwa haifadhi grudges rohon
 
Kama umeamua mwenyewe kuolewa na mwehu, kosa la nani?
Aku! Mi nina bonge la mume dunia nzima hakuna. Nasemea hao wanoona ndoa ni taji la ushindi. Kuna mengi ndani humo zaidi ya shela
 
Sio kweli kwanza kama unakiwanja karibu nakuzurumu pia huo ni mkosi hujioni kama unamkosi hata maneno yako yamejaa laana tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…