Hawa single mama acheni kuwasimanga wakuu respect them
Watoto hutesekaNa hawakupenda kuwa katika hali hiyo, humu utaona malalamiko ni dada kapendana na njemba, njemba inadai haitangazi harusi hadi bi dada ashike ujauzito. Bi dada anashika ujauzito njemba inaingia mitini!
Kuna kila sababu kwa Serikali kuweka sheria kali dhidi ya wanaume kama hawa ili kukomesha uhuni hii. Kuna mmoja alikuja kujisifu humu ana watoto 11 mama mbali mbali wala hana msaada wowote kwa watoto hao.
Tena mwanaume wa hivyo utamkuta analaumu wanawake na kudai hawakumshirikisha au walitaka wenyewe(hiyo ndio huwa shield yao)Na hawakupenda kuwa katika hali hiyo, humu utaona malalamiko ni dada kapendana na njemba, njemba inadai haitangazi harusi hadi bi dada ashike ujauzito. Bi dada anashika ujauzito njemba inaingia mitini!
Kuna kila sababu kwa Serikali kuweka sheria kali dhidi ya wanaume kama hawa ili kukomesha uhuni hii. Kuna mmoja alikuja kujisifu humu ana watoto 11 mama mbali mbali wala hana msaada wowote kwa watoto hao.
Hii thread sijaweka kukujibu
na wala humu sija wa include single moms wote
Hii thread maalum kwa wale wanaotaka kuzaa wenyewe
halafu wakishazaa wanajifanya waliamua wote kwa pamoja...
i hope nimesaidia kukuelewesha
Sio situation zote za single moms ziko sawa...
Watoto huteseka
Kwa kweli Mungu aturehebu atuondelee hii roho ya UBINAFSI ilitawala mioyo yetuSana tu na hawapati malezi mazuri na matokeo yake wengi huishia kuwa vibaka au kujiuza miili Yao.
ohooooooo,utatukanwa hatar!wanaringaga mno wakiwa wadada wakishazaa huko wakalegea wanaaza kushusha vilio. No body **** with you. what goes up must come down.
Na kwa bahati nzuri unakuta milango yote inalegea kwa hiyo ni wa kupigwa chini tuu no body need scrapers
kondom ikipasuka jeee,kuwa aware mwenyewe ni jambo la msingi usitegemee probability,hivi kondom nayo unaweza kuipa 100% kama njia pekee ya kuzuia mimba?[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] umesoma wapi jamani. Inasikitisha dah.
Huwa nashaangaa sana kwanini mashirika ya kimataifa wanakuja na NGO's zao za uzazi wa mpango, ngono zembe, ukimwi, kuelimisha kumbe kuna watu bado hawajui maswala kama haya ya matumizi ya condom mmmmh [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] waje tuu tuelimishwe mpaka tuelewe ni aibu karne hii ya 20 hujui kuwa kinga ni muhimu kwa wote ndo maana zipo za kina mama na kina baba. Wanaume au wanawake wasio jielewa ndo wanao ona mimba ni tatizo mtu mwenye kujitambua hapati tabu. Atakubali matokeo na kuishi ipasavyo. Wengine tulizeni ball bado watoto
na wako wengi kama huyo mdada anapanga kuzaa hata mume hana anategemea sperm donorshuyo atakuwa kataka
Ukizaa hivyo ukubaliane na ulichokitakana wako wengi kama huyo mdada anapanga kuzaa hata mume hana anategemea sperm donors
yaa but ni wachache wanaoweza ku take courage ya maamuzi yaoUkizaa hivyo ukubaliane na ulichokitaka
Nadhani pia jamii ibadili ule mtazamo kuwa wanaume ni mashetani itasaidia kupunguza idadi ya wasichana wanaochagua wanaume utadhani nazi halafu wanaishia kuwa kitoweo cha wanaume wenye familia na wake zao wa ndoa.....au wahuni wa mjini wanaopiga na kusepa kwa kutumia magari ya ofisi au ya mkopo.Inabidi ifike kipindi jamii yetu iondoe dhana mbovu iliyojengeka mwanamke asipoolewa anakuwa na tatizo fulani nadhani inaweza kupunguza mihemko ya ndoa kwa dada zetu na inaweza kusaidia kupunguza tatizo hili.
Na ndicho nilichomuelekeza hapo juu. Unajua kwa ninachokiona sasa kama ni changamoto kwa wanawake ni kuwa wengi wameathiriwa na fikra potofu za kimagharibi za kifeminist ambazo mwisho wa siku zinawapa maringo na ngebe zisizo na mbele wala nyuma. Kuna dada alikuwa bomba balaa kipindi tuko naye chuo.....yeye ni full kutoka out na matozi na hataki mazoea na wanaume wa kawaida. Juzi kati naona picha zake instagram kaolewa na mtu mzima wa kama 50 hivi halafu jamaa ni wa kawaida tu hana swaga wala nini kajichokea zake anatembelea ringi.......nikasema maninaaa mbwembwe zote zile umepatikana hadi unaolewa na mtu size ya mjomba wako.Hili lina ukweli
But usisahau hata hao single moms wengine wanachagua sana pia wachumba
na sio kwamba wote hawapati wachumba
na single mama wengine wako single by choice na still wanalia kama wanaonewa..
kuolewa hawataki....
Kuna tusi gani lisilojulikana?ohooooooo,utatukanwa hatar!
hahahaha haya mkuu nashukuru kama umevaa bullet proofKuna tusi gani lisilojulikana?
akuna cha proof wala nn bali na wao watavuna wapandacho.hahahaha haya mkuu nashukuru kama umevaa bullet proof
Nilikuwa na mjibu mtu soma vema kwanza.kondom ikipasuka jeee,kuwa aware mwenyewe ni jambo la msingi usitegemee probability,hivi kondom nayo unaweza kuipa 100% kama njia pekee ya kuzuia mimba?
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] umesoma wapi jamani. Inasikitisha dah.
Huwa nashaangaa sana kwanini mashirika ya kimataifa wanakuja na NGO's zao za uzazi wa mpango, ngono zembe, ukimwi, kuelimisha kumbe kuna watu bado hawajui maswala kama haya ya matumizi ya condom mmmmh [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] waje tuu tuelimishwe mpaka tuelewe ni aibu karne hii ya 20 hujui kuwa kinga ni muhimu kwa wote ndo maana zipo za kina mama na kina baba. Wanaume au wanawake wasio jielewa ndo wanao ona mimba ni tatizo mtu mwenye kujitambua hapati tabu. Atakubali matokeo na kuishi ipasavyo. Wengine tulizeni ball bado watoto