Sia Cathbeth
Member
- Sep 13, 2015
- 34
- 30
Tatizo si kutaka kuolewa tatizo ni jinsi ulivyomfanya akuchukulie. Kuna wakati Mwanaume anakufanya ujenge illusion ambazo fika hawezi wala hana dhumuni lolote nazo. Unakuta watu ni friends with benefits ila wanaoneana uwivu haswa wanaume. Its open men loves at first site so he has to impose some love tension to attract the lady attention we are witness most of time this is not love especially in Africa, kisaikologia nadhani wengi hawafahamu what it takes to say you love some one so due to this love is taken as a greeting or attraction forces. Kuwa mpa mwanamke mimba si jambo dogo hamna uzembe wala makusudi. Mwanaume rijali lazima awe mwajibikaji katika matendo yake iwe wewe ndo uliyemtaka mwanamke au vice vesa wote inabidi muweke bayana madhumuni yenu ili pasitokee mitafaruko.
Kuwepo kwa single mother/father si jambo jema. Wengine wapo katika ndoa na bado wanatelekezwa.
Elimu ya saikolojia ya kujitambua na kujipenda ni muhimu itolewe ngazi zote za elimu ili kupinga zana potofu na kujenga taifa lenye uwajibikaji wa matendo yao. Ukijitambua kamwe huwezi kuwa na tatizo jinga kama hili na utaweza kujinyakua katika mitego ya kunyanyasa generation zijazo.
JITAMBUE.
ASK YOURSELF WHY ARE YOU ROAMING AROUND LIKE A CHICKEN WITH LOST HEAD, STOP ACTING CHILDISH BRING INTO THE TABLE YOUR
REQUIREMENTS IF THE PERSON ISN'T COMPATIBLE THEM WALK OUT.
Kuwepo kwa single mother/father si jambo jema. Wengine wapo katika ndoa na bado wanatelekezwa.
Elimu ya saikolojia ya kujitambua na kujipenda ni muhimu itolewe ngazi zote za elimu ili kupinga zana potofu na kujenga taifa lenye uwajibikaji wa matendo yao. Ukijitambua kamwe huwezi kuwa na tatizo jinga kama hili na utaweza kujinyakua katika mitego ya kunyanyasa generation zijazo.
JITAMBUE.
ASK YOURSELF WHY ARE YOU ROAMING AROUND LIKE A CHICKEN WITH LOST HEAD, STOP ACTING CHILDISH BRING INTO THE TABLE YOUR
REQUIREMENTS IF THE PERSON ISN'T COMPATIBLE THEM WALK OUT.