Single mothers na vilio vya kushangaza

Single mothers na vilio vya kushangaza

dalili inayoonyesha umempa mtu mimba na hutaki kutoa matunzo...The bossssssss


Humu ndani watu mnachekesha kweli
kuna watu wa kukataa mimba
wengine tunapenda kuzaa na wanawake hata 100 na kutunza watoto wetu

hahaa siku nikiweka thread ya kutetea albino ..kuna watu wataniuliza kwani we albino?
 
Kama wanaume hamtaki kuzaa na hao wadada vaeni condom ....otherwise mkae kimya na kuchukua majukumu yenu

"condom" ni chanzo kimojawapo cha wanawake kutumia dildoes kujishughulikia wenyewe au wenyewe kwa wenyewe.

Kuna tofauti ipi ya mhogo uliovishwa condom na dildo?
 
Umejaribu sana kuigeuza hii thread kuwa ni men vs women
but umeona michango ya wanawake wengi tu waki support nilichoandika

Mwanamke akiamua kwa utashi wake kuzaa asisumbue atakaemchagua kuzaa
nae hasa kama huyo aliechaguliwa hakupanga au tu hataki.....

wapo single moms wenye uhalali wa kulia na kusumbua mtu
na wapo wengine hawana uhalali huo

Acha kujitetea bwana bosi,we kama umemimba huko usitelekeze mtoto,lea tu bao lako hilo. Maana bila hilo bao lako mtoto asingepatikana,hata ukibakwa watoto ni baraka lea tu na sio uanze masimango. Kumbuka bila hilo goli lako mtoto asingepatikana.

In any sircumstance you have to be responsible for yo actions, hebu angalia pia wanawake wengi walopingana nawe, then digest.
 
Hii thread imenifurahisha sana
Na kunifunza zaidi
Binafsi nilizaa na mtu sikuhitaji ndoa ila amlee mtoto,alinipa head ache kibao until I came to realise the boy is mine and am his super mom
Nikampotezea mazima,nikawa busy raising my prince
Uzuri Mungu kanibariki kaajira kangu na vitega uchumi kadhaa,thanks lord
Mwaka umeisha kaona sina time naye akaanza jirudisha ohhh tusahau yalopita tulee mwanetu,nikamjibu nani hiyo?trust me since I had my boy hajui hata color of my pants
Kwaaibu kaenda ongea na mashost ohh ongeeni na mwenzenu tumlee mtoto,I said kumtunza hujanyimwa bt you will never enter my bedroom forever
Trust me I love my boy na kalivyo kacute sasa,saivi Niko na baba mlezi tuna kalea bila bugudha,kako pre nursery sasa
Bt kuzaa tena mmhhh
Nakula ujanaa
So single moms out there msivunjike moyo,yes you can!!!

Karibu kwenye kula ujana
 
Acha kujitetea bwana bosi,we kama umemimba huko usitelekeze mtoto,lea tu bao lako hilo. Maana bila hilo bao lako mtoto asingepatikana,hata ukibakwa watoto ni baraka lea tu na sio uanze masimango. Kumbuka bila hilo goli lako mtoto asingepatikana.

In any sircumstance you have to be responsible for yo actions, hebu angalia pia wanawake wengi walopingana nawe, then digest.


Naona kubishana na wewe ntapoteza muda
kumbe nikianzisha thread lazima niwe nahusika binafsi?
akili ndogo hizo

humu naanzisha thread kutetea waandishi wa habari..kwani mimi mwandishi habari?

Wewe wanawake walio support umewasoma na kuwaelewa?
 
Yani sababu zote zilizotajwa hapo za mimi kuwa single mom hazipo. Second embu niache nipumue basi. Naona hasira za kusumbuliwa na baby mama wako unataka kunimalizia mimi. Mtafute mmalizane usinitolee mimi machungu yako sawa kaka cjui baba?

Hii thread sijaweka kukujibu
na wala humu sija wa include single moms wote

Hii thread maalum kwa wale wanaotaka kuzaa wenyewe
halafu wakishazaa wanajifanya waliamua wote kwa pamoja...
i hope nimesaidia kukuelewesha

Sio situation zote za single moms ziko sawa...
 
Naona kubishana na wewe ntapoteza muda
kumbe nikianzisha thread lazima niwe nahusika binafsi?
akili ndogo hizo

humu naanzisha thread kutetea waandishi wa habari..kwani mimi mwandishi habari?

Wewe wanawake walio support umewasoma na kuwaelewa?
Unaelewa maana ya neno "kama"??

Vipi we umewasoma na kuwaelewa?
 
"condom" ni chanzo kimojawapo cha wanawake kutumia dildoes kujishughulikia wenyewe au wenyewe kwa wenyewe.

Kuna tofauti ipi ya mhogo uliovishwa condom na dildo?
Sidhani kama hapa mada inaxungumzia unachokizungumza! Jifunze kubadilika kwenda na mada husika vinginevyo anzisha mada yako.
 
sisi sote tunamatatizo, wanaume na wanawake, hatuzingatii malengo ya ufanyaji wa ngono peku, ufanyaji wa ngono kabla ya ndoa, na hatujui kuwa ngono ni kutafuta mimba! mtu yeyote anaye fanya ngono, anatafuta mtoto, utakwepa lakini ipo siku utakamatwa maana kila atafutaye huona,na kila abishae hufunguliwa!!! kwaiyo ni kukubalina na matokeo na kuanza kulea mtoto kama ulivyo lelewa wewe na mpaka leo unajeuli ya kuja JF na kuongea lolote!!! ndio maana Mungu aliweka sheria, hatukutakiwa kungonoka kabla ya ndoa, tunapo vunja sheria, tunakaribisha matatizo, na hayo matatizo tutavuna kama tulivyo panda!! acheni kulaumiana hakuna cha mwanamke, hakuna cha mwanaume,,, vuneni karanga zenu mlizo panda, sio mtegee kuvuna mpunga na wakati hamkupanda zao hilo,,,,, nimekonclude uzi huu kwa staili hiyo........
 
Maybe mimi ndio sielewi nini unaongelea maana sidhani kama ulijibu swali langu lileee la awali kabisa, naona tu lugha gongana. Hakuna mahali nimesema ni lazima uoe ulozaa nae,ila ni vyema usimmimbe ambae huna mpango nae.

By the way if you have no plans of making her a wife then dont make her a mother. Nafikiri hilo ndilo suluhisho.
Narudia pia mimba za bahati mbaya ni za kubakwa tu,napo waweza chukua precoutions after mbako.
yeah if yu don have a plan to make her a wife don make her a mother.
the problem is that hatunaga plans za kuwafanya mothers but huwa inatokea tu,na makosa syo ya baba tu but n ya mama pia bcz unakuta wote mmeamua kupiga bila ndomu but huku mnahofu ya mimba.
hawo watoto n additions tu bcz wametokea bila kutegemea.hata mungu hapend uzinz.
kupata mimba isiyotarajiwa n risks tu bcz hata ndom sometimz hupasukia ndan.
in most cases hatuna mpango wa kuwafanya mothers bila kuwa na mpango wa kuwaoa.
But wapo wanawake na wanaume wanashida ya mtoto tuu na sio ndoa based on their age.
Wapo wadada wanategeshea kimakusud kabisa bcz may b yr rich or any other reason.
Wapo wanawake ambao syo wachoyo,wanagawa mchezo hovyo hovyo wakinasa wanachagua wakumshikisha.hii pia huchangia mimba kukataliwa bcz mwanaume anamjua mwanamke.
 
yeah if yu don have a plan to make her a wife don make her a mother.
the problem is that hatunaga plans za kuwafanya mothers but huwa inatokea tu,na makosa syo ya baba tu but n ya mama pia bcz unakuta wote mmeamua kupiga bila ndomu but huku mnahofu ya mimba.
hawo watoto n additions tu bcz wametokea bila kutegemea.hata mungu hapend uzinz.
kupata mimba isiyotarajiwa n risks tu bcz hata ndom sometimz hupasukia ndan.
in most cases hatuna mpango wa kuwafanya mothers bila kuwa na mpango wa kuwaoa.
But wapo wanawake na wanaume wanashida ya mtoto tuu na sio ndoa based on their age.
Wapo wadada wanategeshea kimakusud kabisa bcz may b yr rich or any other reason.
Wapo wanawake ambao syo wachoyo,wanagawa mchezo hovyo hovyo wakinasa wanachagua wakumshikisha.hii pia huchangia mimba kukataliwa bcz mwanaume anamjua mwanamke.
Nakubaliana na wewe kuwa wote wana makosa, kwahiyo mwanamke pekee hapaswi kutupiwa lawama, pia kudate na mwanamke ambae ni mwingi ilihali unajua kabisa ni mwingi nalo ni tatizo, kataa mtoto ukiwa umejihakikishia kuwa sio wako.

Wanaotaka mtoto tu huwa wako responsible maana anajua anaweza kulea bila wewe hivyo ni juu yako kama utataka kuwa sehemu ya maisha ya huyo mtoto(kitu ambacho ni kizuri zaidi).

Na ikitokea basi hiyo mimba imetokea na hamkuwahi kuwa na mipango yoyote ya future basi muwe mature enough kukubaliana na hali halisi na mlee mtoto vizuri,maana haitokuwa na maana kuingia ktk ndoa kisa tu mimba au mtoto then ndoa ikawa jehanam, it wont be fair kwenu na kwa mtoto pia.
 
Ngono salama ni Jukumu la Mwanamke..
Atakae pinga hilii Ukitiwa Mimba itakua ni kiherehere chako..
 
Ngono salama ni Jukumu la Mwanamke..
Atakae pinga hilii Ukitiwa Mimba itakua ni kiherehere chako..
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] umesoma wapi jamani. Inasikitisha dah.
Huwa nashaangaa sana kwanini mashirika ya kimataifa wanakuja na NGO's zao za uzazi wa mpango, ngono zembe, ukimwi, kuelimisha kumbe kuna watu bado hawajui maswala kama haya ya matumizi ya condom mmmmh [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] waje tuu tuelimishwe mpaka tuelewe ni aibu karne hii ya 20 hujui kuwa kinga ni muhimu kwa wote ndo maana zipo za kina mama na kina baba. Wanaume au wanawake wasio jielewa ndo wanao ona mimba ni tatizo mtu mwenye kujitambua hapati tabu. Atakubali matokeo na kuishi ipasavyo. Wengine tulizeni ball bado watoto
 
Na wote wanadai waliahidiwa matunzo au ndoa
wakati wengi tu huamua wenyewe
Wanawake wa namna Hii wanapashwa kujitafakari. Ndoa sio kila kitu Sio kila mtu alipangiwa kuoa au kuolewa. Unapashwa kumshukuru Mungu kwa kukujalia mtoto kwani ndoa ndio italea mtoto?! Hii ni karne ya uwazi na kujitambua. Bora kupata mtoto kuliko hiyo ndoa mtu analilia nayo. Wanawake wanashindwa kuelewa wanadhani walio ndani ya ndoa wana kila kitu! Wengine wanajuta kuingia kwenye Ndoa. Kujitegemea ni bora zaidi maisha yanasonga. Maisha ya usingle mother ni mazuri ukijitambua.
 
Hii thread imenifurahisha sana
Na kunifunza zaidi
Binafsi nilizaa na mtu sikuhitaji ndoa ila amlee mtoto,alinipa head ache kibao until I came to realise the boy is mine and am his super mom
Nikampotezea mazima,nikawa busy raising my prince
Uzuri Mungu kanibariki kaajira kangu na vitega uchumi kadhaa,thanks lord
Mwaka umeisha kaona sina time naye akaanza jirudisha ohhh tusahau yalopita tulee mwanetu,nikamjibu nani hiyo?trust me since I had my boy hajui hata color of my pants
Kwaaibu kaenda ongea na mashost ohh ongeeni na mwenzenu tumlee mtoto,I said kumtunza hujanyimwa bt you will never enter my bedroom forever
Trust me I love my boy na kalivyo kacute sasa,saivi Niko na baba mlezi tuna kalea bila bugudha,kako pre nursery sasa
Bt kuzaa tena mmhhh
Nakula ujanaa
So single moms out there msivunjike moyo,yes you can!!!
[HASHTAG]#mzigua60[/HASHTAG] njoo usome hii kitu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom