Single mothers na vilio vya kushangaza

Single mothers na vilio vya kushangaza

Tuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi
wanaamua kuzaa tu.....hasa umri fulani ukifika
na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...

Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa
na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke

Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment
au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo
mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..

Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment

Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa
wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...

Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha
kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe
ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika....
tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...
Wanawake wa namna hyo nawajua sana mkuu,wana matusi na kashifa za kijinga kweli utadhani hakujua kua anashika mimba na hajaolewa,pale wanapoanza kutukana wanaume kwa njia za simu wanapaswa kufikishwa mahakamani ili wajutie matusi yao,kumekua na hiyo tabia hapa nchini imekithili sana sana,na wanaume kwa mioyo migumu na kuwahurumia hawa wanawake hua wanaamua kukaa kimya tu ila ukweli wanawake hawa wana tatizo kubwa sana
 
suala la wanaume kutowajibika kwa familia zao mbona lipo hata kwenye ndoa?. Nadhani wanaume yapasa kubadilika na kuchukua majukumu na kuacha kukwepa majukumu kwa visingizio. Utaweza jifanya mjanja ukasema uwezavyo lakini kumbuka yupo haukumuye na anayekuona.
 
Inaumiza sana unakuta binti miaka 15 single mom daah af mwanaume kamkimbia single moms wanapitia mengi sana katika jamii nawaheshimu sana maana licha ya yote hayo hawakutoa mimba walilea mpaka sasa wanalea watoto
 
Kabisa mkuu inapaswa waheshimiwe they are strong woman
Kabisa nawaza me ndiyo single mother halafu mwanaume alete ujinga sijui nimetegesha nadhani vituo vya sheria vingekuwa ni sehemu ya maisha yake ... ningehakikisha anajutia hiyo siku aliyolala na me.. dawa ya moto ni moto
 
Kabisa nawaza me ndiyo single mother halafu mwanaume alete ujinga sijui nimetegesha nadhani vituo vya sheria vingekuwa ni sehemu ya maisha yake ... ningehakikisha anajutia hiyo siku aliyolala na me.. dawa ya moto ni moto
Kabisa uzuri sheria zipo na ziliwekwa kwa ajili ya watu wanaoenda kinyume na taratibu sema wanawake wengine uoga unawaponza anajikuta anaenyeka peke yake kulea afu mtoto akikua huyo mwanaume anatoa vipesa anamchukua kirahisi.
 
Yaani mkuu umenigusa sana kwa hili nimeyapitia na hata sasa nayapitia,
Kuna binti tumejuana siku nyingi akadai ananipenda pamoja na kujua nna mke na watoto, sasa ana mimba ya miezi mi4 kwao kaulizwa anasema mwenye mimba hana tatizo na atakuja kujitambulisha, na tunapokutana anataka niende kwao wanijue huku akijua kwao baadhi wananijua.
Nakua simuelewi kwa kweli anataka nini hasa baada ya mimi kwenda kwao.
 
Kabisa uzuri sheria zipo na ziliwekwa kwa ajili ya watu wanaoenda kinyume na taratibu sema wanawake wengine uoga unawaponza anajikuta anaenyeka peke yake kulea afu mtoto akikua huyo mwanaume anatoa vipesa anamchukua kirahisi.
Yani tatizo tunaongozwa na moyo badala ya akili nina mtoto wako sihitaji dushe lako lea damu yako usitie ulemavu wa akili kuwaza mambo ambayo yanatatulika
 
Yaani mkuu umenigusa sana kwa hili nimeyapitia na hata sasa nayapitia,
Kuna binti tumejuana siku nyingi akadai ananipenda pamoja na kujua nna mke na watoto, sasa ana mimba ya miezi mi4 kwao kaulizwa anasema mwenye mimba hana tatizo na atakuja kujitambulisha, na tunapokutana anataka niende kwao wanijue huku akijua kwao baadhi wananijua.
Nakua simuelewi kwa kweli anataka nini hasa baada ya mimi kwenda kwao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yani mpaka nimejikojolea uwiii.. kwa hiyo mkuu we una mke ukapiga ugenini kavu nipe namba ya huyo binti nimfundishe namna ya kuishi na wewe Bila ya mkeo kujua .. .. ila tu hakikisha unaongeza vitega uchumi
 
Tuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi
wanaamua kuzaa tu.....hasa umri fulani ukifika
na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...

Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa
na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke

Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment
au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo
mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..

Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment

Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa
wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...

Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha
kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe
ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika....
tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...
aisome Mzigua90
 
Tuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi
wanaamua kuzaa tu.....hasa umri fulani ukifika
na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...

Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa
na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke

Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment
au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo
mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..

Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment

Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa
wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...

Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha
kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe
ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika....
tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...

Maneno kuntu! Iwe fundisho!
 
Kweli kabisa.... Hata mie kuna kadem nimekutana nako ciku ya kwanza kuonana tukafanya na cku iyo iyo akapata mimba.. Yani hatukuwa na mahusiano wala ahadi yeyote.. So hapa nina wajibu wa kumlea yeye na mtt atayezaliwa.... Yani haya maamuzi wanafanyaga wao unilaterally afu wanakuja kutulaumu...
 
Tatizo kubwa la wanawake hampendi kutumia kinga, na wengi hata danger days hawazijui, wao kanyaga twende tu
Huo ndio ujinga wao ..lkn sio km hawajui danger days..mtu umesoma mpk chuo kikuu unashindwa kujua danger days?? simpo biology hiyo..mpk wamamawa mtaani wanajua...
labda kuna wale amabao mzunguko wao hauko sawa ndio tunaweza tusiwalaumu...
Lkn kuna pipo kbs nazijua..eti nnatamani mtt ngoja nitafute mtu nibebe mmh
 
Yani tatizo tunaongozwa na moyo badala ya akili nina mtoto wako sihitaji dushe lako lea damu yako usitie ulemavu wa akili kuwaza mambo ambayo yanatatulika
Huhitaji dushe?acha kudanganya,ulizaa nae vip kama huhitaji dushe?wewe utakua ni m1 kati ya waliozaa bila ndoa na kugeuza mtoto kama kigezo,uzae usiolewe afu uje utuambie eti huhitaji dushe ni uongo wa kiwango cha juu,na huwaga mna maneno kama mmemeza cd ya taarabu ila mnajua wapi mlipokosea
 
Back
Top Bottom