Single mothers nawaibia siri nyingine

Single mothers nawaibia siri nyingine

Baada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag.

Sababu za wazi baadhi ni :
1. Single mothers wengi wamefikia miaka 28 umri unaofaa kwa mwanamke kufikiri maisha zaid kuliko ngono na mapenz.

Kifup tu wana akili zinazowajibika.
umri chini ya hapo hasa dada wasio na wajib wana wenge sana na mambo mengi kama wapiga ramli na ndoto hewa zisizotekelezeka. mf binti wa kivule,ana akili timam lakin anajisemea kwa dhat kuwa ataolewa na justin bierber kisa wigi limemkubali. wanaamin katika uzuri.

Single mothers wameshajipa majukum na akili za kiuwajibikaji. ni asset. sio liability.
tusisahau wanaume kamili huamini katika akili za kujitambua linapokuja suala la kuoa/kudum katika mapenz.

Maana ni wanawake wachache mno ambao wako chini ya mstari wa uzuri unaofaa.

2. Single mothers wanajua upendo kupitia mtoto wake. hivyo ni rahis kutoa upendo kama uwekezaji wa kupata upendo.

TATIZO:
Hofu ya wanaume dhidi ya x wa mke ni kubwa mno. kwa sabab mwanaume anaweza kuvumilia kila kitu isipokuwa kushare mke isipokuwa yule tu aliyejaliwa tamaa nyingi na akili kidogo. sio ubinafs ni nature.

NINI KIFANYIKE:
a)Mama usiendekeze mahusiano na baba mtoto kupitiliza kisa mtoto. mf kukupigia sim ovyo ovyo had usiku wa manane kisa uko na mwanae.

Pia usikubali mialiko ya ex hata ya ibadani.
hata misiba tuma mtoto tu na ndugu yako kutimiza haja ya ukoo wa uzao wa ex.
b) Mume tunza sana mtoto wa mke mwenzio kwa upendo wa wazi, mpe uhakika wa leo na kesho. jana haimsumbui sana mkeo. anaweza kupotezea mazma ex wake. mf kama kuna wa kumpa zawad ndan anza na mtoto wa ex kabla ya mke. ikibid hata mali toa kabla. fanya uwekezaj wa TRUST!

Mme chunga sana kauli zako km .....dam ya wapi hii iko hivi. Mke chunga sana kauli zako kama ....baba yake mzazi angekuwepo .....

Nihitimishe kuwa single mothers mnapendwa sana na kila mwanaume mwenye tafakuri nzuri. ni juu yenu sasa kumjua mwanaume hata kama unammudu kivip. kuna mengine ni ya asili hata limbwata haiyapangui.

Hata mimi isingekuwa nimeshapitisha umri wa kuoa ningejikita kwa single mother. wengi wanajitambua na wana malengo.
Umeandika vizuri, naomba niongezee yafuatayo.

Thamani ya mwanamke iko kwenye UKE (na ndio maana Mungu aliweka kizuizi); na ndio maana mwanaume wa kweli hawezi ubia kwenye mapenzi.Ila yeye anaweza mapenzi ya mishkaki bila tabu.

Mwanamke kuzaa na mwanaume, hii si tu wazazi bali hilo ni agano, tena agano la damu. Halifutiki hilo, na huyo anabakia kuwa mke wa mwenzio bila kujali sababu yoyote.

Suala la kujitambua na kuwa na Malengo ukweli uko hivi:

Mwanamke awali (kabla ya kuzaa na kuolewa), akili yake iko kwenye sura na maumbile yake. Akiisha zaa au kuolewa mulekeo wake unakuwa kwenye ustawi wa mtoto/watoto au na ndoa yake, sura na maumbile kwake sio kipaumbele tena kwake.

Hili la single mother, ni tatizo la kitaifa kuliko hata hii corona awamu ya tatu. kwa namna moja au nyingine familia zetu hizi zina mwanafamilia wa aina hii.

MADA ZA NAMNA HII NA ZIWE FUNDISHO KWA WALE AMBAO SIO SINGLE MOTHERS, UNAJIONDOA KWENYE USHINDANI!
 
Umeandika vizuri, naomba niongezee yafuatayo.

Thamani ya mwanamke iko kwenye UKE (na ndio maana Mungu aliweka kizuizi); na ndio maana mwanaume wa kweli hawezi ubia kwenye mapenzi.Ila yeye anaweza mapenzi ya mishkaki bila tabu.

Mwanamke kuzaa na mwanaume, hii si tu wazazi bali hilo ni agano, tena agano la damu. Halifutiki hilo, na huyo anabakia kuwa mke wa mwenzio bila kujali sababu yoyote.

Suala la kujitambua na kuwa na Malengo ukweli uko hivi:

Mwanamke awali (kabla ya kuzaa na kuolewa), akili yake iko kwenye sura na maumbile yake. Akiisha zaa au kuolewa mulekeo wake unakuwa kwenye ustawi wa mtoto/watoto au na ndoa yake, sura na maumbile kwake sio kipaumbele tena kwake.

Hili la single mother, ni tatizo la kitaifa kuliko hata hii corona awamu ya tatu. kwa namna moja au nyingine familia zetu hizi zina mwanafamilia wa aina hii.

MADA ZA NAMNA HII NA ZIWE FUNDISHO KWA WALE AMBAO SIO SINGLE MOTHERS, UNAJIONDOA KWENYE USHINDANI!
Asante sana mkuu. Ume-add madini Safi sana
 
wangu kabla sijaolewa alikua anatoa 50 ya matumiz kila mwezi cm anapiga akijisikia unaweza mbep Mara kumi anakujibu unashida gani?
Nilipompata wangu huyu akaanza cm za kila Mara nikamuuliza ni hii elf 50 tu au unakingine???
Nikamwambia mtoto akikua atakutafuta kuku ww nikamblock kila mahali ninamiaka 2 Sasa sijui hata kafia wapi namshukuru Mungu namudu malezi ya mtoto wangu na huyu baba nikikwama hana tatizo kwa mtoto ananisapot...
Acha tu nimpende huyu baba pamoja na mapungufu yake kanitoa mbali ...
Mapungufu gani!? Kibamia!?
 
Single mothers is not for everyone.

Single Mothers Ni kipimo cha ukomavu wa kimwili,kiroho na kiakili kwa mwanaume.

Kwetu afrika,
Mwanaume Kukaa kibarazani na kuanza kuwasema vibaya wanawake Ni ishara ya mwanaume husika kutokujiamini na kutokumtabua nafas Yake ktk Jamii.

Pia, kimila Ni mmomonyoko mkubwa wa Maadili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag.

Sababu za wazi baadhi ni :
1. Single mothers wengi wamefikia miaka 28 umri unaofaa kwa mwanamke kufikiri maisha zaid kuliko ngono na mapenz.

Kifup tu wana akili zinazowajibika.
umri chini ya hapo hasa dada wasio na wajib wana wenge sana na mambo mengi kama wapiga ramli na ndoto hewa zisizotekelezeka. mf binti wa kivule,ana akili timam lakin anajisemea kwa dhat kuwa ataolewa na justin bierber kisa wigi limemkubali. wanaamin katika uzuri.

Single mothers wameshajipa majukum na akili za kiuwajibikaji. ni asset. sio liability.
tusisahau wanaume kamili huamini katika akili za kujitambua linapokuja suala la kuoa/kudum katika mapenz.

Maana ni wanawake wachache mno ambao wako chini ya mstari wa uzuri unaofaa.

2. Single mothers wanajua upendo kupitia mtoto wake. hivyo ni rahis kutoa upendo kama uwekezaji wa kupata upendo.

TATIZO:
Hofu ya wanaume dhidi ya x wa mke ni kubwa mno. kwa sabab mwanaume anaweza kuvumilia kila kitu isipokuwa kushare mke isipokuwa yule tu aliyejaliwa tamaa nyingi na akili kidogo. sio ubinafs ni nature.

NINI KIFANYIKE:
a)Mama usiendekeze mahusiano na baba mtoto kupitiliza kisa mtoto. mf kukupigia sim ovyo ovyo had usiku wa manane kisa uko na mwanae.

Pia usikubali mialiko ya ex hata ya ibadani.
hata misiba tuma mtoto tu na ndugu yako kutimiza haja ya ukoo wa uzao wa ex.
b) Mume tunza sana mtoto wa mke mwenzio kwa upendo wa wazi, mpe uhakika wa leo na kesho. jana haimsumbui sana mkeo. anaweza kupotezea mazma ex wake. mf kama kuna wa kumpa zawad ndan anza na mtoto wa ex kabla ya mke. ikibid hata mali toa kabla. fanya uwekezaj wa TRUST!

Mme chunga sana kauli zako km .....dam ya wapi hii iko hivi. Mke chunga sana kauli zako kama ....baba yake mzazi angekuwepo .....

Nihitimishe kuwa single mothers mnapendwa sana na kila mwanaume mwenye tafakuri nzuri. ni juu yenu sasa kumjua mwanaume hata kama unammudu kivip. kuna mengine ni ya asili hata limbwata haiyapangui.

Hata mimi isingekuwa nimeshapitisha umri wa kuoa ningejikita kwa single mother. wengi wanajitambua na wana malengo.
Kuwa single mother tu ni kosa la maamuzi bado wanashindwa kujiongoza, wanaleta tamaa zao na umuch know,ni watu wa ovyo sana alafu unamkuta bado anaringa market value imeshuka tayari. Gaddamit!!

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
wangu kabla sijaolewa alikua anatoa 50 ya matumiz kila mwezi cm anapiga akijisikia unaweza mbep Mara kumi anakujibu unashida gani?
Nilipompata wangu huyu akaanza cm za kila Mara nikamuuliza ni hii elf 50 tu au unakingine???
Nikamwambia mtoto akikua atakutafuta kuku ww nikamblock kila mahali ninamiaka 2 Sasa sijui hata kafia wapi namshukuru Mungu namudu malezi ya mtoto wangu na huyu baba nikikwama hana tatizo kwa mtoto ananisapot...
Acha tu nimpende huyu baba pamoja na mapungufu yake kanitoa mbali ...
[emoji23][emoji23][emoji23] kuku wewe!
 
Niliwahi kumpigia denda mwanamke wangu niliechana nae miaka kadhaa, tena bila hata kumtongoza au kumshawishi kivyovyote vile, yani mazingira yaliruhusu tu.

Nilifanya hivyo kama kumpima baada ya kuniachia nikague simu yake na kuona txt alizokuwa anachat na mpenzi wake aliekuwa nae wakati huo, na kama ningetaka kumla wala asingekataa. Kiufupi ananipenda na kuniheshimu sana, mpaka nashangaa.

Achaneni na Single mothers.
 
Hold on 'bwamdogo' kuna maswali hapo ukijibu ntafikiria hoja yako upya

1. Kitu gani kinamfanya single mother awe anajitambua?

2. Kama jibu ya hapo juu ni kuwa na mtoto/majukumu vipi ukiwa na mke ukazaa naye hawezi jitambua?

3. Kama jibu la hapo juu (2) ni hawezi ni kwanini ilihali na yeye ana mtoto/majukumu?

4. Kama jibu la hapo juu (3) ni kuwa ana mtoto ila majukumu kulea ni ya kwako mume, vipi huyu single mother ukimganya mke majukumu yanakuwa ya nani?

5. Kama jibu la hapo juu (4) ni majukumu yanakuwa ya kwake/ya kwenu/ya kwako, kuna utofauti gani na ukiwa na mwanamke mkazaa na kuishi pamoja?

Mkuu ukinijibu ntarudi maana naona umependa limao kwa rangi ya ganda hujui ndani ni chachu kiasi gani, limso sio chungwa Mkuu ni yanafanana tu.
 
Baada ya akili, mwili na roho kujikusanya, wanaume wengi tumekubaliana bila kutokukubaliana kuwa single mothers wengi wanapendwa na kuhitajiwa zaid kuliko mabinti. nitatumia neno "walio wengi nikiamini kinyume na mimi hawakosag.

Sababu za wazi baadhi ni :
1. Single mothers wengi wamefikia miaka 28 umri unaofaa kwa mwanamke kufikiri maisha zaid kuliko ngono na mapenz.

Kifup tu wana akili zinazowajibika.
umri chini ya hapo hasa dada wasio na wajib wana wenge sana na mambo mengi kama wapiga ramli na ndoto hewa zisizotekelezeka. mf binti wa kivule,ana akili timam lakin anajisemea kwa dhat kuwa ataolewa na justin bierber kisa wigi limemkubali. wanaamin katika uzuri.

Single mothers wameshajipa majukum na akili za kiuwajibikaji. ni asset. sio liability.
tusisahau wanaume kamili huamini katika akili za kujitambua linapokuja suala la kuoa/kudum katika mapenz.

Maana ni wanawake wachache mno ambao wako chini ya mstari wa uzuri unaofaa.

2. Single mothers wanajua upendo kupitia mtoto wake. hivyo ni rahis kutoa upendo kama uwekezaji wa kupata upendo.

TATIZO:
Hofu ya wanaume dhidi ya x wa mke ni kubwa mno. kwa sabab mwanaume anaweza kuvumilia kila kitu isipokuwa kushare mke isipokuwa yule tu aliyejaliwa tamaa nyingi na akili kidogo. sio ubinafs ni nature.

NINI KIFANYIKE:
a)Mama usiendekeze mahusiano na baba mtoto kupitiliza kisa mtoto. mf kukupigia sim ovyo ovyo had usiku wa manane kisa uko na mwanae.

Pia usikubali mialiko ya ex hata ya ibadani.
hata misiba tuma mtoto tu na ndugu yako kutimiza haja ya ukoo wa uzao wa ex.
b) Mume tunza sana mtoto wa mke mwenzio kwa upendo wa wazi, mpe uhakika wa leo na kesho. jana haimsumbui sana mkeo. anaweza kupotezea mazma ex wake. mf kama kuna wa kumpa zawad ndan anza na mtoto wa ex kabla ya mke. ikibid hata mali toa kabla. fanya uwekezaj wa TRUST!

Mme chunga sana kauli zako km .....dam ya wapi hii iko hivi. Mke chunga sana kauli zako kama ....baba yake mzazi angekuwepo .....

Nihitimishe kuwa single mothers mnapendwa sana na kila mwanaume mwenye tafakuri nzuri. ni juu yenu sasa kumjua mwanaume hata kama unammudu kivip. kuna mengine ni ya asili hata limbwata haiyapangui.

Hata mimi isingekuwa nimeshapitisha umri wa kuoa ningejikita kwa single mother. wengi wanajitambua na wana malengo.
Asante sana kwa uelewa wako mkuu
 
wangu kabla sijaolewa alikua anatoa 50 ya matumiz kila mwezi cm anapiga akijisikia unaweza mbep Mara kumi anakujibu unashida gani?
Nilipompata wangu huyu akaanza cm za kila Mara nikamuuliza ni hii elf 50 tu au unakingine???
Nikamwambia mtoto akikua atakutafuta kuku ww nikamblock kila mahali ninamiaka 2 Sasa sijui hata kafia wapi namshukuru Mungu namudu malezi ya mtoto wangu na huyu baba nikikwama hana tatizo kwa mtoto ananisapot...
Acha tu nimpende huyu baba pamoja na mapungufu yake kanitoa mbali ...
Wow, hongera aisee una akili ka zangu😉
 
Niliwahi kumpigia denda mwanamke wangu niliechana nae miaka kadhaa, tena bila hata kumtongoza au kumshawishi kivyovyote vile, yani mazingira yaliruhusu tu.

Nilifanya hivyo kama kumpima baada ya kuniachia nikague simu yake na kuona txt alizokuwa anachat na mpenzi wake aliekuwa nae wakati huo, na kama ningetaka kumla wala asingekataa. Kiufupi ananipenda na kuniheshimu sana, mpaka nashangaa.

Achaneni na Single mothers.
Ulimkuta tu na yeye hajielew, mimi kama tumeachana hata simu sitak lacvyo iwe inahusu watoto, ukitaka kuwaona unatolewa watoto wako nje ya geti. inabaki co parenting, kwani watu mnafeli wap? kama mtu anaruhusu yote hayo jua hata kama mngekua hamjazaa unamla wakat wowote trust me.
 
ulimkuta tu na yeye hajielew, mimi kama tumeachana hata simu sitak lacvyo iwe inahusu watoto, ukitaka kuwaona unatolewa watoto wako nje ya geti. inabaki co parenting, kwani watu mnafeli wap? kama mtu anaruhusu yote hayo jua hata kama mngekua hamjazaa unamla wakat wowote trust me.
Safi sana! Kuna wanaume anakuacha kwa mbwembwe na matukio alafu anasumbua mahusiano yanayofuata yenye utulivu. ili mradi uharibikiwe tu.
 
safi sana! kuna wanaume anakuacha kwa mbwembwe na matukio alafu anasumbua mahusiano yanayofuata yenye utulivu. ili mradi uharibikiwe tu.
Si ndo hapo bwana, mtu kama alikupenda kweli msingeachana. Kuruhusu awe na wewe tena ni ukosefu wa akili. Mnatumia kigezo watoto wakat watakua na kuwa na miji yao huko.
 
Back
Top Bottom